Namtamani ndugu yangu Yericko Nyerere achangie kwenye mnakasha huu. Huyu mzee Mohamed sikuzote hupindisha ukweli huja na vipicha vyake vya kuokoteza vichochoroni.
Mbona una hasira mkuu?
Nimekuuliza swali nikijua utanipa ilmu,naona umenilipa na matusi!Hizo sio tamaduni za watu wa bara yakhe!
Kwani mimi kumuamini mzungu mvaa nepi kuwa Mungu wangu inakuhusu nini?
Mbona wewe yule muarabu aliyemuoa mama yake na kumbaka mtoto wa miaka tisa unamuita mtume wako?
Naomba urudi kwenye hoja tafadhali!Ukinijibu swali langu la awali nitakushukuru sana!
Ahsanta sana!
Hizi ndio dalili za laana!.
Hiyo number ya mke wangu ulionayo uiweke jamvini ili iweje?!. Tena hiyo ni ya mke yupi?, Aliyeko DC, aliyeko Toronto?, Aliyoko Zanzibar au huyu wa bara?!. Weka tuu number ya mke wangu yeyote iliyonayo kama unadhani itakupunguzia laana ya kusingizia al marhum!.
Pasco
Katika Uislamu hakuna ndoa za namna hiyo (sina haja ya kunukuu Aya wala Hadith).Mapinduzi Matukufu wayaita mauaji?!. Zile ndoa za lazima kwa binti wa Kiarabu ili kuleta usawa waziita ubakaji?!. Nijuavyo mimi, mwanamke akishabakwa, tendo la iiubakaji likiisha isha, hubakiwa na machungu na hata kumuona mbakaji hathubutu!. Hao dada zenu wa Kiarabu waliofungushwa ndioa za usawa, wangekuwa wamebakwa si wangekasirika na kuziasi hizo ndoa batil!, mbona wametulia tuli ndani ya ndoa na zomedumu mpaka kesho?!. Au ndio kusema kumbe wanafurahia kubakwa?!.
Pasco.
Kama laana anatoa Nyerere mkuu na mimi niweke nipate laana.
Zanzibar, ilikuwa na maendeleo makubwa saana, kwa jinsi weusi walivyokuwa wanateswa na kubaguliwa na waarabu??? Du kweli tuna safari ndefu kujikomboa katika mawazo na fikira zetu. Imerudi nyuma mtu mweusi kuwa na heshima kwenye nchi yake?
Mkuu Maalim Mohamed Said, ni kweli uwanja unachafuka,Naona uwanja umechafuka. Pasco nilikuasa uwe na adabu. Mapadri wanavuliwa magwanda na rosary zao. Hili ndo ukilitafuta?
Mkuu Remote!
Dah! Teeh! Teeh! Teeh!...kumbe upo tu unanichungulia Mkuu wangu!
Tuko pamoja Mkuu!
Ahsanta.
Mbona una hasira mkuu?
Nimekuuliza swali nikijua utanipa ilmu,naona umenilipa na matusi!Hizo sio tamaduni za watu wa bara yakhe!
Kwani mimi kumuamini mzungu mvaa nepi kuwa Mungu wangu inakuhusu nini?
Mbona wewe yule muarabu aliyemuoa mama yake na kumbaka mtoto wa miaka tisa unamuita mtume wako?
Naomba urudi kwenye hoja tafadhali!Ukinijibu swali langu la awali nitakushukuru sana!
Ahsanta sana!
Mkuu Ritz, usinilishe maneno!, kusema nimempenda binti wa Kiarabu Zenji ndio imekuwa ngono?, hivi kila ukipenda tuu na kukiri kupenda ndio umeishafanya?!. Nimesema sisi watu wa Kanda ya Ziwa ni wagonjwa kwa wanawake weupe, kusema hivyo ndio limekuwa kosa!. Baadhi ya makabila ya Kiafrika wanawake wengi ndio jadi na asili yetu, kina unavyoongeza idadi inakuwa ndio sifa!, sasa kusema Zanzibar tumepita sana ndio imekuwa Ngono?,Mwenzio anajifu kwa ngono kafanya sana ngono mpaka kataja na majina aliofanya nao ngono, hivi mpaka sasa hivi kuna watu wanajisifu kwa ngono.
Teh teh teh
Mkuu Kajirita, nakuomba kwa hisani yako, niko chini ya miguu yako, naomba edit hii post yako, huo mstari miliobold, uondoe tafadhali!.Mbona una hasira mkuu?
Nimekuuliza swali nikijua utanipa ilmu,naona umenilipa na matusi!Hizo sio tamaduni za watu wa bara yakhe!
Kwani mimi kumuamini mzungu mvaa nepi kuwa Mungu wangu inakuhusu nini?
Mbona wewe yule muarabu aliyemuoa mama yake na kumbaka mtoto wa miaka tisa unamuita mtume wako?
Naomba urudi kwenye hoja tafadhali!Ukinijibu swali langu la awali nitakushukuru sana!
Ahsanta sana!
We kitimoto una upele unakuwasha umekosa mkunaji nenda Vatican kuna watu wanapenda hayo mambo mwana mtoka pabaya weye.
