Miaka 20 sasa imepita bado anaitesa akili yangu?

Miaka 20 sasa imepita bado anaitesa akili yangu?

Mkuu ni kweli unayosema ila sasa nshakuwa mtu mzima na nina maisha yangu najiweza, ila ninachoshangaa kwanini hii hali haitaki kuniachia!
Unajua kuna muda ukiwa hoehae kuna zile insecurities lazima zikuandame,unawaza umekataliwa kwakuwa huna hiki na kile kumbe mwisho wa siku kila mtu anakataliwa vizuri tu.

Mkuu, unasubiri hali ikuache badala ya wewe kuiacha na kusonga na mambo mengine?!

Mbona umeachana na suala la uyatima na unasonga?

Mbona umeachana na umasikini na unasonga?

Kifungo chako ni more mental ndio maana unazurura nacho over 20+years, the choice is yours… ujiweke huru ama uendelee kujifunga.

20+years maana yake we ni mtu mzima around 40yrs, sasa kama unatatizwa na jambo dogo hivi nadhani unahitaji kujitazama namna unavyo perceive mambo.
 
Mkuu miaka 20 bado unamuwaza mtu ambae ukute kwenye kumbukumbu zake alishakusahau kitambo sana wala hana time na wewe, toka hapo ulipo anza maisha mapya kwanza kwa muda huu ilitakiwa uwe na mke na watoto wako, move on acha kuwaza vitu visivyofikilika kazi kwako
 
This is not love, it's a cocktail of infatuation, obsession and trauma. She's on your mind because your fragile ego got bruised, and you're subconscious finds hard to accept defeat.

Human beings tend to remember people who abuse and hurt them more. It's called Trauma, and it really is a weird paradox.

Believe me, this is Ego Tripping. Ukimshampata manzi wa hivi kesho tu unamchoka na humtaki tena kwasababu ubongo wako utakuwa umeshajiridhisha na ushindi.

Ila ukweli ni kwamba maisha ya watoto wa kiume ni magumu sana. Vibuti vya kipindi cha balehe huwa vinauma kinoma, sema tunazoea kuishi navyo tu.
 
Psychologically kinacho kusumbua ni Hali ya kuwa wewe ulikuwa mtoto wa masikini na yeye mtoto wa DC...

Umempa nguvu Sana kisaikolojia kuwa ukimpata yeye utakuwa "umeweza kufanya kitu kikuubwa"...

Big achievement....umepanda classs...

Hiko ndo kinakusumbua.......

Nashauri ungetafuta mwanasaikolojia mmoja akusaidie ...au mtafute tena huyo msichana hata Kwa Siri halafu Anza kum observe upya.... mostly likely ataongea kitu au atafanya kitu kitakufanya ufikie conclusion "AHH kumbe WA kawaida Tu kama wale wengine" utaweza Ku move on...

Jaribu kumtafuta mumewe pia umchunguze unaweza Baki mdomo wazi....yaani huyu namuona special kumbe mumewe ndo hili pumbavu??

Jaribu hilo....
Hii imeenda..
 
Kuna muda wale wanaosema tunapenda mara moja tu najaribu kukubaliana nao, haiwezekani baada ya miaka 20 kupita bado ananijia mpaka ndotoni, siku haipiti bila kumuwaza!

Ni hivi huyu mtu tumefahamiana kipindi hicho shule ya msingi,alihamia shule yetu akiwa std 6,kwao walikuwa na maisha standard tu maana baba yake alikuwa DC na mimi nilikuwa hoehae tu ambaye tayari nilishapoteza wazazi wote wawili.

Pengine ni uwezo wangu mkubwa darasani ndo ulifanya tukawa karibu sana,hakuna ambaye hakujua ukaribu wetu shule nzima, ila ndo hivyo mapenzi ya kitoto hakuna chochote cha maana kilichoendelea. Lakini tu niseme ni best feeling ambayo sijawahi kupitia tena popote. Tulifaulu std 7 kwenda shule moja, baada ya miezi kadhaa yeye alihama na kwenda shule ya girls, baada ya hapo sikuona tena ule umaana wa kubako hiyo shule, na mimi niliforce nikahama,tuliendelea kuwasiliana kwa barua tu, na kipindi chote hicho sikuwahi mtongoza japo maneno yalikuwa mengi sana kwamba sisi ni wapenzi!

Nakumbuka mwaka 2003/2004,nilifanya jitihada tulionana na ndipo nilipoamua kumueleza hisia zangu,kifupi alinikataa kwamba hatuwezi kuwa pamoja, na kikubwa dini itanisumbua (yeye alikuwa muislamu),na alisisitiza zaidi kwamba kuna watu walioa na wakafiwa na wake zao, ila maisha yakaendelea sembuse yeye!Kifupi siku na namna nilikubaliana na maamuzi yake. Ila kinachoniuma baada ya pale mawasiliano yaliyumba sana.

