Miaka 10 ndani ya JF

Ile id ya enzi hizo niliiacha kwasababu nilijilipua sana kwasababu ya uja
Jr[emoji769]
 
Ha ha ha
 
Elli miaka 12 na wewe unastahili pongezi
Naam Mpwa, si haba! Nakumbuka ilikua MTU unafunga safari kabisa kwenda Internet Cafe kwa ajili ya Jambo forum then baadae JF! Hahahaha

Baadae nikapata Laptop nikawa naenda Open University pale Kinondoni na cable yangu nachomeka LAN nakula net pale Library!

Na zile computer pale UDSM kitivo Cha Elimu miaka ile dah
 
Tumetoka mbali.....darhotwire unaikumbuka?
 
Wakati Internet Cafe zinaanza hazikua na wale wa vyumba, sasa watu walikua washamba sana! Dah Siku moja Tanga mjini pale kuna Wanafunzi wa Eckenforde wakaja si wakaingia www.worldsex.com wakafungua, kumbe spika volume iko juu! Aaghhh dakika tu utulivu wa Cafe nzima ukaharibika! Hawajui wazimie wapi! Ni miguno tu......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…