Tetesi: Miaka 5 au 7: Sendeka ameokoa jahazi?

Tetesi: Miaka 5 au 7: Sendeka ameokoa jahazi?

Baija Bolobi

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2009
Posts
1,093
Reaction score
1,733
Wana JF

Mtakumbuka wiki hii mwanzoni ilisikika clip yenye sauti inayodaiwa kuwa Christopher Ole Sendeka - Mkuu wa Mkoa wa Njombe. Clip hiyo ilizungumzia hali ya demokrasia nchini pamoja na mkakati wa kuzima njama za kubadili katiba ili kumwezesha rais kuongoza kwa miaka 7 badala ya miaka 5 iliyo katika katiba ya sasa. Sauti ilisikika ikidai kama bunge lingekuwa na meno, linapaswa ku - impeach rais ili kuokoa hali ya mambo. Sendeka aliikana hata kama Spika ameagiza Kamati ya maadili kumuita na kumhoji. Katika thread Fulani iliyozunguka, ilidaiwa Sendeka anakiri kuwa sauti ile ni yake.

Taarifa ya Ikulu iliyoripoti mazungumzo kati ya rais na Humphrey Polepole na kwamba rais anasikitishwa na mjadala huu, yaweza kuwa imechochewa na clip ya Ole Sendeka kwa sababu zifuatazo:

-Rais amegundua kuwa kuna unafiki mwingi serikalini na kwenye chama. Kumsikia mteule wake naye akiteta negatively juu ya rais, inashtua na kumfanya aamini kuwa wapo wengine hata kama wako kimya.

-Kwa nini amuite Polepole badala ya kumuita Komredi Kinana ambaye ndiye mtendaji mkuu wa chama? Si ajabu ana habari kuwa hata yeye hapendi pendekezo hilo. Mdhamini mkuu wa pendekezo hili amekuwa ni Polepole kwa chini chini.

-lip ya Sendeka inafunua ukweli mchungu kuwa hali ya demokrasia ndani ya nchi na ndani ya chini si nzuri hata kidogo. Kila jambo lina mwisho.

--/Baija
 
kama anasema alisukumizwa huko sioni haja ya kuogopa hataongeza muda wa uongozi

ila kama alisema kisiasa duh..!
 
Huwezi kuamini Polepole huwa anajifanya kijana lakini sura yake imefanana na roho yake. Halafu huyo Polepole ni dogo mwenye tabia za kujipendekeza ile mbaya. Pia huyo dogo hawezi siasa za ushindani, hivo hii tabia ya mwenyekiti wake kuhakikisha vyama havifanyi siasa zake kama sheria inavyotaka anaiunga mkono ile mbaya. Mkulu amemuita kwani huyo dogo anaunga mkono kila jamaa anachosema tena katika hali ya kujipendekeza huku akijifanya mnyenyekevu.
 
Waache waendelee na unafiki wao tuu

Mimi hata hiyo miaka 2 iliyobaki ya huyu jamaa, naiona kama miaka 100 vile!

Bora miaka yake iishe, tuondokane na hayo matamshi yake ya majukwaani ya kukurupuka.
Ataekuja baada ya huyu miaka yake miwili utaiona kama 2000 pambana na hali yako muda haukusubiri.
 
Huwezi kuamini Polepole huwa anajifanya kijana lakini sura yake imefanana na roho yake. Halafu huyo Polepole ni dogo mwenye tabia za kujipendekeza ile mbaya. Pia huyo dogo hawezi siasa za ushindani, hivo hii tabia ya mwenyekiti wake kuhakikisha vyama havifanyi siasa zake kama sheria inavyotaka anaiunga mkono ile mbaya. Mkulu amemuita kwani huyo dogo anaunga mkono kila jamaa anachosema tena katika hali ya kujipendekeza huku akijifanya mnyenyekevu.

Nimecheka sana nilipoona ile clip ya ikulu wakati wa maongezi ya Polepole na mwenyekiti wake. Hakika utaona jinsi Polepole anavyo sukuma kichwa mbele nyuma kwa unyenyekevu wa kinafiki mpaka inatia kinyaa. Yale hayakuwa mazungumzo bali kaitwa kupokea amri maana ilikuwa kama mazungumzo ya mtwana na tajiri yake.
Sijapata kuona Nape akizungumza na JK kwa mtindo ule hata mara moja.
 