Bahati mbaya zaidi alienda advance mkoa wa mbali kabisa kabisa tofauti na mimi, ikafika kipindi mawasiliano yakakata kabisa.kila nilipojitahidi kurudisha ukaribu nilikwama kabisa maana yeye hakuwa na huo muda. Niliwaza sana, kwamba huyu mtu sawa hanitaki lakini hata ule urafiki tu ina maana miaka yote ulikuwa ni uongo?Kwanini mtu apotee mazima hivyo kana kwamba hajawahi kuexist kabisa kwenye maisha yangu? Yaan hapa ndo nilianza kuijua vizuri dunia!

Mbaya zaidi kilichokuwa kinanitesa, kila mtu anayenijua tukiwasiliama basi ataniuliza huyo mtu yuko wapi,ili mradi tu tafrani! Ilifika muda mpka magroup ya primary na sekondary nikaleft, hata wale rafiki zake ambao kila nikiingia fb lazima niwaone ikabidi niwahide na kuwamute. Hii yote haijanisaidia,kila siku bado anazurula akilini mwangu.

Kuna muda hii dhana ya kumove on hata siielewi,maana sio kwamba alikuwa mzuri sana hapana, tena hata tabia sikuijua lakini kwanini aendelee kunitesa hivi? Mbaya zaidi yeye ana maisha yake huko pengine hata hawazi kama amewahi kukutana na mimi maishani!Kuna muda najifariji pengine tu hakuwa wangu kwakuwa tulikuwa umri sawa, lakini nikienda kwenye uhalisia mbona watu wanaoa mpka watu waliowazidi umri.

NB;Nimewahi mpigia mara moja miaka kama 8 nyuma, tulipiga story fresh ila baada ya hapo ikawa imeisha.Bado natafuta mbadala wa huyu mtu, japo naona zoezi linaelekea kunishinda.
Unapoteza muda wako nadhani huna kazi ya kufanya
 
Mkuu, unasubiri hali ikuache badala ya wewe kuiacha na kusonga na mambo mengine?!

Mbona umeachana na suala la uyatima na unasonga?

Mbona umeachana na umasikini na unasonga?

Kifungo chako ni more mental ndio maana unazurura nacho over 20+years, the choice is yours… ujiweke huru ama uendelee kujifunga.

20+years maana yake we ni mtu mzima around 40yrs, sasa kama unatatizwa na jambo dogo hivi nadhani unahitaji kujitazama namna unavyo perceive mambo.
Aisee we utakuwa mwana saikolojia, maana umeongea point sijawahi ona.
 
.
Kuna muda wale wanaosema tunapenda mara moja tu najaribu kukubaliana nao, haiwezekani baada ya miaka 20 kupita bado ananijia mpaka ndotoni, siku haipiti bila kumuwaza!

Ni hivi huyu mtu tumefahamiana kipindi hicho shule ya msingi,alihamia shule yetu akiwa std 6,kwao walikuwa na maisha standard tu maana baba yake alikuwa DC na mimi nilikuwa hoehae tu ambaye tayari nilishapoteza wazazi wote wawili.

Pengine ni uwezo wangu mkubwa darasani ndo ulifanya tukawa karibu sana,hakuna ambaye hakujua ukaribu wetu shule nzima, ila ndo hivyo mapenzi ya kitoto hakuna chochote cha maana kilichoendelea. Lakini tu niseme ni best feeling ambayo sijawahi kupitia tena popote. Tulifaulu std 7 kwenda shule moja, baada ya miezi kadhaa yeye alihama na kwenda shule ya girls, baada ya hapo sikuona tena ule umaana wa kubako hiyo shule, na mimi niliforce nikahama,tuliendelea kuwasiliana kwa barua tu, na kipindi chote hicho sikuwahi mtongoza japo maneno yalikuwa mengi sana kwamba sisi ni wapenzi!

Nakumbuka mwaka 2003/2004,nilifanya jitihada tulionana na ndipo nilipoamua kumueleza hisia zangu,kifupi alinikataa kwamba hatuwezi kuwa pamoja, na kikubwa dini itanisumbua (yeye alikuwa muislamu),na alisisitiza zaidi kwamba kuna watu walioa na wakafiwa na wake zao, ila maisha yakaendelea sembuse yeye!Kifupi siku na namna nilikubaliana na maamuzi yake. Ila kinachoniuma baada ya pale mawasiliano yaliyumba sana.

