FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Mama Mkwe za asubuhi vipi mwenzangu hajambo?
kweli nimekula chumvi mie nimeanza kupata na wakwe JF,nimeamka salama kabisa sijui wewe hapo ulipi:tea:
Hongera Asprin miaka 10 si haba kwa maisha ya leo
Hongera sana Asprin kwa hiyo miaka ya ndoa, kwa kweli siyo mchezo.
Nakupongeza pia kwa kutokuhisiwa, hilo ndo la muhimu.................. jitahidi sana usiuumize moyo wa mwenzio. Otherwise, kuacha infii ni uamuzi wako............. na ukiacha mambo yatakuwa mazuri zaidi
Mkulu Asprini Hongera sana kwa siku hii ya leo
Nimechelewa manake weekend niko hoi from friday till today (damn).....in fact nilikuwa kwneye recruitment pia kuna "eliza' mwingine kaingia kundini kwa moto wa ajabu kabisa....details to follow
Asprin bill ya Valuer leo itakuwa kwangu japo najua mtakuwa na mama Matesha lakini sio neno pale mi si nafahamika?
Vinara wengine tukutane tusherekee kwa niaba ya ODM hata kama atakuwa anajituma home....in fact tunarevise rule no.3.....
Congrats Asprin 10yrz c mchezo..hopefly hata tabia za kibazazi za infidelty utaacha..wshin u 70+ yrz mo yenye furaha katika ndoa yenu!!
hongera mkuu mm yangu inafikisha mwaka 1 mwezi ujao so umeniacha 9 yrs
Hongera sana Asprin pamoja na mai waifu wako, Mungu awazidishie maisha mema na marefu, yalojaa furaha,upendo,amani na matunda yoote ya roho. :amen:
Hongera nyingi kwako Kaka and to Mama Matesha.
Well done:cheer2:
Happy Anniversary
Hongera sana mkuu mungu awajalie upendo usiochuja.
Miaka kumi ni mwendo mzuri, ikifika ishirini, kama bado mtakuwa na bond nzuri kama hii basi pale ni mwanzo wa new friendship, i.e is like new dating in you!!! Na pale unaendelea kupiga goti kuombea ndoa yenu na ikifika 30 years ni celebration of your life achievements, together!!! Yaani hapa kama ni matatizo ya ndoa inakuwa kama simulizi kabisa, you enjoy, some with grandchildren!!! I love it!! Hongera sana mkuu, bado mwendo upo kaza buti kuimarisha mahusiano yenu!! Ndoa na iheshimiwe na watu wote, Mungu anachukia talaka!!!
Hongera Asprin na mke kwa kufikisha miaka kumi ya ndoa. Siku zaenda kwelikweli au sio. Hongereni sana na Mungu awajalie mfikishe miaka mingine kumi mtupikie pilau tuje tufurahi pamoja nanyi.
Mazee nilitaka kukupongeza sana kwa miaka yote hii ya ndoa,
Lakini nikaona hili
Nikajua inawezekana kabisa umempenda mamie kwa kuwa hakushiki pabaya na kudai usawa nyumbani. Amegeuka hausigeli na yaya mlezi . Ningeona ndoa yako ni ya kujivunia zaidi kama ungeweza kutuambia unatumia muda mwingi zaidi na familia kuliko kwenye ulabu.
Hata hivyo, kwa msingi wa makubaliano yenu, mnapaswa kupongezwa kwa miaka kumi hii ndani ya ndoano ya ndoa.
Unastahili pongezi kwa kuthamini umuhimu wa mke wako, mbarikiwe sana na kuzeeka wote!..
Asprin hongera sana comrade,mnahitaji kumshukuru Mungu sana zaidi pia nawatakia heri na baraka za Mungu.I am poping champagne for u ryt now,good cheer:decision:
Hakuna kitu kama hicho; huo ni utetezi wa mafisadi. Hata hivyo hongera sana ingawa unaonekana umelegea sana na kumuachia mama majukumu yote ya watoto (kwa ulabu?). Angalia mama asije kuwa baba wa watoto wako kwa kutowajibika kwako kwenye malezi yao, itakuwa mabaya sana kwenye utu uzima wao.
Jirekebishe ili ndoa yenu iwe nzuri zaidi.
hongera sana aspirin. ni jambo la kujivunia.
Hongereni mkuu, wewe na mkeo!
Big up tupo mbioni kukanyaga nyayo zako hasa za kwenye visigino
Woote kwa pamoja Ahsanteni sana.......Hasa hasa dada Remmy! (Msitafiri vibaya wajameni!:hand::hand:
Asprin pls update za jana?
Weye navyokujua utakuwa uliingia home saa nane usiku na beer kichwani kitandani ukapanda na viatu
Wote kwa mpigo nawashukuru sana, ntazingatia ushauri wenu! Mbarikiwe!:llama::llama:
Halafu wewe una kesi ya kujibu....ikawaje hukutia timu?
i had a good dream last night, kwamba kipengele cha wivu kimeongezwa kwenye sheria mama...
Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
Kwa hiyo mwenye kesi ya kujibu hapo ni mimi, wewe, Teamo au mjapani?