Miaka 5 ya Magufuli kukimbizana na Chadema na kuacha hoja yake kuu iliyokuwa ni UFISADI

Miaka 5 ya Magufuli kukimbizana na Chadema na kuacha hoja yake kuu iliyokuwa ni UFISADI

Nilipoona huyu CAG wake katoa ripoti hiyo, nikajua lazima uchafu ni mwingi kupita maelezo, na sasa hivi watu wanajipigia tu maana hakuna kelele za wapinzani, wala vyombo vya habari. Kisha wakishapiga wakiwa hadharani wanampa sifa za kijinga ili kumfumba macho kama kina Kangi Lugola.
Kina Pasco wamepewa pipi, wanashangilia eti upinzani utakufa 2020.
 
Nimesikitika sana baada ya kusoma report ya CAG kichere hakika ni majonzi makubwa kwa walipa kodi wa taifa hili, kuanzia Halimashauri wizarani, NEC, Police, Jeshini pesa zimepigwa sio utani hakika zimepigwa.

Je wizara zilizo chini yake hali ipoje? je ununuzi wa ndege je matumizi yake hali ipoje? kama wasaidizi wake wanapiga vile?

Wakina Kigwangala na katibu wake mpaka sasahivi bado wapo tu ofisi?

Mtu aliyejipambanua ni kiboko wa kupambana na ufisadi miaka 5 imepita anakimbizana na chadema na kuacha sera yake kuu ilikuwa ni kupambana na ufisadi uliokithiri katika taifa? Mahakama ya mafisadi iko wapi mbona wakosoaji ni rahisi sana kuwafunga?

Nakuhakikishia hata hizo kura kidogo ulizopata ni kwamba watu walikuwa na imani kidogo na wewe kuliko lowassa kwenye kupambana na ufisadi ila kitendo cha kufeli kwenye ufisadi hauna pa kutokea umefeli na umewasaliti watanzania.
Ameacha jukumu la msingi alilochaguliwa nalo la kupambana na shida za watz badala yake akaivest kupambana na mbowe aliyemkuta na atamuacha.Hizo gharama alizotumia kupambana na upinzani kwa miaka 5 laiti kama angewekeza kutatua shida ya ajira angalau lingepungua.Awamu hii ndio yaongoza kwa upigaji wanapiga wachache parefu haswaa, uhujumu uchumi wanapewa wasio na chapa au wadokozi wadogo ndo wamejaa jela.Mapapa maadamu yanakuwa yamenawa macho yamewekwa tinted.
 
Wapigaji ni marafiki wa Jiwe, katika ripoti hiyo, hakun atakayeguswa. Jeshi analiogopa, Kigwa ni Kichaa mwenzake as per his own words (situkani alisema hivyo mwenyewe kuwa anachagua kichaa kichaa kama yeye)....... Lugola ni mwanafunzi wake na Zonemate, labda awepo wa CDM katika ripoti hiyo..
Kuna bashite,mnyeti,sabaya hawa wanachapa pia wanafanya kazi nzuri ya kumfurahisha mkuu wa malaika kwa kuwashughulikia wapinzani uhujumu uchumi utumbuzi wao wanausikia kwa jirani tu
 
Nilipoona huyu CAG wake katoa ripoti hiyo, nikajua lazima uchafu ni mwingi kupita maelezo, na sasa hivi watu wanajipigia tu maana hakuna kelele za wapinzani, wala vyombo vya habari. Kisha wakishapiga wakiwa hadharani wanampa sifa za kijinga ili kumfumba macho kama kina Kangi Lugola.
[/QUOTE
Ukiona mtu anapenda Giza kuliko mwanga chunga Sana.
 
