Miaka 10 ndani ya JF

Miaka 10 ndani ya JF

Hongera RRONDO kwa uzi huu... You can feel proud kwamba you loved n adored.. Keep neutral n calm.. Accept positive challenges and ignore abusive n negative ones. Halafu keep calm

Jr[emoji769]
Ha ha ha braza umesisitiza 'keep calm'
 
Tafsiri ni pana sana na kuna siku utanikumbuka. Kuna wadau utakutana nao nje ya forum kwa upendo wako kishapo ukashindwa kuwatimizia mahitaji yao kwa sababu kadha
Ni hao hao watakaorudi JF kwa ID nyingine na kuanza kukuponda kwa chochote utakachopost.. But because you know the secret of the game you JUST KEEP CALM
Ha ha ha braza umesisitiza 'keep calm'

Jr[emoji769]
 
Tafsiri ni pana sana na kuna siku utanikumbuka. Kuna wadau utakutana nao nje ya forum kwa upendo wako kishapo ukashindwa kuwatimizia mahitaji yao kwa sababu kadha
Ni hao hao watakaorudi JF kwa ID nyingine na kuanza kukuponda kwa chochote utakachopost.. But because you know the secret of the game you JUST KEEP CALM

Jr[emoji769]
Hao wa aina hio mbona tayari nishakutana nao. Washatukana,washaponda na wanaendelea lakini kwasababu ya hicho ulichosisitiza 'keep calm' yakaishia hewani tu.
Thanks for reminding me
 
Wakati Internet Cafe zinaanza hazikua na wale wa vyumba, sasa watu walikua washamba sana! Dah Siku moja Tanga mjini pale kuna Wanafunzi wa Eckenforde wakaja si wakaingia www.worldsex.com wakafungua, kumbe spika volume iko juu! Aaghhh dakika tu utulivu wa Cafe nzima ukaharibika! Hawajui wazimie wapi! Ni miguno tu......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom