Miaka 10 sasa jukwaani

Kandambili?? Alimtolea wapi hicho kideti kinachovaa kandambili kwenda kwa mchuchu karne ya 21? Hata ningekua Mimi ningezima simu.
Kumbe hafai eeeh Mentor? Ngoja nijiweke tu aje akague babu mwenyewe
 
Hahaha demu wa JF alikuja na kandambili?
 
Hahahaha
 
Kandambili?? Alimtolea wapi hicho kideti kinachovaa kandambili kwenda kwa mchuchu karne ya 21? Hata ningekua Mimi ningezima simu.
Kumbe hafai eeeh Mentor? Ngoja nijiweke tu aje akague babu mwenyewe
Maweeeeeee Babu Asprin mwenyewe ndo unamuachia ukaguzi. Bora hata uniruhusu me nifanye ukaguzi then niwapelekee report.[emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…