Biashara haramu iliyojificha nyuma inanifanya hata nisiangalie migahawa yake.
Kumbe Wavuvi Camp nayo ni ya kwake.Alafu hao hao weekend utawakuta samaki samaki wanakula mishkaki huku wanapost zao Instagram,saizi jamaa kaja na wavuvi camp ,chimbo lamoto sana 😃
Acha hizo wewe, calito alikuwa anakaa ngorongoro, alikuwa anauzia wamasai sembe?? Alipokuja bongo alikuwa ngorongoro, na kule ndo alipata passion ya kufungua hiyo migahawa, huyo anaujua UTALII wa bongo haswa, na hizo migahawa zake kaziweka kiculture kama porini, na mtaji katoa kwaoMission town huyu,aliutumia uzembe wa serikali zilizopita akatusua. Kama unavyojua wabongo wakiona mzungu.
Sana kuna rafiki yangu mmja dem mmja hapa mjini anamiliki coffee shop...nlimjua jamaa kupitia yeyeMtu safi sanaa huyu jamaa.
I stand with you chief.Sana kuna rafiki yangu mmja dem mmja hapa mjini anamiliki coffee shop...nlimjua jamaa kupitia yeye
Na kabla ya hapo alipo jamaa alikuwa bar man hapo chui Bay
Kweli jamaa anaupendo sana mpaka kwa wafanyakazi wake
Unajua hata samaki samaki inaanza si unakumbuka yeye alikuwa anakomaa mwenye pale hadi kwenye kupika
Enzi hizo Ana pajero gari
Jamaa kilichomtoa ni uaminifu tu na netwrk alijuwa itumia,kufanya kazi kwa bidii
Hayo mambo ya smbe blhblh tu
Ova
Ukishasema wewe, anaefuatia yoyote simuamini 😁✊✊Sana kuna rafiki yangu mmja dem mmja hapa mjini anamiliki coffee shop...nlimjua jamaa kupitia yeye
Na kabla ya hapo alipo jamaa alikuwa bar man hapo chui Bay
Kweli jamaa anaupendo sana mpaka kwa wafanyakazi wake
Unajua hata samaki samaki inaanza si unakumbuka yeye alikuwa anakomaa mwenye pale hadi kwenye kupika
Enzi hizo Ana pajero gari
Jamaa kilichomtoa ni uaminifu tu na netwrk alijuwa itumia,kufanya kazi kwa bidii
Hayo mambo ya smbe blhblh tu
Ova
He's a loving personI stand with you chief.
Huyo mrangi ni hustla na mtoto wa mjini hasa.Ukishasema wewe, anaefuatia yoyote simuamini [emoji16][emoji110][emoji110]
Ndugu mrangi njoo Mkuranga huku tununune korosho kaka.He's a loving person
Habaguwi marafiki
Kuna mtanzania mmoja alikuwa Spain
Yeye ndiyo alimuinspire aje tanzania
Huyo jamaa anaitwa smbdy Khalifa na mpaka leo anamrespect jamaa
Pale samakisamaki kuna wakati mfanyakazi mmja wa kike alifariki
Jamaa aliumia sana na mpaka leo
Aliweka picha yake iko pale samaki
Inshort anawathamini sana employers
Wake sana
Haya mambo sijui sembe na mengine ni kuzusha tu
Jamaa alianza mbali sana sema labda watu wamemjua hivi karibuni ila kama kidogo mtu ulikuwa unazunguka zamani utakuwa ulimgumia
Unajua wenzetu wanajua sana kukamatia fursa na wakiona fursa wana watu wao wakiwagusa wanawasaidia
Mfano mwingine yule Nicola alikuwa anamiliki sleepway,alikuja choka tu tanzania tena alikuja kama fundi ila aliona nafasi huku akatumia
Wenzetu wanainuana sana
Ova
You said it brother,He's a loving person
Habaguwi marafiki
Kuna mtanzania mmoja alikuwa Spain
Yeye ndiyo alimuinspire aje tanzania
Huyo jamaa anaitwa smbdy Khalifa na mpaka leo anamrespect jamaa
Pale samakisamaki kuna wakati mfanyakazi mmja wa kike alifariki
Jamaa aliumia sana na mpaka leo
Aliweka picha yake iko pale samaki
Inshort anawathamini sana employers
Wake sana
Haya mambo sijui sembe na mengine ni kuzusha tu
Jamaa alianza mbali sana sema labda watu wamemjua hivi karibuni ila kama kidogo mtu ulikuwa unazunguka zamani utakuwa ulimgumia
Unajua wenzetu wanajua sana kukamatia fursa na wakiona fursa wana watu wao wakiwagusa wanawasaidia
Mfano mwingine yule Nicola alikuwa anamiliki sleepway,alikuja choka tu tanzania tena alikuja kama fundi ila aliona nafasi huku akatumia
Wenzetu wanainuana sana
Ova
Nakazia !Yaani ina maana hujaona kitu positive katika nyuzi hii yote ukakichukua na kujifunza? Jua tu, kuwa negative minds na chuki zinachangia kiasi kikubwa kupata magonjwa yasiyoambukiza na kutudidimiza vijana wa kitanzania.
wewe ni nani mpaka umuhukumu hivyo? Unataka kusema nini hapa? Kwamba mamlaka zinazohusika zinamfumbia macho pamoja na kujua kuwa anafanya hy biashara haramu "sembe" kama unavyodai?
