RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee..Mimi nimegundua Leo.Macho yangu yalikua na shida gani!! siku zote nilikua nasoma hii ID kama PRONDO na sio RRONDO. Nashindwa na kushangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha braza umesisitiza 'keep calm'
Hao wa aina hio mbona tayari nishakutana nao. Washatukana,washaponda na wanaendelea lakini kwasababu ya hicho ulichosisitiza 'keep calm' yakaishia hewani tu.Tafsiri ni pana sana na kuna siku utanikumbuka. Kuna wadau utakutana nao nje ya forum kwa upendo wako kishapo ukashindwa kuwatimizia mahitaji yao kwa sababu kadha
Ni hao hao watakaorudi JF kwa ID nyingine na kuanza kukuponda kwa chochote utakachopost.. But because you know the secret of the game you JUST KEEP CALM
Jr[emoji769]
Wengi tumekumbwa na hili tatizo aisee hahahahaAiseee..Mimi nimegundua Leo.
Ndiyo maana kila nikimtag nashindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha hata weweAiseee..Mimi nimegundua Leo.
Ndiyo maana kila nikimtag nashindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimewahi kukuquote Mara nyingi nikawa nashindwa...aisee.Ha ha ha hata wewe
Mimi nimewahi kukuquote Mara nyingi nikawa nashindwa...aisee.
Hili Jina limetutega wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati Internet Cafe zinaanza hazikua na wale wa vyumba, sasa watu walikua washamba sana! Dah Siku moja Tanga mjini pale kuna Wanafunzi wa Eckenforde wakaja si wakaingia www.worldsex.com wakafungua, kumbe spika volume iko juu! Aaghhh dakika tu utulivu wa Cafe nzima ukaharibika! Hawajui wazimie wapi! Ni miguno tu......
Duh kwahio miaka yote unakosea kuniita?! 😱😱
AsanteDu!! Wakati unajiunga 2006 nilikuwa kidato cha kwanza wala sikuwa najua kama kuna kitu kinaitwa jamii forums.
Hongera kwa uanachama uliotukuka mr RRONDO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana! Vip auna aid nyingine? 😂 😂
IfwateNaisubiri au niifuate?