Mkuu,
Asante kwa matusi yako mazito yanayodhihirisha upeo wako wa kufikiri!
Huku bara tunafata sana maadili,mambo ya kukunana na upele yanawahusu nyie wenyewe na wale mabwana zenu!
Halafu si nasikia hapo kwenu mnaongoza kwa habari za 'kukunana' Afrika?
Napata shaka juu ya kile mnachokiamini!
Yadumu mapinduzi matukufu yaliyoletwa na mwanamapinduzi John Okello!
Asante sana.
Mkuu Maalim Mohamed Said, ni kweli uwanja unachafuka,
Mimi Pasco nimewakosea adabu wapi?, au kumpenda binti wa Kiarabu huko Zanzibar ni kosa?, nimesema sikuweza kumuoa kwani nilisema tumefanya kitu chochote?!. Au huko ukipenda ndio umemaliza kila kitu?!.
Sasa kuanza kutukana watu kunatoka wapi?, mimi kama muanzisha mada, kutikanwa halali yangu, nitukanwe wanavyotaka!, kisha ameletwa Nyerere katukanwa!, ameletwa mke wangu, katukanwa, wameletwa mapadri wametukanwa!, na kuna mtu kamleta hadi Mtume (SAW) na katukanwa!. Huku tunakokwenda sasa siko!. Kama hivi tuu ndio series ya kwanza!, jee niilete ya pili?!, naombo utumie ukubwa dawa wako kuwadhibiti vijana wako, naamin i watakusikiliza na mimi nitawadhibiti wale ninaowamudu tuumalize huu mnakasha kwa amani niufungue wa pili, huko ndiko hswa wewe unakohitajika!. Tukiona inashindikana hawadhibitiki, then nitamshauri Mode, tuufunge, niufungue ule wa pili!.
Tafadhali sana!, ila kwa wale wanaijisikia raha kunitukana mimi Pasco wa JF, nitukaneni mpaka mwisho wa raha zenu, ila msinitukanie, wala msiwatukane wengine wowote wasio husika!.
Binafsi, sitatizwi kabisa na kutukanwa hata nitukanajwe kwa sababu najua fika kuna watu wana laana!. Na kila siku huwa nasisitiza humu, kuwa kichaa sio mpaka mtu aokote makopo!, tunavichaa wengi humu kuliko tunavyojinua!.
Pasco.
| Yes. | No. |
|---|---|
| Psalm 58:10The righteous shall rejoice when he seeth the vengeance: he shall wash his feet in the blood of the wicked. | Proverbs 24:17Rejoice not when thine enemy falleth, and let not thine heart be glad when he stumbleth. |
Mkuu Ritz, usinilishe maneno!, kusema nimempenda binti wa Kiarabu Zenji ndio imekuwa ngono?, hivi kila ukipenda tuu na kukiri kupenda ndio umeishafanya?!. Nimesema sisi watu wa Kanda ya Ziwa ni wagonjwa kwa wanawake weupe, kusema hivyo ndio limekuwa kosa!. Baadhi ya makabila ya Kiafrika wanawake wengi ndio jadi na asili yetu, kina unavyoongeza idadi inakuwa ndio sifa!, sasa kusema Zanzibar tumepita sana ndio imekuwa Ngono?,
Acha hizo Mkuu Ritz, bahari ya mnakasha huu imeishachavuka!, usiendelee kuichafua kwa kuichochea moto wa uongo na uzushi!.
Pasco.
Mkuu Maalim Mohamed Said, kiukweli nimekuona kwenye hayo mahojiano ya TV na Salim Rashid, tena kwa vile na mimi huwa nafanya vipindi vya TV, nakiri hao wenzetu wataalumu kweli!, huwezi hata kuona vipaza sauti au japo hata kivuli cha kamera!.
Na jinsi mnavyoonekana kiukweli mmependeza, kanzu zinang'aa kweli kweli!, hivi hizi kanzu ni za hapa kweli hizi sio zile za kutoka Uarabuni?!. Ila hilo zulia hata kwa macho tuu naliona ni Persian!. Naomba unikumbushe kidogo hivi Salim Rashid ni nani vile?!, katika mukhtadha wa mnakasha huu kuhusu kiti cha Zanzibar, Salim Rashid aliplay role gani vile?!.
Endelea kutuelimisha!
Pasco
Mkuu Zomba Tafadhali!, Hapa naamini unafanya utani, na masikhara tuu. Eti Pasco wa zamani rangi yake tofauti na Pasco wa sasa!?. Hakuna kitu kama hicho!, ila kama ni Pasco mimi wa JF, then Pasco ni yule yule, juzi jana na leo! na hata milele!.
Mkuu Zomba, asante kwa mazulia, angalau sitachekwa, pia nakushukuru kwa kuturembeshea kidogo huu mnakasha wetu angalau kuna kitu cha kutazama na sio kusomatu wee mpaka unachoka!.Hapana hilo si zulia la "Persian" hilo ni zulia la kiwandani linaitwa "American wall to wall carpet", ili siku nyingine usichekwe, mazulia ya Persian huwa hivi:
Pasco bado una mengi ya kujifunza wacha ujeuri uelimike.