Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hapa ni baadhi ya wachezaji wa Ufaransa waliobeba Kombe la Dunia katika ardhi ya nyumbani mwaka 1998. Je ndugu yangu mhenga unamkumbuka nani hapo kwenye picha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NaongezaKarembeu wa kwanza kulia, Fank Labouf wa nne kulia, Zidane Zinedine wa tano kulia.
Witold Slyvian wa pili kushoto?
Huyo wa pili kushoto ni Lilian ThuramKarembeu wa kwanza kulia, Fank Labouf wa nne kulia, Zidane Zinedine wa tano kulia.
Witold Slyvian wa pili kushoto?
Namuona straika Guivach, alikuwa ndio namba 9 yao wakati wanabeba ndoo lakini hakufunga goli hata moja. Hana tofauto na Giroud walivyotwaa mwaka huu nae hakufunga goli hata moja.Hapa ni baadhi ya wachezaji wa Ufaransa waliobeba Kombe la Dunia katika ardhi ya nyumbani mwaka 1998. Je ndugu yangu mhenga unamkumbuka nani hapo kwenye picha?
View attachment 964337
Wapi Bartez na kipara chake?Mwenye miwani ni Blanc