Miaka 45 ya CCM: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA ndio wanaongoza kwa kujiunga CCM ukilinganisha na wapinzani wengine

Kwa hiyo unataka kumaanisha chadema Safi lazima azaliwe humohumo akitokea ccm ni kirusi?

Utakuwaje CHADEMA Safi umezaliwa CCM. Wengi wanaosumbua ni wale waliokuwa CCM wakahamia CHADEMA. Mtu aliyezaliwa CHADEMA Kama Mimi , siijui CCM sijawahi Hama mpaka Leo Nina miaka 17 Sasa na sioni chama bora Kama chadema. Lakini wahamiaji ndio virusi vibaya ndani ya CHADEMA.

Angalia Esther Bulaya na akina kaboyoka kina Waitara walichofanya CHADEMA leo. Virusi Ni wahamiaji ambao wameingizwa CHADEMA kwa maslahi. Nakiomba chama changu kianze kuinvest kwa die hard supporters na kuachana na wageni wanaokuja kuchukua vyeo na kuharibu chama maslahi yanapoondoka.
 

Sasa mbona mnauwa watu ,mnawatia vilema watu kwa kutumia vyombo vya dola kulazimisha ushindi badala ya kuwaachia Hao wananchi wakaichagua hiyo CCM wanayoipenda ?
 
......... It's very simple. Ndio wanaongoza kununuliwa na ccm kuliko vyama vingine kwa sababu wao ndio ccm wanawalenga kwa sababu vyama vingine vile wamevipandikiza wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…