Nimecheka sana nilipoona ile clip ya ikulu wakati wa maongezi ya Polepole na mwenyekiti wake. Hakika utaona jinsi Polepole anavyo sukuma kichwa mbele nyuma kwa unyenyekevu wa kinafiki mpaka inatia kinyaa. Yale hayakuwa mazungumzo bali kaitwa kupokea amri maana ilikuwa kama mazungumzo ya mtwana na tajiri yake.
Sijapata kuona Nape akizungumza na JK kwa mtindo ule hata mara moja.

Huyo dogo huwa anatia kinyaa akikutana na mtu anayempa ulaji. Nakumbuka kwenye vipindi zamani nikiwa namuona wa maana, alikuwa anapenda kujiita mdogo, lakini ukija kwa haraka haraka unaweza kudhani yeye ndio mkubwa kwa umri. Nilidhani ni mnyenyekevu kweli kwa jinsi alivyokuwa anaongea, alipoingia kwenye siasa za ccm waziwazi ndio nikajua dogo ni mnafiki kiasi gani. Na vile kakutana na mwenyekiti ambaye anayependa kunyenyekewa basi hapo ni kumpa maagizo tu.
 
Wana JF

Mtakumbuka wiki hii mwanzoni ilisikika clip yenye sauti inayodaiwa kuwa Christopher Ole Sendeka - Mkuu wa Mkoa wa Njombe. Clip hiyo ilizungumzia hali ya demokrasia nchini pamoja na mkakati wa kuzima njama za kubadili katiba ili kumwezesha rais kuongoza kwa miaka 7 badala ya miaka 5 iliyo katika katiba ya sasa. Sauti ilisikika ikidai kama bunge lingekuwa na meno, linapaswa ku - impeach rais ili kuokoa hali ya mambo. Sendeka aliikana hata kama Spika ameagiza Kamati ya maadili kumuita na kumhoji. Katika thread Fulani iliyozunguka, ilidaiwa Sendeka anakiri kuwa sauti ile ni yake.

Taarifa ya Ikulu iliyoripoti mazungumzo kati ya rais na Humphrey Polepole na kwamba rais anasikitishwa na mjadala huu, yaweza kuwa imechochewa na clip ya Ole Sendeka kwa sababu zifuatazo:

-Rais amegundua kuwa kuna unafiki mwingi serikalini na kwenye chama. Kumsikia mteule wake naye akiteta negatively juu ya rais, inashtua na kumfanya aamini kuwa wapo wengine hata kama wako kimya.

-Kwa nini amuite Polepole badala ya kumuita Komredi Kinana ambaye ndiye mtendaji mkuu wa chama? Si ajabu ana habari kuwa hata yeye hapendi pendekezo hilo. Mdhamini mkuu wa pendekezo hili amekuwa ni Polepole kwa chini chini.

-lip ya Sendeka inafunua ukweli mchungu kuwa hali ya demokrasia ndani ya nchi na ndani ya chini si nzuri hata kidogo. Kila jambo lina mwisho.

--/Baija
Yani Clip ya Ole Sendeka ionyeshe Kuwa Hali ya Demokrasia CCM ni mbaya!!!!

HALAFU MGONGANO WA MASLAHI KATI YA LOWASSA..MBOWE.. LEMA.. BAVICHA NA NINYI WA JF Kuhusu kwenda Ikulu na KUTOA MAONI YAKE HURU IONYESHE KUWA DEMOKRASIA NDANI YA CHADEMA IKO VIZUUUURIIII????

hivi Huwa Mnawaza kwa kutumia nini nini Maba vichaaa????

Lichama linawafia badala ya kuwaza JINSI ya kulifufua mnakalia kujliwaza na JF!!!!!!

Kwa Taarifa yenu sasa Hivi ndo mmewathibitishia wenye Akili kuwa NI HAKI NA HALALI MBUNGE AU DIWANI CHADEMA KUHAMA ILI AMUUNGE MKONO RAIS MAGUFULI

MAANA KULE kwenye SACCOS YEYOTE ANAYEWAZA AU KUTOA MAONI TOFAUTI NA MBOWE.. LEMA.. LAZIMA AONJE JOTO LA JIWE NA KUITIWA KAMATI KUU

shame on You!!!!!
 
