hembu nipe babusi unajua viporo vingine ni noma, unamkubuka kiporo cha wali na mandondo, au kiporo cha kisamvu?? hiki naweza fananisha na hivyo.......
hongera umejikongoja ila sasa hivi unakoelekea bibi anaweza kukufuma maana umesema hajawah kukufuma siku akikufuma utajuta
Tarehe kama ya leo miaka kumi iliyopita ndipo nilipoanza maisha na huyu mke wangu.
Siwezi kutamba mi mwaminifu kivile, ila nashukuru sijawahi kufumaniwa wala kuhisiwa.
Sijawahi kumhisi wala kumfumania, kama ananicheat then she must be very smart (mwanachama hai wa ISC? katibu jina lake limokwenye list?)
Sijawahi kumchapa vibao wala kumtukana, pia sijawahi kutukanwa wala kunaswa vibao.
Tumewahi kukosana na kupishana kauli lakini hakuna jirani wala ndugu aliyejua.
Mi si mhudhuriaji mzuri kanisani, lakini watoto kanisani ni kama nyumbani kwao...matunda ya mama yao.
Naweza nisiwaone watoto kwa siku tano (mambo ya ulabu, na kuwahi kudamka asubuhi) lakini watoto wana afya njema na maendeleo yao shuleni ni mazuri sana....ahsante mke wangu!
Na mambo mengi sana anayafanya huyu mama, asingekuwepo sijui kama ningempata kama yeye!
Ahsante sana mke wangu...nakupenda sana....hakuna kama wewe! (Hizi infii ni tamaa za mwili, kudumisha mila na kuitikia wito wa necha, nisamehe bure mama watoto, sina jinsi kuzikwepa):loco::loco::loco:
Vijana nawasihi: Wapendeni wake zenu! Fuateni nyayo zangu Big Brother ODM!
:tea::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S-heart-2::A S-heart-2:
Babu hanywi maziwa, babu anatumia ugoro........
Senkyuu....hata wewe ntaendelea kukupenda!Babu hongera, endelea kumpenda bb zaidi ya hapo.
Wawili mkuu.........wote wa kike wazuri kama mama yao na mama yangu.Hongera sana, mna watoto wangapi mkuu?
Senkyu kiongozi....nakuombea heri!
Wow,...hongera kiongozi, wewe mbele sie twafuatia! Hongereni sana!...
Nikupe nini mpenzi?hembu nipe babu
Chumvi nyingi, mvi nyingi, umri mkubwa.............BABU!Heheheh hommie kumbe umekula sana vya kwenye mboga eeehhh...hongera sana mkuu...
nipe mabusara babuSenkyuu....hata wewe ntaendelea kukupenda!
Wawili mkuu.........wote wa kike wazuri kama mama yao na mama yangu.
Senkyu kiongozi....nakuombea heri!
Nikupe nini mpenzi?
Chumvi nyingi, mvi nyingi, umri mkubwa.............BABU!
Ahsante sana mpenzi...........nawe twakuombea heri.......
Asubuhi yote hii na PM? kazi zitakuwa haziendiHebu twende PM kule..........hapa watoto hawajalala bado.
Hapana....bibi kashachoka..............vipi waweza msaidia kidogo?
Tatizo lako unapenda kujinaniliu mwenyewe sasa!