Miaka 20 Baada ya Kutwaa Kombe la Dunia, Unamkumbuka Nani Hapa?

Miaka 20 Baada ya Kutwaa Kombe la Dunia, Unamkumbuka Nani Hapa?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Hapa ni baadhi ya wachezaji wa Ufaransa waliobeba Kombe la Dunia katika ardhi ya nyumbani mwaka 1998. Je ndugu yangu mhenga unamkumbuka nani hapo kwenye picha?
7138053226521644a607fc9573202d9c.jpeg
 
lizarazu,lilian thuram,christopher dugary lionel chabbonier ,laurent blanc,zidane, frank lebouf,mercel desail,christian karembeu,benard lama
 
Hapa ni baadhi ya wachezaji wa Ufaransa waliobeba Kombe la Dunia katika ardhi ya nyumbani mwaka 1998. Je ndugu yangu mhenga unamkumbuka nani hapo kwenye picha?
View attachment 964337
Namuona straika Guivach, alikuwa ndio namba 9 yao wakati wanabeba ndoo lakini hakufunga goli hata moja. Hana tofauto na Giroud walivyotwaa mwaka huu nae hakufunga goli hata moja.
 
Maisha bhana! Muda si mrefu Messi na Ronaldo wataitwa wastaafu japo wataacha kumbukumbu nzuri sana.
 
Back
Top Bottom