Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Namtamani ndugu yangu Yericko Nyerere achangie kwenye mnakasha huu. Huyu mzee Mohamed sikuzote hupindisha ukweli huja na vipicha vyake vya kuokoteza vichochoroni.

Toka kaumbuliwa Unyerere wake mpaka kavuliwa na JF status ya "verified member" hana hamu. Anachungulia kwa mbali tu.
 
Mbona una hasira mkuu?
Nimekuuliza swali nikijua utanipa ilmu,naona umenilipa na matusi!Hizo sio tamaduni za watu wa bara yakhe!

Kwani mimi kumuamini mzungu mvaa nepi kuwa Mungu wangu inakuhusu nini?

Mbona wewe yule muarabu aliyemuoa mama yake na kumbaka mtoto wa miaka tisa unamuita mtume wako?

Naomba urudi kwenye hoja tafadhali!Ukinijibu swali langu la awali nitakushukuru sana!

Ahsanta sana!

We kitimoto una upele unakuwasha umekosa mkunaji nenda Vatican kuna watu wanapenda hayo mambo mwana mtoka pabaya weye.
 
Hizi ndio dalili za laana!.
Hiyo number ya mke wangu ulionayo uiweke jamvini ili iweje?!. Tena hiyo ni ya mke yupi?, Aliyeko DC, aliyeko Toronto?, Aliyoko Zanzibar au huyu wa bara?!. Weka tuu number ya mke wangu yeyote iliyonayo kama unadhani itakupunguzia laana ya kusingizia al marhum!.
Pasco

Juu kidogo huko ulikuwa unalilia kuwa huna ruhusa ya kuoa zaidi ya mmoja, hapa unaleta ujinga mwingine. Hivi nyinyi huo ujinga mliojazwa nao huwa haufutiki kabisa?

Makomred umeshawajuwa au bado hujapitia hadidu rejea zako?
 
Mapinduzi Matukufu wayaita mauaji?!. Zile ndoa za lazima kwa binti wa Kiarabu ili kuleta usawa waziita ubakaji?!. Nijuavyo mimi, mwanamke akishabakwa, tendo la iiubakaji likiisha isha, hubakiwa na machungu na hata kumuona mbakaji hathubutu!. Hao dada zenu wa Kiarabu waliofungushwa ndioa za usawa, wangekuwa wamebakwa si wangekasirika na kuziasi hizo ndoa batil!, mbona wametulia tuli ndani ya ndoa na zomedumu mpaka kesho?!. Au ndio kusema kumbe wanafurahia kubakwa?!.
Pasco.
Katika Uislamu hakuna ndoa za namna hiyo (sina haja ya kunukuu Aya wala Hadith).

Kama unawapenda jamaa zako waliofanya uovu huo basi waambie watubie kwa Allah kwa zina wanazofanya asubuhi na jioni wakiziita ndoa.

Ama kuhusu waliyowakosea binaadamu yaani hao "wake" zao na familia zao basi wajue kuwa Allah hawasamehi madhambi yao mpaka wasamehewe na binadamu waliowakosea.

Kiufupi madhambi waliyomkosea Allah wakitubia Allah huwasamehe ama waliyowakosea binadaamu basi Allah ameweka sharti la kusamehewa na hao binadamu waliokosewa kwanza.

Huu ndiyo ushauri unaopaswa kuwapa hao jamaa zako.
 
Zanzibar, ilikuwa na maendeleo makubwa saana, kwa jinsi weusi walivyokuwa wanateswa na kubaguliwa na waarabu??? Du kweli tuna safari ndefu kujikomboa katika mawazo na fikira zetu. Imerudi nyuma mtu mweusi kuwa na heshima kwenye nchi yake?

