Uchaguzi 2020 Miaka 3 hayupo nchini, tuna imani gani na mlowezi huyu?

Uchaguzi 2020 Miaka 3 hayupo nchini, tuna imani gani na mlowezi huyu?

Wacha kuonyesha UJUHA wako hadharani wewe!!! Kwani hiyo miaka mitatu aliyokuwa nje ya Nchi unadhani yeye alipenda?

Umeliona hilo la yeye kutokuwa Nchini lakini hukutaka kuiona dhuluma kubwa aliyofanyiwa na aliyetaka KUMUUA, kisha akamnyima haki yake ya mamilioni ya pesa za matibabu na kisha kumpora Ubunge wake.

SHAME ON YOU!


Mgombea urais kupitia CHADEMA nakumbuka hakuwepo hapa nchini toka 2017 baada ya kupigwa na wenzake wasiojulikana, amepona akabaki huko kama 2yrs hivi.

Mwaka huu uchaguzi umekaribia tunamwona anarudi tena, ubaya anatangaza nia ya kuongoza taifa hili teule la Tanzania.

Kumbuka ana miaka 2 au 3 ivi hayupo, yupo kwa mabeberu, je ameongea nini na mabeberu??

Kama ameweza kuishi nje ya nchi kwa 3yrs, Je tukimpa nchi sio rahisi kwake kutuacha kama alivyokuwa amefanya??

Je, hakuna mpango nyuma ya pazia juu ya ugombea wa mtu huyu?

Je, baada ya uchaguzi, Tanzania tutadumu katika amani yetu??

Nina wasiwasi mkubwa na woga juu ya beberu huyu mpya.

Lissu mi nakukubali sana kama mtanzania mwenzangu, but kwasasa sina imani na wewe, may be 2025 nione mwenendo wako kama hujaagizwa na mabeberu eg r.amsterdam

#Nina imani ujumbe huu utaupata, hata kama si kama ulivyo hivi lakini hata kwa namna yoyote ile, coz JF ni wider sana kwa watu makini.

Wasaalam

#magema jr
 
Kama miaka 4 hayupo nchini mbona anawajambisha sana
 
Si mlikuwa mnadai hamjui alipo ? Leo unasema miaka mitatu alikuwa wapi vile ? Kijani kibichi ni hamnazo .
 
[emoji856][emoji856]
Herode
Mzee wa Mifadhaiko alipoona mhanga wa Risasi ni mzima yuko Nairobi akatuma watu(kina Samia)
Mhanga yule akarudi, wakaanza kuweweseka, imekuwaje risasi 16 zishindwe wakati 3 huwa zinamaliza kila kitu?
 
Unakalia toa sababu za yeye kutokuepo kwa miaka 3 nchini mbona mwajifanyanya kama hamna akili? Na kati kila kitu kiko wazi? Achen kutanguliza maslahi binafsi
 
Mgombea urais kupitia CHADEMA nakumbuka hakuwepo hapa nchini toka 2017 baada ya kupigwa na wenzake wasiojulikana, amepona akabaki huko kama 2yrs hivi.

Mwaka huu uchaguzi umekaribia tunamwona anarudi tena, ubaya anatangaza nia ya kuongoza taifa hili teule la Tanzania.

Kumbuka ana miaka 2 au 3 ivi hayupo, yupo kwa mabeberu, je ameongea nini na mabeberu??

Kama ameweza kuishi nje ya nchi kwa 3yrs, Je tukimpa nchi sio rahisi kwake kutuacha kama alivyokuwa amefanya??

Je, hakuna mpango nyuma ya pazia juu ya ugombea wa mtu huyu?

Je, baada ya uchaguzi, Tanzania tutadumu katika amani yetu??

Nina wasiwasi mkubwa na woga juu ya beberu huyu mpya.

Lissu mi nakukubali sana kama mtanzania mwenzangu, but kwasasa sina imani na wewe, may be 2025 nione mwenendo wako kama hujaagizwa na mabeberu eg r.amsterdam

#Nina imani ujumbe huu utaupata, hata kama si kama ulivyo hivi lakini hata kwa namna yoyote ile, coz JF ni wider sana kwa watu makini.

Wasaalam

#magema jr
Niambie kimoja tu;
Nani aliyeiteuwa Tanzania kuwa Taifa Teule?
 
Mgombea urais kupitia CHADEMA nakumbuka hakuwepo hapa nchini toka 2017 baada ya kupigwa na wenzake wasiojulikana, amepona akabaki huko kama 2yrs hivi.