Tulishasema mpenda ligi si kwamba anapambana na ufisadi bali utumia fimbo ya ufisadi kuwachapia wasio na chapa yaani wapinzani wake.Wengine tena wenye ushahidi wa wazi wamekutwa na ngozi sababu wanayo chapa miwani ya mbao ndio uvaliwa
 
Nimesikitika sana baada ya kusoma report ya CAG kichere hakika ni majonzi makubwa kwa walipa kodi wa taifa hili, kuanzia Halimashauri wizarani, NEC, Police, Jeshini pesa zimepigwa sio utani hakika zimepigwa.

Je wizara zilizo chini yake hali ipoje? je ununuzi wa ndege je matumizi yake hali ipoje? kama wasaidizi wake wanapiga vile?

Wakina Kigwangala na katibu wake mpaka sasahivi bado wapo tu ofisi?

Mtu aliyejipambanua ni kiboko wa kupambana na ufisadi miaka 5 imepita anakimbizana na chadema na kuacha sera yake kuu ilikuwa ni kupambana na ufisadi uliokithiri katika taifa? Mahakama ya mafisadi iko wapi mbona wakosoaji ni rahisi sana kuwafunga?

Nakuhakikishia hata hizo kura kidogo ulizopata ni kwamba watu walikuwa na imani kidogo na wewe kuliko lowassa kwenye kupambana na ufisadi ila kitendo cha kufeli kwenye ufisadi hauna pa kutokea umefeli na umewasaliti watanzania.
Serikali hii ilijitoa kwenye mpango wa open governance, ukazima bunge, ukazima vyombo vya habari,ukafunga mikutano ya vyama vya siasa,ikanyamanzisha wakosoaji wote.Mnadhani juhudi zote za kuirudisha nchi yetu gizani lengo lake lilikuwa Nini? Yaliyoachwa yanaweza kuwauwa kabisa kwa pressure
 
Hivi ile mahakama imeishia wapi.mbwembwe nyingi za mafisadi.yaani kesi ya nyani aisimamie tumbili.nita shaangaa ccm kama wakimpa tena miaka mitano.
 
Serikali hii ilijitoa kwenye mpango wa open governance, ukazima bunge, ukazima vyombo vya habari,ukafunga mikutano ya vyama vya siasa,ikanyamanzisha wakosoaji wote.Mnadhani juhudi zote za kuirudisha nchi yetu gizani lengo lake lilikuwa Nini? Yaliyoachwa yanaweza kuwauwa kabisa kwa pressure
Nilipoona amejitoa kwenye open gvt,huku huku wasaidizi wa kupambana na ufisadi mfn CAG Assad,upinzani,media,vikishughulikiwa kama mbwa Koko nikajua hamna kitu hapo.Huwezi ukasema unapenda mwanga huku unapenda giza.Plus kuanzisha miradi mingi mipya na kuiacha ya zamani iliyokuwa haina 10%
 
Uchafu upo ccm Wa aina zote

Wachafu wa matumizi mabaya ya madaraka wapo ccm

Wachafu wa matumizi mabaya ya fedha za umma wapo ccm

Kwao ufisadi, wizi, uzushi na ukandamizaji ndio maisha

Chadema wanateseka bila hatia yoyote, sasa tumeona wahalifu wote wapo ccm

JE MAHAKAMA YA MAFISADI ITASWIHI?
Huwezipata bikira ccm
 
Nimesikitika sana baada ya kusoma report ya CAG kichere hakika ni majonzi makubwa kwa walipa kodi wa taifa hili, kuanzia Halimashauri wizarani, NEC, Police, Jeshini pesa zimepigwa sio utani hakika zimepigwa.

Je wizara zilizo chini yake hali ipoje? je ununuzi wa ndege je matumizi yake hali ipoje? kama wasaidizi wake wanapiga vile?

Wakina Kigwangala na katibu wake mpaka sasahivi bado wapo tu ofisi?

Mtu aliyejipambanua ni kiboko wa kupambana na ufisadi miaka 5 imepita anakimbizana na chadema na kuacha sera yake kuu ilikuwa ni kupambana na ufisadi uliokithiri katika taifa? Mahakama ya mafisadi iko wapi mbona wakosoaji ni rahisi sana kuwafunga?

