Umewaamini hao mabazazi?Itakua kazi za nje za babu. JF hamna MTU ataenda kidate na kandambili
Hahaha we jamaa ulikuwa wapi siku zote??........mkuu nawewe umevuta umri!
Hahahaha, mmetoka kino,mkaenda kigamboni na sasa safari korogweWe fala unaniharibia CV yangu. Au nimwite KOKUTONA aje atoe siri zako?
Hahahaha, nikikumbuka hii hua nacheka sana ,km movie vileSio cha kwangu... Ni KakaKiiza aliingia PM kubebisha mkongwe mmoja hivi... Mkongwe alivyotokea ndo nilijua jamaa lina kipaji cha kujificha. Sijui Celica ilipitia wapi maana nlishangaa tu haipo!
Hakuna sehemu haya mabazazi yaliiacha salama... hahahahaaHahahaha, mmetoka kino,mkaenda kigamboni na sasa safari korogwe
Leo nimefikisha miaka 10 kuwa hapa jukwaani.
Niwapongeze Viongozi wa JF kwa kusimamia vizuri mijadala.
Niwakaribishe wageni wote tuendelee kuhabarishana bila kukashfiana.
....Miaka 10 bila kupigwa BAN.....
Mkuu sahv mimi Kungura Mzee sina MenoKamfate Demiss mkuu, unaweza pewa zawadi maana anapenda ID kongwe
HahahahaHakuna sehemu haya mabazazi yaliiacha salama... hahahahaa
Salimia wakubwa zako binti[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Kweli Ndugu...kama ni mtoto tayari ameshakua mkubwa na ana uwezo wa kumuita mchepuko wako "Aunt"
Kweli Mkuu enzi zenu vita ya tatu ya Dunia Malaria Sugu kabla hajapigwa Life Ban na wafia dini wenzie... Mkuu wee una historia kubwa sana siku moja Njoo hapa utukumbushe tulikotoka maana hawa akina Nanliuu wamekuja juzi na Mbio za Mwenge hawajui kama Kuna ID ina 13yrs activeKaribu sana Ben Mugashe
Mimi nimeanza kuandaa wosia sasa.
😀😀
Huyo mazazi natumaini siyo Malaika mimi hapaKijana enzi zake mwaka mmoja anafanyiwa BD 3 na madem tofauti... Mungu anamuona huyu Mentor Senior Bazaz.. Pamoja na Mwenyekiti wake Nicas Mtei na Mtunza Fedha Kaka Kiiza.. Katibu Mkuu Babu Aspro na Afsa Habari Jiwe Linaloishi huku Katibu Msaidizi Steve..
Kuna na Mazaz wao nao wataanza kutajana hapa wakiongozwa na MALAIKA
Ahahahh mie Sijui waulize akina Mentor kwan ww siku ya Escape one haukula keki pale? Sikukuu ZA kuzaliwa ZA mentorHuyo mazazi natumaini siyo Malaika mimi hapa
Mmmh,huyu Malaria Sugu a.k.a MS alikua mtata sana ,Mara ya mwisho alikua ana post MwanaHalisi Forum. Kulikua na FEMS ,kuna akina Moshe Dayne ,D'elvis ...Kweli Mkuu enzi zenu vita ya tatu ya Dunia Malaria Sugu kabla hajapigwa Life Ban na wafia dini wenzie... Mkuu wee una historia kubwa sana siku moja Njoo hapa utukumbushe tulikotoka maana hawa akina Nanliuu wamekuja juzi na Mbio za Mwenge hawajui kama Kuna ID ina 13yrs active
Kweli Mkuu enzi zenu vita ya tatu ya Dunia Malaria Sugu kabla hajapigwa Life Ban na wafia dini wenzie... Mkuu wee una historia kubwa sana siku moja Njoo hapa utukumbushe tulikotoka maana hawa akina Nanliuu wamekuja juzi na Mbio za Mwenge hawajui kama Kuna ID ina 13yrs active
Futilia sana MS na huo mtandao ulioutaja kama kuna uhusianoMmmh,huyu Malaria Sugu a.k.a MS alikua mtata sana ,Mara ya mwisho alikua ana post MwanaHalisi Forum. Kulikua na FEMS ,kuna akina Moshe Dayne ,D'elvis ...
........mkuu nawewe umevuta umri!