Angalau basi hata unge acknowledge ubunifu wake ktk nyanja ya biashara hii ya migahawa na bar, kuwa amechangia kwa kiasi kikubwa kubadili muonekano na kuleta mapinduzi ktk sekta hii, unajua kuna watu wangapi Tanzania nzm wame copy style ya huyu jamaa?hasa zile meza za mitumbwi, kubandika picha za 'majembe' kwenye kuta n.k? Brother/Sister this guy works real hard, hata kama kuna kitu kibaya nyuma yake anakifanya ( mimi sy hakimu wa hilo) ila anachokifanya kinaonekana wazi kbs na inapaswa tujifunze.
Ndugu, tujenge utamaduni wa kuyaona mazuri kwa watu/vitu na siyo kutafuta mabaya tu sababu hayatusaidii, hata shetani kuna muda ana mazuri yake ujue. Tukijitahidi kujijengea utamaduni wa ku appreciate na kuwa na positive minds namna hy, itachangia sana hari ya kujikwamua kimaisha na kuleta tija ya kweli ktk jamii zetu hasa katika zama hizi za ufinyu wa ajira za kuajiriwa.
Adios!
..na kuna nyama ya kuku pale inaitwa "kiuno cha Ray-C". Huyu mzungu mhuni sana siku anazindua hicho chakula alimwita Mwisho mwampamba kuwa mtu wa kwanza kula hicho chakula (kuku) kisa tu ni kuwa mwisho anakijua kiuno cha ray C vizuri kwa sababu alikuwa demu wake enzi hizo....Napenda majina ya vyakula vyake!! Butiama mix, chizi iringa, lindi flavour!!
Very creative
Exposure mkuu hakuna cha zaidi.Tanzania nchi yenye kujaa fursa ambazo wageni huziona kwa wepesi kuliko Watanzania wenye nchi yao
Ni pirate maana naona ana kipago jicho moja??Ni miaka kumi na mbili (12) tangu kuanzishwe migahawa hii maarufu hapa bongo, kwa ambao washapata huduma za samaki samaki watakuwa mashahidi juu ya ubora, huduma nzuri na kikubwa ubunifu unaotumika kutoa huduma zao.
A man behind all these creativity sio mwingine bali ni Carlos Bastos ama "kalito samaki" kama wengi wanavyomfahamu. Jamaa ni muhispania aliyeishi bongo miaka mingi akiwa ni mtoto pekee kwenye familia yao. Kalito ana watoto watatu, wawili akiwa amezaa na mbongo huku mmoja wa mwisho akiwa amezaa hivi karibuni na muhispania mwenzake.
Licha ya kuwa muhispania kalito ni muabudu mzuri wa tamaduni za kitanzania ambapo mara nyingi utamkuta kavaa kimasai au msuli kama mtu wa pwani, Pia jamaa ni mtu wa watu sana ambapo muda mwingi hujichanganya na wateja zake kitu kilichompelekea kutengeneza marafiki wengi hasa wasanii.
Mnamo mwaka 2014 kalito aligundulika na melanoma (skin cancer) kwenye jicho lake la kushoto hali iliyompelekea kupoteza matumaini ya kuishi kabisa.
"Hii ni aina ya kansa , inayotokea mara chache. Kilikuwa kipindi kigumu sana kwangu tatizo la kansa sio kwakuwa iko eneo moja itabaki hapo tatizo ni kuwa ina uwezo wa kusambaa mwili mzima na kwa kawaida ikifikia hatua hii una kufa”
Alinukuliwa wakati akihojiwa na mtangazaji maarufu hapa bongo.
“Ile hali ya kuwaza muda wowote utakufa ilibadili sana maisha yangu na kunifanya niwaze tofauti nikaanza kujifunza vitu vipya ni kwa kiasi gani ili kulinda afya yetu tunatakiwa kula vizuri
Nimejifunza kufurahia kila wakati ninaopata kwakuwa sijui ni lini itakuwa siku yangu ya mwisho maisha yangu yakabadilika na sasa nimekuwa makini zaidi na maisha pamoja na ninayoyafanya”
Kalito aliamua kurudi kwao hispania kwa matibabu ambapo alifanyiwa operesheni ya kuondoa jicho la kushoto ambapo akaja na style ya kuvaa kitambaa cheusi (patch) kwenye sehemu ya jicho lake.
Ukiacha maisha yake binafsi Kikubwa kilichonifanya nimzungumzie huyu jamaa leo, ni ile roho ya upambanaji aliyokuwa nayo na ubunifu wa biashara ambapo kiukweli ni jambo la kujifunza. Kuna migahawa mingi sana bongo lakini mgeni huyu ameteka soko na kutengeneza jina kubwa kwenye biashara ya chakula na vinywaji.
Hili ni jambo la kujifunza kwa vijana na watu wanaoamua kujiajiri kuwa kitu chochote unachofanya kinahitaji ubunifu na focus kwenye kufanikiwa.
Wengi wanaweza kudhani jamaa alianzia hapo juu kwenye kumiliki migahawa lakini kiukweli jamaa alianzia chini kama Barman kwenye mgahawa wa CHUI BAY sasa ukifahamika kama Capetown fish market, alihudumu hapo kwa muda kadhaa kabla hajaanza kumiliki migahawa yake mwenyewe (the hustle was real).
Cha kujifunza ni kutokukata tamaa na kuweka malengo bila kusahau ubunifu kwenye kila unachofanya. Keep your dream alive, everything is possible for those who believe.
let's meet at the top. Cheers [emoji1635]View attachment 1231241View attachment 1231242
Nakumbuka ulivyolima tikiti maji.Hahaha nna kimeo muda sana hapo mwarusembe.....
Aise pande hizo ntaibuka
Ova
No excuseJamaa kaumwa jicho likatolewa, akaunganishia style ya U Pirate humohumo.
Hapo ndipo utajua maana ya "When you are given lemons, make lemonade.".
Don't cry for oranges.