Yani Clip ya Ole Sendeka ionyeshe Kuwa Hali ya Demokrasia CCM ni mbaya!!!!

HALAFU MGONGANO WA MASLAHI KATI YA LOWASSA..MBOWE.. LEMA.. BAVICHA NA NINYI WA JF Kuhusu kwenda Ikulu na KUTOA MAONI YAKE HURU IONYESHE KUWA DEMOKRASIA NDANI YA CHADEMA IKO VIZUUUURIIII????

hivi Huwa Mnawaza kwa kutumia nini nini Maba vichaaa????

Lichama linawafia badala ya kuwaza JINSI ya kulifufua mnakalia kujliwaza na JF!!!!!!

Kwa Taarifa yenu sasa Hivi ndo mmewathibitishia wenye Akili kuwa NI HAKI NA HALALI MBUNGE AU DIWANI CHADEMA KUHAMA ILI AMUUNGE MKONO RAIS MAGUFULI

MAANA KULE kwenye SACCOS YEYOTE ANAYEWAZA AU KUTOA MAONI TOFAUTI NA MBOWE.. LEMA.. LAZIMA AONJE JOTO LA JIWE NA KUITIWA KAMATI KUU

shame on You!!!!!
====

Ndugu yangu, demokrasia haipo Chadema, iko CCM. Nimeleta hoja hii kwa sababu, clip ya Sendeka ilitaka kuchafua rekodi ya chama chetu lakini Mwenyekiti wetu makini kalibaini na kulirekebisha.
 
Huwezi kuamini Polepole huwa anajifanya kijana lakini sura yake imefanana na roho yake. Halafu huyo Polepole ni dogo mwenye tabia za kujipendekeza ile mbaya. Pia huyo dogo hawezi siasa za ushindani, hivo hii tabia ya mwenyekiti wake kuhakikisha vyama havifanyi siasa zake kama sheria inavyotaka anaiunga mkono ile mbaya. Mkulu amemuita kwani huyo dogo anaunga mkono kila jamaa anachosema tena katika hali ya kujipendekeza huku akijifanya mnyenyekevu.
Kwa hiyo yeye unamfananisha na Mariamungu wa Uganda!
 
Kwa hiyo yeye unamfananisha na Mariamungu wa Uganda!

Maliyamungu alikuwa jasiri huwezi fananisha na huyo dogo anayejipendekeza na kuishia kununua wapinzani, eti kuonyesha ccm na mwenyekiti wake wanakubalika.
 
Mfumo uliowekwa na awamu NNE zilizopita umefanikiwa kuchuja takataka za baadhi ya wanafiki na waroho wa madaraka.
 
Wana JF

Mtakumbuka wiki hii mwanzoni ilisikika clip yenye sauti inayodaiwa kuwa Christopher Ole Sendeka - Mkuu wa Mkoa wa Njombe. Clip hiyo ilizungumzia hali ya demokrasia nchini pamoja na mkakati wa kuzima njama za kubadili katiba ili kumwezesha rais kuongoza kwa miaka 7 badala ya miaka 5 iliyo katika katiba ya sasa. Sauti ilisikika ikidai kama bunge lingekuwa na meno, linapaswa ku - impeach rais ili kuokoa hali ya mambo. Sendeka aliikana hata kama Spika ameagiza Kamati ya maadili kumuita na kumhoji. Katika thread Fulani iliyozunguka, ilidaiwa Sendeka anakiri kuwa sauti ile ni yake.

Taarifa ya Ikulu iliyoripoti mazungumzo kati ya rais na Humphrey Polepole na kwamba rais anasikitishwa na mjadala huu, yaweza kuwa imechochewa na clip ya Ole Sendeka kwa sababu zifuatazo:

-Rais amegundua kuwa kuna unafiki mwingi serikalini na kwenye chama. Kumsikia mteule wake naye akiteta negatively juu ya rais, inashtua na kumfanya aamini kuwa wapo wengine hata kama wako kimya.

