Miaka 100 ya kuangushwa Khilafah: Hizb Ut Tahrir yazindua kampeni ya kiulimwengu kwa anuani: "Enyi Waislamu isimamisheni

Kwahiyo hiyo aya inaonesha Mungu anakubali utumwa!? Mbona aya haizungumzii utumwa kbs.
Wewe una aya kibao za kuondoa contradiction kwanza kabla hujarukia huku, usijisahaulishe hapa.

Ondoa contradictions katika Quran kwenye aya nilizokuletea hapa.
 
Wewe una aya kibao za kuondoa contradiction kwanza kabla hujarukia huku, usijisahaulishe hapa.

Ondoa contradictions katika Quran kwenye aya nilizokuletea hapa.
Si mada yetu kwa leo, jifunze adabu ya mjadala. Adabu kubwa ni kuwa ndani ya mada husika, siku tukizungumzia contradictions ktk vitabu vya dini zingine tutagusia na madai yako kwa vile Quran haina contradiction isipokuwa watu wasiojua Uislamu wala lugha ya kiarabu ndiyo huchanganya
 
Kama si mada yetu ya leo, kwa nini uliniomba nizilete hizo contradictions hapa?

Wewe kuomba mimi nizilete contradictions hapa inaonesha kwamba, ulifikiri zitakuwa contradictions chache na rahisi kuzijibu.

Nimekuletea, umeziona ni nyingi na huwezi kuzijibu, unarukaruka kukimbia kuzijibu.

Wewe Muislamu?

Muislamu anaogopa challenge?

Unaji contradict hata kwenye kujibu contradictions.

Kubali tu huna majibu ya maswali.

Kwa sababu Uislamu ni uongo uliotungwa na watu tu, una contradictions nyingi sana.

Na kama Uislamu ni uongo uliotungwa na watu tu, una contradictions nyingi sana, hayo mambo mengine ya Uislamu kutawala dunia ni muendelezo wa uongo huo huo.

Ni siasa za kijinga zilizopitwa na wakati.

Bila kujibu hizo contradictions, hujaweza kupinga hoja kwamba Uislamu ni mfumo uliojengwa kwenye uongo mwingi sana na hivyo haufai kutawala dunia.
 
Dunia ya leo unaongea na kuleta utopolo wa kiwango cha lami!
Kuua wengine kwa jina la allah mnaemtaja sijui ndio nini!
Mungu wetu amekataza kuua au kumwaga damu zisizo na hatia na adhabu yake ni moto wa milele.
Sijui ni mungu yupi mnaemshirikisha ktk kuua tena bila huruma.
 
Waislamu hatuendeshwi na hisia pole, unakusudia kututoa ktk mada
 
Waislamu hatuendeshwi na hisia pole, unakusudia kututoa ktk mada
Nimekuwekea hoja, zenye mantiki na ushahidi wa aya, kuonesha kwamba Uislamu ni uongo unaojipinga, hujaweza kujibu hoja.

Unasemaje naongozwa na hisia wakati nimekuzidi hoja kimantiki na huwezi kuzujibu?

Unakataa hoja zangu na kusema Quran haina contradiction?

Inaonekana wewe unajinasibu Uislamu, wakati Uislamu huujui na huwezi kuutetea.
 
Usitutoe nje ya mada Kama huwezi kuchangia ndani ya mada ni tatizo lako
 
Khilafa itarudi tu ndio sababu America nd Europe hawalali coz wapo kama wayahudi watu wa kitabu wanajua fika Khilafa itarudi tu hili haliepukiki ni swala la muda tu
Mkishakunywa gahawa na elimu zenu finyu ndio mnavyodanganyana? Utatawalaje dunia ilhali huna elimu yoyote? Yan unadhani kutawala dunia Ni sawa na kufuga madevu?
 
Falao alikuwa na mawazo kama yako kilichotokea akuamini hadi Leo dunia inamsoma, time will tell
Hahaha enzi za sasa sio za faraó,huwez tawala dunia ya wasomi ilhali wewe Ni kilaza unaejua kufuga to ndevu, mtaendelea kusubiri meli airport
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…