Pre GE2025 Miaka 3 kwenye game, suala la nyomi bado inaonekana shida kwa Rais Samia

Pre GE2025 Miaka 3 kwenye game, suala la nyomi bado inaonekana shida kwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inabidi atumie Busta
1. Kusomba watu kwenye mafuso, malori, matipa, matela ya trekta na pawatila, mabasi n.k
2. Kutumia wanafunzi waliovaa nguo za nyumbani na waalimu
3. Kutumia wasanii wakubwa na watu maarufu, watoe shoo za bure.

Bitozo bila busta, atahutubia msafara wake, machawa, wakereketwa wa chama na wale mabibi waliopewa vitenge.


NB. Wataiba kura watashinda
😂😂😂😂😂😂
 
yule mwenda zake,alikuwa na nyomi,mpaka kwenye masanduku ya kura .mwisho akaiba na kura zenyewe
 
Karibia miaka 3 sasa lakini suala la kujaza watu kwa mama Samia bado linaonekana shida.

Ukiachana na watu wa hamasa wa UVCCM ambao huwa wanatangulia kituo kinachofuata kwa ajili ya kumpokea rais, viongozi wa CCM na serikali, pamoja na msafara inaonekana mama Samia anapitia wakati mgumu sana kujaza hata uwanja mdogo kabisa.

Haiwezekani rais apate shida kujaza uwanja, anazidiwa hata na mkuu wa mkoa inakuwa sio vizuri kabisa.
Kwani ule utaratibu wa kuwasomba wadanganyika uliishia wapi?
 
Back
Top Bottom