Zanzibar imetoa asilimia 11.02 ya hisa iloanzisha Benki Kuu (BOT) lakini haikupata gawio lolote la faida (dividend) kwa miaka 28 tokea 1966 – 1994. Na baada ya hapo imekuwa ikipewa gawio la asilimia 4.5 badala ya asilimia 11.02 ya kima cha hisa katika mtaji uloanzisha BOT. - Ismail Jussa
 
Naona uwanja umechafuka. Pasco nilikuasa uwe na adabu. Mapadri wanavuliwa magwanda na rosary zao. Hili ndo ukilitafuta?
Mkuu Maalim Mohamed Said, ni kweli uwanja unachafuka,
Mimi Pasco nimewakosea adabu wapi?, au kumpenda binti wa Kiarabu huko Zanzibar ni kosa?, nimesema sikuweza kumuoa kwani nilisema tumefanya kitu chochote?!. Au huko ukipenda ndio umemaliza kila kitu?!.

Sasa kuanza kutukana watu kunatoka wapi?, mimi kama muanzisha mada, kutikanwa halali yangu, nitukanwe wanavyotaka!, kisha ameletwa Nyerere katukanwa!, ameletwa mke wangu, katukanwa, wameletwa mapadri wametukanwa!, na kuna mtu kamleta hadi Mtume (SAW) na katukanwa!. Huku tunakokwenda sasa siko!. Kama hivi tuu ndio series ya kwanza!, jee niilete ya pili?!, naombo utumie ukubwa dawa wako kuwadhibiti vijana wako, naamin i watakusikiliza na mimi nitawadhibiti wale ninaowamudu tuumalize huu mnakasha kwa amani niufungue wa pili, huko ndiko hswa wewe unakohitajika!. Tukiona inashindikana hawadhibitiki, then nitamshauri Mode, tuufunge, niufungue ule wa pili!.
Tafadhali sana!, ila kwa wale wanaijisikia raha kunitukana mimi Pasco wa JF, nitukaneni mpaka mwisho wa raha zenu, ila msinitukanie, wala msiwatukane wengine wowote wasio husika!.

Binafsi, sitatizwi kabisa na kutukanwa hata nitukanajwe kwa sababu najua fika kuna watu wana laana!. Na kila siku huwa nasisitiza humu, kuwa kichaa sio mpaka mtu aokote makopo!, tunavichaa wengi humu kuliko tunavyojinua!.

Pasco.
 
Mbona una hasira mkuu?
Nimekuuliza swali nikijua utanipa ilmu,naona umenilipa na matusi!Hizo sio tamaduni za watu wa bara yakhe!

Kwani mimi kumuamini mzungu mvaa nepi kuwa Mungu wangu inakuhusu nini?

Mbona wewe yule muarabu aliyemuoa mama yake na kumbaka mtoto wa miaka tisa unamuita mtume wako?

Naomba urudi kwenye hoja tafadhali!Ukinijibu swali langu la awali nitakushukuru sana!

Ahsanta sana!

Tatizo lako wewe sio tu kuwa mungu wako mzungu kavishwa alivyo vishwa.!.andiko lako linakuruhusu kufanya uchafu woote ambao leo ukiufanya hapa Tanzania UNAFUNGWA miaka mingi sana jela.
Andiko limekuruhusu
KUABAKA NA KUBAKWA!
KUNAJISI.
KUWEKA MTUMWA KWA AJILI YA NGONO.
NA KUUA ASIE YATII HAYO HAPO JUU!

Sasa niombe ANDIKO NIKUADHIRI!
Manake watoto wa zinaa mpaka uongee nao ki zinaa zinaa ndio wanakuelewa!

Mwana wa bahati mbaya!
 
Mwenzio anajifu kwa ngono kafanya sana ngono mpaka kataja na majina aliofanya nao ngono, hivi mpaka sasa hivi kuna watu wanajisifu kwa ngono.