-Kwa nini amuite Polepole badala ya kumuita Komredi Kinana ambaye ndiye mtendaji mkuu wa chama? Si ajabu ana habari kuwa hata yeye hapendi pendekezo hilo. Mdhamini mkuu wa pendekezo hili amekuwa ni Polepole kwa chini chini.

-lip ya Sendeka inafunua ukweli mchungu kuwa hali ya demokrasia ndani ya nchi na ndani ya chini si nzuri hata kidogo. Kila jambo lina mwisho.

--/Baija

Subiri Upepo wa Kagame upite, ndio Tutafahamu zaidi..
 
Huwezi kuamini Polepole huwa anajifanya kijana lakini sura yake imefanana na roho yake. Halafu huyo Polepole ni dogo mwenye tabia za kujipendekeza ile mbaya. Pia huyo dogo hawezi siasa za ushindani, hivo hii tabia ya mwenyekiti wake kuhakikisha vyama havifanyi siasa zake kama sheria inavyotaka anaiunga mkono ile mbaya. Mkulu amemuita kwani huyo dogo anaunga mkono kila jamaa anachosema tena katika hali ya kujipendekeza huku akijifanya mnyenyekevu.
Ulimuona Leo ITV
Anavyoitikia kichwa kinagusa kifua kwa kunyenyekea
 
Yani Clip ya Ole Sendeka ionyeshe Kuwa Hali ya Demokrasia CCM ni mbaya!!!!

HALAFU MGONGANO WA MASLAHI KATI YA LOWASSA..MBOWE.. LEMA.. BAVICHA NA NINYI WA JF Kuhusu kwenda Ikulu na KUTOA MAONI YAKE HURU IONYESHE KUWA DEMOKRASIA NDANI YA CHADEMA IKO VIZUUUURIIII????

hivi Huwa Mnawaza kwa kutumia nini nini Maba vichaaa????

Lichama linawafia badala ya kuwaza JINSI ya kulifufua mnakalia kujliwaza na JF!!!!!!

Kwa Taarifa yenu sasa Hivi ndo mmewathibitishia wenye Akili kuwa NI HAKI NA HALALI MBUNGE AU DIWANI CHADEMA KUHAMA ILI AMUUNGE MKONO RAIS MAGUFULI

MAANA KULE kwenye SACCOS YEYOTE ANAYEWAZA AU KUTOA MAONI TOFAUTI NA MBOWE.. LEMA.. LAZIMA AONJE JOTO LA JIWE NA KUITIWA KAMATI KUU

shame on You!!!!!
acha hasira dogo, Sendeka anasema bunge legelege haliwezi mdhibiti magu,
 
Yani Clip ya Ole Sendeka ionyeshe Kuwa Hali ya Demokrasia CCM ni mbaya!!!!

HALAFU MGONGANO WA MASLAHI KATI YA LOWASSA..MBOWE.. LEMA.. BAVICHA NA NINYI WA JF Kuhusu kwenda Ikulu na KUTOA MAONI YAKE HURU IONYESHE KUWA DEMOKRASIA NDANI YA CHADEMA IKO VIZUUUURIIII????

hivi Huwa Mnawaza kwa kutumia nini nini Maba vichaaa????

Lichama linawafia badala ya kuwaza JINSI ya kulifufua mnakalia kujliwaza na JF!!!!!!

Kwa Taarifa yenu sasa Hivi ndo mmewathibitishia wenye Akili kuwa NI HAKI NA HALALI MBUNGE AU DIWANI CHADEMA KUHAMA ILI AMUUNGE MKONO RAIS MAGUFULI

MAANA KULE kwenye SACCOS YEYOTE ANAYEWAZA AU KUTOA MAONI TOFAUTI NA MBOWE.. LEMA.. LAZIMA AONJE JOTO LA JIWE NA KUITIWA KAMATI KUU

shame on You!!!!!
acha hasira dogo, Sendeka anasema bunge legelege haliwezi mdhibiti magu,
 
hili nalo linaweza kuwa jibu sahihi. hasa pale aliposema bunge limemong’onyolewa. yaan amewaambia wabunge wote ni ndio mwenyekiti. aibu kubwa sana hii
 
Back
Top Bottom