Miaka 20 baada ya tukio la kigaidi (home-grown terrorism) la September 11 huko Marekani. Tanzania imejifunza nini?

Miaka 20 baada ya tukio la kigaidi (home-grown terrorism) la September 11 huko Marekani. Tanzania imejifunza nini?

Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.
Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania, Yampongeza Rais Samia na Kuipongeza Tanzania, Kujenga Mazingira Bora ya Biashara ya Mafuta, Uwekezaji.
 
Hahaaaa,kwa hiyo una maanisha kuwa kuwa vita yoyote ile tutakayopigana na jirani au adui tutapigwa vibaya Sana,maana wasoma rada ni wengi[emoji1][emoji3]

Hayo yote ni mfumo mbovu ndani ya ccm,acha tu yaendelee mbeleni huko akili itatushtuka tukishaumizwa sana na watu kuamua kufanya kile wanachokiamini kuwa iwe jua au mvua lazima kieleweke
 
Hahaaaa,kwa hiyo una maanisha kuwa kuwa vita yoyote ile tutakayopigana na jirani au adui tutapigwa vibaya Sana,maana wasoma rada ni wengi[emoji1][emoji3]

Hayo yote ni mfumo mbovu ndani ya ccm,acha tu yaendelee mbeleni huko akili itatushtuka tukishaumizwa sana na watu kuamua kufanya kile wanachokiamini kuwa iwe jua au mvua lazima kieleweke
Unapenda sana kuwataja taja CCM?
 
Back
Top Bottom