Teh teh teh
Mkuu Ritz, usinilishe maneno!, kusema nimempenda binti wa Kiarabu Zenji ndio imekuwa ngono?, hivi kila ukipenda tuu na kukiri kupenda ndio umeishafanya?!. Nimesema sisi watu wa Kanda ya Ziwa ni wagonjwa kwa wanawake weupe, kusema hivyo ndio limekuwa kosa!. Baadhi ya makabila ya Kiafrika wanawake wengi ndio jadi na asili yetu, kina unavyoongeza idadi inakuwa ndio sifa!, sasa kusema Zanzibar tumepita sana ndio imekuwa Ngono?,
Acha hizo Mkuu Ritz, bahari ya mnakasha huu imeishachavuka!, usiendelee kuichafua kwa kuichochea moto wa uongo na uzushi!.
Pasco.
 
Mbona una hasira mkuu?
Nimekuuliza swali nikijua utanipa ilmu,naona umenilipa na matusi!Hizo sio tamaduni za watu wa bara yakhe!

Kwani mimi kumuamini mzungu mvaa nepi kuwa Mungu wangu inakuhusu nini?

Mbona wewe yule muarabu aliyemuoa mama yake na kumbaka mtoto wa miaka tisa unamuita mtume wako?

Naomba urudi kwenye hoja tafadhali!Ukinijibu swali langu la awali nitakushukuru sana!

Ahsanta sana!
Mkuu Kajirita, nakuomba kwa hisani yako, niko chini ya miguu yako, naomba edit hii post yako, huo mstari miliobold, uondoe tafadhali!.

Heshima ni kitu cha bure, tusikashifiu dini za watu!.

Natanguliza shukrani!.


Pasco.
 
We kitimoto una upele unakuwasha umekosa mkunaji nenda Vatican kuna watu wanapenda hayo mambo mwana mtoka pabaya weye.

Mkuu,

Asante kwa matusi yako mazito yanayodhihirisha upeo wako wa kufikiri!

Huku bara tunafata sana maadili,mambo ya kukunana na upele yanawahusu nyie wenyewe na wale mabwana zenu!

Halafu si nasikia hapo kwenu mnaongoza kwa habari za 'kukunana' Afrika?

Napata shaka juu ya kile mnachokiamini!

Yadumu mapinduzi matukufu yaliyoletwa na mwanamapinduzi John Okello!

Asante sana.
 
Uhasidi wenu in.the.name.of Muungano. Wazanzibari walikuwa hawajuwi rushwa wala wizi wa mali za serikali.

Mumeingia nyinyi nchi mumeidamirisha kwa siasa chafu
 
Pasco, msikilize Komred alipokuta na Mohamed Said aliongea nini, utawajua tu Makomred, mmoja baada ya mwingine. haya ni maandiko ya Ahmed Rajab na hizi ni baadhi tu ya nukuu:

untitled-1-copy.jpg

Komred Badawi Qullatein zama za uhai wake

Wengine watamkumbuka Badawi kwa mchango wake katika Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964. Akiwa mmoja wa viongozi wakuu wa Umma, Badawi alikuwa na mahusiano mazuri na wanaharakati wa Afro-Shirazi Party (ASP). Kati yao walikuwa akina Seif Bakari, Hassan Nassor Moyo, Saleh Saadalla na Abdulaziz Twala, ambaye wakati mmoja akiishi pamoja naye. Wakimuamini; naye akiwaamini...


Comrade Badawi, ambaye jina lake kamili lilikuwa Ahmed bin Abubakar Shibli bin Omar Qullatein alizaliwa Malindi, Unguja, ingawa nyumba ya ukoo wake na alikolelewa ni Hamamni, Mji Mkongwe, hukohuko Unguja. Ametokana na ukoo wa kisharifu. Asili ya ukoo wa Qullatein imeanzia Tarim, Hadhramaut huko Yemen ya Kusini. Ukoo huo ni tawi la kabila la Al Nadhiri la huko Tarim ingawa Maqullatein wanapatikana Afrika ya Mashariki tu.


Kama wengi waliokuwa wakiyaunga mkono Mapinduzi, baadaye Badawi akisikitika kuwa mapinduzi yaliendeshwa sivyo. Nakumbuka siku moja katika miaka ya 1990 nikitembea Dar es Salaam pamoja na mwandishi Mohamed Said wa Tanga na tukasadif kukutana na Badawi njiani. Nilipokuwa ninawajulisha watu wawili hao nilimwambia Mohamed kwamba akitaka kuyaandika ya Mapinduzi ya Zanzibar basi amwendee Badawi.