Bahati mbaya zaidi alienda advance mkoa wa mbali kabisa kabisa tofauti na mimi, ikafika kipindi mawasiliano yakakata kabisa.kila nilipojitahidi kurudisha ukaribu nilikwama kabisa maana yeye hakuwa na huo muda. Niliwaza sana, kwamba huyu mtu sawa hanitaki lakini hata ule urafiki tu ina maana miaka yote ulikuwa ni uongo?Kwanini mtu apotee mazima hivyo kana kwamba hajawahi kuexist kabisa kwenye maisha yangu? Yaan hapa ndo nilianza kuijua vizuri dunia!

Mbaya zaidi kilichokuwa kinanitesa, kila mtu anayenijua tukiwasiliama basi ataniuliza huyo mtu yuko wapi,ili mradi tu tafrani! Ilifika muda mpka magroup ya primary na sekondary nikaleft, hata wale rafiki zake ambao kila nikiingia fb lazima niwaone ikabidi niwahide na kuwamute. Hii yote haijanisaidia,kila siku bado anazurula akilini mwangu.

Kuna muda hii dhana ya kumove on hata siielewi,maana sio kwamba alikuwa mzuri sana hapana, tena hata tabia sikuijua lakini kwanini aendelee kunitesa hivi? Mbaya zaidi yeye ana maisha yake huko pengine hata hawazi kama amewahi kukutana na mimi maishani!Kuna muda najifariji pengine tu hakuwa wangu kwakuwa tulikuwa umri sawa, lakini nikienda kwenye uhalisia mbona watu wanaoa mpka watu waliowazidi umri.

NB;Nimewahi mpigia mara moja miaka kama 8 nyuma, tulipiga story fresh ila baada ya hapo ikawa imeisha.Bado natafuta mbadala wa huyu mtu, japo naona zoezi linaelekea kunishinda.

Nadhani katika MAISHA Kila mtu kaandikiwa wake
Lakini pia MOYO hupenda kweli kabisa mara Moja tu katika MAISHA yetu yote wanaofuata unajaribu kupenda
This FUCKING shit wazungu wanaita FIRST LOVE
Nia miaka 33 imepita sijui huyu demu YUPO hai amekufa ama vipi alihama Shure wakahamia mkoani tukiwa darasa la pili since then sijawahi kumsahu mpaka Leo nakumbuka jina lake ni SALAMA alikuwa ni Desk mate wangu dawati Moja tulikuwa tunakaa watu wanne
Hvyo siwezi kushangaa Hilo najua wengi hawawezi kuelewa ila nakuelewa sana 7bu hata mimi mzimi wa SALAMA haujawahi kunitoka
 
Nadhani katika MAISHA Kila mtu kaandikiwa wake
Lakini pia MOYO hupenda kweli kabisa mara Moja tu katika MAISHA yetu yote wanaofuata unajaribu kupenda
This FUCKING shit wazungu wanaita FIRST LOVE
Nia miaka 33 imepita sijui huyu demu YUPO hai amekufa ama vipi alihama Shure wakahamia mkoani tukiwa darasa la pili since then sijawahi kumsahu mpaka Leo nakumbuka jina lake ni SALAMA alikuwa ni Desk mate wangu dawati Moja tulikuwa tunakaa watu wanne
Hvyo siwezi kushangaa Hilo najua wengi hawawezi kuelewa ila nakuelewa sana 7bu hata mimi mzimi wa SALAMA haujawahi kunitoka
Salama Jabir nini?
Btw mlisoma Morogoro SUA primary?
 
Salama Jabir nini?
Btw mlisoma Morogoro SUA primary?
Hapana sio tulisoma Shule Moja maarufu sana hapa DAR ES SALAAM mtu yoyote aliye na Miaka 30+ lazima aijuie hiyo PRIMARY ama azijue habari zake
But angekuwa SALAMA jabri SI ningemshamlukia
Miaka 33 sijui kama YUPO hai ama amekufa au vipi
Ila babaake alihamishwa KIKAZI then akabai na mamaake baada ya muda wakahamia mtwara namamaake unajua zamani kusoma na watoto wa mahakimu au Madc ama watoto wa wakuu wa mikoa wakuu wa police majeshi nk katika shule za serikali lilikuwa jambo la kawaida sana na ukifika zile shule maarufu za secondary kama TAMBAZA AZANIA FORODHANI nk huko ndo unakutana nao wengi sana sana
Huyu mamaake alikuwa karani wa mahakama kinondoni na babaake alikuwa alikuwa askari mpelelezi au afisa kipenyo alikuwa ni mtu wa kusafiri safiri nilikuwa nikisikia tu wakiongea watu huyu mzee mtu hatari
naona alivyohamia huko mzee wake mtwara na mamaake akamfata ndo wakahamia mazima huko mtwara walikuwa na MAISHA Bora kiasi mana hata pale school alionekana wakishua kiasi SI wajua miaka 80s 90s ukiwa na begi la shule katika hizo shule za kayumba basi nyumbani kidogo ALHAMDULILLAH
 
Back
Top Bottom