Nakuhakikishia hata hizo kura kidogo ulizopata ni kwamba watu walikuwa na imani kidogo na wewe kuliko lowassa kwenye kupambana na ufisadi ila kitendo cha kufeli kwenye ufisadi hauna pa kutokea umefeli na umewasaliti watanzania.
Nioneshe Mwanaccm hasiye Fisadi
Na mimi nitakuonesha Twiga mwenye shingo fupi kama mbuzi
 
Wapigaji ni marafiki wa Jiwe, katika ripoti hiyo, hakun atakayeguswa. Jeshi analiogopa, Kigwa ni Kichaa mwenzake as per his own words (situkani alisema hivyo mwenyewe kuwa anachagua kichaa kichaa kama yeye)....... Lugola ni mwanafunzi wake na Zonemate, labda awepo wa CDM katika ripoti hiyo..

Duh 🙄
 
Huwa ninasema na ninaendelea kusisitiza kuwa Magufuli hajawahi kupambana na ufisadi, na hatakaa apambane na ufisadi, sana sana anapambana na matumizi ya neno ufisadi. Magufuli kama Magufuli ana wivu na nongwa ya kisiasa dhidi ya cdm, na kwakuwa cdm ilikubalika kutokana na ajenda hiyo ya ufisadi, basi akaipoka akidhani ccm nayo itapata mvuto kama cdm. Lakini alipotaka kupambana na ufisadi, akakuta ndio mti waliojenga ccm, tena karibia viongozi wote waliokuwa waandamizi wa ccm, na akajua fika akichukua hatua hata yeye atakuwa muhusika.

Baada ya kujua yeye binafsi na wanaccm wenzake ndio hasa mafisadi, akaifuta mahakama ya mafisadi, akapiga marufuku vyama vya siasa kufanya shughuli za kisiasa nchi nzima, na lengo hasa ilikuwa ni kuizua cdm. Akabana uhuru wa vyombo vya habari, ili uchafu usiendelee kuweka wazi, kisha akaanzisha kitengo cha propaganda kuhadaa umma kuwa anapambana na ufisadi. Bunge nalo akalifunga mikono na miguu ili limtii yeye na kuuza uhuru wake. Kiongozi wa aina hiyo hawezi kupambana na ufisadi.

Sasa hivi miaka mitano imetimia muda wa kutoa mahesabu, wanaccm wote hawako tayari Magufuli aingie kwenye ushindani, wanataka apite bila kupingwa, maana wanajua fika akibanwa kwenye hoja zote, lazima atachemsha. Hivyo wanaccm kutaka Magufuli asishindane ni kwakuwa wanajua fika akitokea mshindani akaweka mapungufu yake hadharani, basi atajikuta kwenye wakati mgumu kama JK dhidi ya Dr. Slaa uchaguzi wa 2010. Kimsingi ccm wanaweza kucheza hiyo rafu ili Magufuli awe mgombea pekee, ila hofu yao ni hii hali ya Marekani kushikia bango uchaguzi wetu wa sasa. Hivyo wanajaribu kuweka mazingira ili asiwe na mshindani, lakini mazingira ya kisiasa waliyoweka sio rafiki, hivyo wamemkamata Mbatia na Lipumba ili wawasaidie kwenye huu mziki.
Historia haionyeshi kama amewahi shinda chochote zaidi ya kubebwa
 
Hizo ripoti zimeeditiwa angalau zisiii umbue serikali, nakumpa credit CAG aliyepita Pfof. Asad sisi tuliobahatika kuona original version ni hatari tupu, kuna ufisadi wa kutisha
Magufuli alianza kwa kukwapua M4P ya Chadema wakati wa kampeni indicating kwamba kukwapua ni sehemu ya maisha yake
 
Huwezipata bikira ccm shamba ni lile lile.Wanyama ndo ubadilika akitoka nguruwe anaingi sokwe,nyani,tumbili,nk.
 
Back
Top Bottom