Papohapo Badawi akasema kwa masikitiko: ‘Mapinduzi gani, ilikuwa ni wanawake tu.' Nilishangaa na kumuuliza alikusudia nini. Alijibu kwamba Mapinduzi yalifisidika na akanitajia visa vya watu waliofungwa gerezani na waliouliwa kwa sababu baadhi ya viongozi wa Mapinduzi wakiwataka ama wake zao ama hawara zao.

Soma zaidi: https://zanzibariyetu.wordpress.com/2011/11/03/buriani-mtetezi-wa-wanyonge-2/

Pasco, huyu Badawi alipohamia Dar Es Salaam nilibahatika kujuana nae na bahati iliyoje biashara yake ilikuwa mlango na mlango na nyumbani kwetu, jirani yangu kabisa na akiujuwa ujirani na akija kwenye biashara yake ikitokea hakuniona siku moja, basi huniulizia, "huyu yuko wapi?" ingawa mara nyingi alikuwa hangoji majibu na inabidi wanangu wamrushie kwa mbali majibu, "haya haya msalimieni" ndio jibu lake. Kwake ile kuulizia tu ilikuwa tosha kabisa kwani anajuwa salaam ntazipata.

Nimepata mengi sana kutoka kwake ambayo haiyumkiniki hata kidogo kama aliwahi kuyafunguwa hayo kwa waandishi wa habari, kwani alikuwa si mtu wa kupenda kuyaongelea ya zamani ni kama vile alikuwa ana hamu ya kuyasahau na kufanya tawbatan nasuha. Lakini udadisi wangu wa hapa na pale na baada ya kujuwa ni mtu "moody", nilikuwa nikimdonyoa "kiduchu" kwa swali, na kama hataki kulijibu basi sim press. Najuwa ntalipata hata kama ni baada ya mwezi, alikuwa na kichwa ambacho kina kumbukumbu nzuri sana, basi hutokea siku akanijibu swali nililomuuliza mwezi uliopita. Nadhani ilikuwa linamkaa donge la kunielimisha na halivumiliki mpaka alitowe.

Alikuwa ni mtu wa mzaha kweli kweli na hakuwa na makuu licha ya kumiliki jumba la ghorofa 5 hapo mtaa wa Twiga, Dar Es Salaam, lakini alikuwa kutwa akitembea kwa miguu na "very active" na yupo busy kwenye biashara zake za hapa na pale, na hakusita kuongea na watu, wakubwa kwa wadogo, wazee kwa vijana wala hakujivuna ila kwa wasio mjuwa utadhani anawapuuza wakiongea nae, lakini hawakujuwa kuwa alikuwa kiidogo ana masikio mazito, mpaka akutazame usoni ndio akupate na wala hakuwa akipuuza bali hakuwasikia tu. Si wengi wanaolijuwa hilo.

Huyo ndio Komred Badawi nimjuae.
 
Mkuu,

Asante kwa matusi yako mazito yanayodhihirisha upeo wako wa kufikiri!

Huku bara tunafata sana maadili,mambo ya kukunana na upele yanawahusu nyie wenyewe na wale mabwana zenu!

Halafu si nasikia hapo kwenu mnaongoza kwa habari za 'kukunana' Afrika?

Napata shaka juu ya kile mnachokiamini!

Yadumu mapinduzi matukufu yaliyoletwa na mwanamapinduzi John Okello!

Asante sana.

Nashukuru kwa kulielewa hilo ukiandika kwa adabu na facts wala hutaona hayo unayoita matusi lakini ukijitoa ufahamu hapa ndio kwenyewe .
 
Mkuu Maalim Mohamed Said, ni kweli uwanja unachafuka,
Mimi Pasco nimewakosea adabu wapi?, au kumpenda binti wa Kiarabu huko Zanzibar ni kosa?, nimesema sikuweza kumuoa kwani nilisema tumefanya kitu chochote?!. Au huko ukipenda ndio umemaliza kila kitu?!.

