Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Miaka 4 ya uongozi wa Rais Samia madarakani, Kiwango cha uwekezaji Kupitia Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) umeongezeka.
Kwa mwaka 2021 kulisajiliwa Miradi 256 ya uwekezaji yenye mtaji wa Dola bilioni 3.79.
Kwa mwaka 2022 kulisajiliwa Miradi 293 ya uwekezaji yenye thamani ya Mtaji wa Dola bilioni 4.53.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mwaka 2023 ikasajiliwa Miradi 526 ya uwekezaji yenye Mtaji wa Dola bilioni 5.72.
Kwa mwaka 2024 kulisajiliwa Miradi 901 ya uwekezaji yenye mtaji wa Dola bilioni 9.31 za Marekani ambapo zilizalishwa Jumla ya ajira 523,891.
Kwa mwaka 2021 kulisajiliwa Miradi 256 ya uwekezaji yenye mtaji wa Dola bilioni 3.79.
Kwa mwaka 2022 kulisajiliwa Miradi 293 ya uwekezaji yenye thamani ya Mtaji wa Dola bilioni 4.53.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mwaka 2023 ikasajiliwa Miradi 526 ya uwekezaji yenye Mtaji wa Dola bilioni 5.72.
Kwa mwaka 2024 kulisajiliwa Miradi 901 ya uwekezaji yenye mtaji wa Dola bilioni 9.31 za Marekani ambapo zilizalishwa Jumla ya ajira 523,891.
Your browser is not able to display this video.