Mwaka huu uchaguzi umekaribia tunamwona anarudi tena, ubaya anatangaza nia ya kuongoza taifa hili teule la Tanzania.

Kumbuka ana miaka 2 au 3 ivi hayupo, yupo kwa mabeberu, je ameongea nini na mabeberu??

Kama ameweza kuishi nje ya nchi kwa 3yrs, Je tukimpa nchi sio rahisi kwake kutuacha kama alivyokuwa amefanya??

Je, hakuna mpango nyuma ya pazia juu ya ugombea wa mtu huyu?

Je, baada ya uchaguzi, Tanzania tutadumu katika amani yetu??

Nina wasiwasi mkubwa na woga juu ya beberu huyu mpya.

Lissu mi nakukubali sana kama mtanzania mwenzangu, but kwasasa sina imani na wewe, may be 2025 nione mwenendo wako kama hujaagizwa na mabeberu eg r.amsterdam

#Nina imani ujumbe huu utaupata, hata kama si kama ulivyo hivi lakini hata kwa namna yoyote ile, coz JF ni wider sana kwa watu makini.

Wasaalam

#magema jr
Mi tamchagua Mtanzania mwenzangu awamu hii siwezi tena kutawaliwa n mgeni
 
Ngoja nikuulize swali dogo wee mpuuzi.

Huko ulowezin alienda kufatia nini?

Na kwa kujua kilichompeleka , ulitaka akae muda gani arudi?

Jibu hayo maswali ndio utagundua wewe ni kilaza tu kama walivo vilaza wengine.
 
Amekuja kutimiza matakwa ya mabwana (zake) wakubwa mabeberu, atakaposhindwa kwenye uchaguzi utamwona anatimuka tena kwenda ulaya kwa kisingizio cha kuhofia usalama wake.
 
Punguza kulewa ulanzi na common asubuhi

Mlowezi kivipi wakati alikuwa kwenye matibabu baada ya kumbutua risasi 16

Angekuwa mjomba au Baba yako ungesema haya
Lissu anawaumiza akili
 
Yoyote yule aliyepitishwa na tume ya uchaguzi anatufaa kuwa rais wa nchi hii, maamuzi ni ya wananchi nimtume nani kati ya hao, ukisema hawafai basi tume ndio hawafai kuwepo pale kwa kutuletea watu wabovu, vilevile aliyeiteua tume naye hafai kwanin inatuletea tume mbovu ambayo haiwezi kuona kuwa huyu mtu ni kibaraka wa mabeberu?
 
Mgombea urais kupitia CHADEMA nakumbuka hakuwepo hapa nchini toka 2017 baada ya kupigwa na wenzake wasiojulikana, amepona akabaki huko kama 2yrs hivi.

Mwaka huu uchaguzi umekaribia tunamwona anarudi tena, ubaya anatangaza nia ya kuongoza taifa hili teule la Tanzania.

Kumbuka ana miaka 2 au 3 ivi hayupo, yupo kwa mabeberu, je ameongea nini na mabeberu??

Kama ameweza kuishi nje ya nchi kwa 3yrs, Je tukimpa nchi sio rahisi kwake kutuacha kama alivyokuwa amefanya??

Je, hakuna mpango nyuma ya pazia juu ya ugombea wa mtu huyu?

Je, baada ya uchaguzi, Tanzania tutadumu katika amani yetu??

Nina wasiwasi mkubwa na woga juu ya beberu huyu mpya.

Lissu mi nakukubali sana kama mtanzania mwenzangu, but kwasasa sina imani na wewe, may be 2025 nione mwenendo wako kama hujaagizwa na mabeberu eg r.amsterdam

#Nina imani ujumbe huu utaupata, hata kama si kama ulivyo hivi lakini hata kwa namna yoyote ile, coz JF ni wider sana kwa watu makini.

Wasaalam

#magema jr

Mtakuwa mnahesabu hasara kubwa sana kwa kutofanikiwa kumwua Lissu.

Ndiyo maana chamia anahesabu kwa maumivu hata risasi ambazo bila shaka nazo mnazijutia kama hasara mliyopata.

Akheri ya mchawi kuliko nyinyi!

Kama haya ndiyo majibu mliyohamasishwa na bashiri, mkamwambie: kama tume ya uchaguzi hatendi haki, safari hii tumedhamiria.

Tutaelewana tu!
 
Back
Top Bottom