Miaka 10 ndani ya ndoa: Ahsante sana mke wangu!

Miaka 10 ndani ya ndoa: Ahsante sana mke wangu!

Mengine yaweza kuwa sawa,lakini la kupiga ulabu vijana wasikuije kabisa!
 
medium_xkcdwrongoninternet.jpg

Wow,...hongera kiongozi, wewe mbele sie twafuatia! Hongereni sana!...
 
si unajua viporo vingine ni noma, unamkubuka kiporo cha wali na mandondo, au kiporo cha kisamvu?? hiki naweza fananisha na hivyo.......
hongera umejikongoja ila sasa hivi unakoelekea bibi anaweza kukufuma maana umesema hajawah kukufuma siku akikufuma utajuta
hembu nipe babu
 
Tarehe kama ya leo miaka kumi iliyopita ndipo nilipoanza maisha na huyu mke wangu.

Siwezi kutamba mi mwaminifu kivile, ila nashukuru sijawahi kufumaniwa wala kuhisiwa.

Sijawahi kumhisi wala kumfumania, kama ananicheat then she must be very smart (mwanachama hai wa ISC? katibu jina lake limokwenye list?)

Sijawahi kumchapa vibao wala kumtukana, pia sijawahi kutukanwa wala kunaswa vibao.

Tumewahi kukosana na kupishana kauli lakini hakuna jirani wala ndugu aliyejua.

Mi si mhudhuriaji mzuri kanisani, lakini watoto kanisani ni kama nyumbani kwao...matunda ya mama yao.

Naweza nisiwaone watoto kwa siku tano (mambo ya ulabu, na kuwahi kudamka asubuhi) lakini watoto wana afya njema na maendeleo yao shuleni ni mazuri sana....ahsante mke wangu!

Na mambo mengi sana anayafanya huyu mama, asingekuwepo sijui kama ningempata kama yeye!

Ahsante sana mke wangu...nakupenda sana....hakuna kama wewe! (Hizi infii ni tamaa za mwili, kudumisha mila na kuitikia wito wa necha, nisamehe bure mama watoto, sina jinsi kuzikwepa):loco::loco::loco:

Vijana nawasihi: Wapendeni wake zenu! Fuateni nyayo zangu Big Brother ODM!

:tea::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S-heart-2::A S-heart-2:

Heheheh hommie kumbe umekula sana vya kwenye mboga eeehhh...hongera sana mkuu...
 
Babu hongera, endelea kumpenda bb zaidi ya hapo.
Senkyuu....hata wewe ntaendelea kukupenda!

Hongera sana, mna watoto wangapi mkuu?
Wawili mkuu.........wote wa kike wazuri kama mama yao na mama yangu.

medium_xkcdwrongoninternet.jpg

Wow,...hongera kiongozi, wewe mbele sie twafuatia! Hongereni sana!...
Senkyu kiongozi....nakuombea heri!

hembu nipe babu
Nikupe nini mpenzi?

Heheheh hommie kumbe umekula sana vya kwenye mboga eeehhh...hongera sana mkuu...
Chumvi nyingi, mvi nyingi, umri mkubwa.............BABU!


Ahsante sana mpenzi...........nawe twakuombea heri.......
 
Senkyuu....hata wewe ntaendelea kukupenda!

Wawili mkuu.........wote wa kike wazuri kama mama yao na mama yangu.

Senkyu kiongozi....nakuombea heri!

Nikupe nini mpenzi?

Chumvi nyingi, mvi nyingi, umri mkubwa.............BABU!



Ahsante sana mpenzi...........nawe twakuombea heri.......
nipe mabusara babu
 
aaaaaaaaiiiiiiiiiiiiii hongera babu..... Khaaaaa! miaka yoote hiyo??? bado mnanihiuuu????
 
Asubuhi yote hii na PM? kazi zitakuwa haziendi
Hivi kumbe uko kazini? Unapewa sitting allowance?...Hebu nipe contacts za mkoloni wako nitete naye (ofkoz kwenye PM)
 
Back
Top Bottom