Sasa kuanza kutukana watu kunatoka wapi?, mimi kama muanzisha mada, kutikanwa halali yangu, nitukanwe wanavyotaka!, kisha ameletwa Nyerere katukanwa!, ameletwa mke wangu, katukanwa, wameletwa mapadri wametukanwa!, na kuna mtu kamleta hadi Mtume (SAW) na katukanwa!. Huku tunakokwenda sasa siko!. Kama hivi tuu ndio series ya kwanza!, jee niilete ya pili?!, naombo utumie ukubwa dawa wako kuwadhibiti vijana wako, naamin i watakusikiliza na mimi nitawadhibiti wale ninaowamudu tuumalize huu mnakasha kwa amani niufungue wa pili, huko ndiko hswa wewe unakohitajika!. Tukiona inashindikana hawadhibitiki, then nitamshauri Mode, tuufunge, niufungue ule wa pili!.
Tafadhali sana!, ila kwa wale wanaijisikia raha kunitukana mimi Pasco wa JF, nitukaneni mpaka mwisho wa raha zenu, ila msinitukanie, wala msiwatukane wengine wowote wasio husika!.

Binafsi, sitatizwi kabisa na kutukanwa hata nitukanajwe kwa sababu najua fika kuna watu wana laana!. Na kila siku huwa nasisitiza humu, kuwa kichaa sio mpaka mtu aokote makopo!, tunavichaa wengi humu kuliko tunavyojinua!.

Pasco.


teh teh teh teh!
Naona umeshapata kiwewe tayari, vijana wa madrasa wamekupakaa majani ya kuwasha!

Mnapoanzisha minakasha kama hii ya unafiki basi mjiandae na vitu vya maana!
we na wale kina nguruwe 3 mnapenda sana kuleta chochoko hapa jamvini! mkipigwa makombora, mnaanza kutafuta msaada kwa yuleyule mzee mnaemkosea ADABU,

Ndio maana andiko lenu likasema vitu ambavyo wewe unachagua unachokitaka,

watch this!

Yes.No.
Psalm 58:10The righteous shall rejoice when he seeth the vengeance: he shall wash his feet in the blood of the wicked.Proverbs 24:17Rejoice not when thine enemy falleth, and let not thine heart be glad when he stumbleth.

Should we rejoice when our enemies suffer?
Christian Responses (none yet) may be Pasco can try!


Na kuhusu WEWE KUWA NA WANAWAKE WENGI, Andiko linakwambia

1 Corinthians 7:1, 7It is good for a man not to touch a woman. (v.1)For I [Paul] would that all men were even as I myself. ... It is good for them if they abide even as I. (v.7)

basically andiko linakwambia STICK WITH A MAN ONLY!!

Mi mjumbe tu, kama una tatizo rudi kwenye andiko.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ritz, usinilishe maneno!, kusema nimempenda binti wa Kiarabu Zenji ndio imekuwa ngono?, hivi kila ukipenda tuu na kukiri kupenda ndio umeishafanya?!. Nimesema sisi watu wa Kanda ya Ziwa ni wagonjwa kwa wanawake weupe, kusema hivyo ndio limekuwa kosa!. Baadhi ya makabila ya Kiafrika wanawake wengi ndio jadi na asili yetu, kina unavyoongeza idadi inakuwa ndio sifa!, sasa kusema Zanzibar tumepita sana ndio imekuwa Ngono?,
Acha hizo Mkuu Ritz, bahari ya mnakasha huu imeishachavuka!, usiendelee kuichafua kwa kuichochea moto wa uongo na uzushi!.
Pasco.

Napenda uelewe kuwa ukija na heshima na adabu na maandiko yasiyokuwa na kejeli basi nasi tutachangia kwa heshima na adabu na bila kejeli lakini ukija kama ulivyoanza kukejeli na mpaka kutaja jina la mwanamke na mpaka kutaja wanawake wa gerezani, ujuwe tunakusoma na sisi hatukutolewa nyongo, tutakujibu kwa mujibu wa maandiko yako.

