Miaka 10 sasa jukwaani

Miaka 10 sasa jukwaani

Karibu sana Ben Mugashe

Mimi nimeanza kuandaa wosia sasa.

😀😀
Kweli Mkuu enzi zenu vita ya tatu ya Dunia Malaria Sugu kabla hajapigwa Life Ban na wafia dini wenzie... Mkuu wee una historia kubwa sana siku moja Njoo hapa utukumbushe tulikotoka maana hawa akina Nanliuu wamekuja juzi na Mbio za Mwenge hawajui kama Kuna ID ina 13yrs active
 
Kijana enzi zake mwaka mmoja anafanyiwa BD 3 na madem tofauti... Mungu anamuona huyu Mentor Senior Bazaz.. Pamoja na Mwenyekiti wake Nicas Mtei na Mtunza Fedha Kaka Kiiza.. Katibu Mkuu Babu Aspro na Afsa Habari Jiwe Linaloishi huku Katibu Msaidizi Steve..
Kuna na Mazaz wao nao wataanza kutajana hapa wakiongozwa na MALAIKA
Huyo mazazi natumaini siyo Malaika mimi hapa
 
Kweli Mkuu enzi zenu vita ya tatu ya Dunia Malaria Sugu kabla hajapigwa Life Ban na wafia dini wenzie... Mkuu wee una historia kubwa sana siku moja Njoo hapa utukumbushe tulikotoka maana hawa akina Nanliuu wamekuja juzi na Mbio za Mwenge hawajui kama Kuna ID ina 13yrs active
Mmmh,huyu Malaria Sugu a.k.a MS alikua mtata sana ,Mara ya mwisho alikua ana post MwanaHalisi Forum. Kulikua na FEMS ,kuna akina Moshe Dayne ,D'elvis ...
 
Kweli Mkuu enzi zenu vita ya tatu ya Dunia Malaria Sugu kabla hajapigwa Life Ban na wafia dini wenzie... Mkuu wee una historia kubwa sana siku moja Njoo hapa utukumbushe tulikotoka maana hawa akina Nanliuu wamekuja juzi na Mbio za Mwenge hawajui kama Kuna ID ina 13yrs active

Ni kwekli nna kahistoria fulani hivi ingawa nimejikongoja sana.

Ntaweka historia fupi ikifika wakati wake.
 
Back
Top Bottom