Ikiwa kupenda weupe, si wakanda ya ziwa tu, nenda uendako Tanzania hii utakuta hata wanawake zetu weusi wanatujuwa udhaifu wetu na ndiyo maana hawaishi kujichubuwa ngozi zao na kuvaa nywele za bandia ili tu watuhadae kuwa na wao wamo katika weupe. Usisahau hilo.

Sasa naona inahamia kwa wanaume pia. Ukimuona Pasco wa zamani rangi yake ni tofauti na Pasco wa sasa, kulikoni? Bata? au ndio tunawaiga dada zetu?
 
Mkuu Maalim Mohamed Said, kiukweli nimekuona kwenye hayo mahojiano ya TV na Salim Rashid, tena kwa vile na mimi huwa nafanya vipindi vya TV, nakiri hao wenzetu wataalumu kweli!, huwezi hata kuona vipaza sauti au japo hata kivuli cha kamera!.

Na jinsi mnavyoonekana kiukweli mmependeza, kanzu zinang'aa kweli kweli!, hivi hizi kanzu ni za hapa kweli hizi sio zile za kutoka Uarabuni?!. Ila hilo zulia hata kwa macho tuu naliona ni Persian!. Naomba unikumbushe kidogo hivi Salim Rashid ni nani vile?!, katika mukhtadha wa mnakasha huu kuhusu kiti cha Zanzibar, Salim Rashid aliplay role gani vile?!.
Endelea kutuelimisha!
Pasco

Hapana hilo si zulia la "Persian" hilo ni zulia la kiwandani linaitwa "American wall to wall carpet", ili siku nyingine usichekwe, mazulia ya Persian huwa hivi:





Pasco bado una mengi ya kujifunza wacha ujeuri uelimike.
 
Last edited by a moderator:
Sasa naona inahamia kwa wanaume pia. Ukimuona Pasco wa zamani rangi yake ni tofauti na Pasco wa sasa, kulikoni? Bata? au ndio tunawaiga dada zetu?
Mkuu Zomba Tafadhali!, Hapa naamini unafanya utani, na masikhara tuu. Eti Pasco wa zamani rangi yake tofauti na Pasco wa sasa!?. Hakuna kitu kama hicho!, ila kama ni Pasco mimi wa JF, then Pasco ni yule yule, juzi jana na leo! na hata milele!.
Ngoja nifanye rejea kule fb page yangu, nijifanyie rejea!. Ila kama unamzungumzia yule wanayefanana naye majina, anayetokea kwenye vipindi mbali vya TV na kumlinganisha na yule wa enzi za DTV, huyu wa sasa kuonekana kama anangara zaidi!, hiyo ujue ni kamera tuu, yule wa DTV walikuwa wakitumia analogue camera za VHS na taa za tungsten
huyu wa sasa wanatumia camera za HDV na taa za neon!, kinachomng'arisha ni kamera tuu ukimuona mwenyewe halisi, ni yule yule, juzi jana na leo!.
Pasco.
 
Hapana hilo si zulia la "Persian" hilo ni zulia la kiwandani linaitwa "American wall to wall carpet", ili siku nyingine usichekwe, mazulia ya Persian huwa hivi:





Pasco bado una mengi ya kujifunza wacha ujeuri uelimike.
Mkuu Zomba, asante kwa mazulia, angalau sitachekwa, pia nakushukuru kwa kuturembeshea kidogo huu mnakasha wetu angalau kuna kitu cha kutazama na sio kusomatu wee mpaka unachoka!.

Kiukweli haya mazulia yanaonekana mazuri sana, nilikuwa nayaona kwenye senema tuu, sasa ndio angalau nimeyaona kwenye picha!, kesho nitakwenda pale Shule ya Uhuru, nikajinunulie japo moja la mchina na sisi nyumba zetu ziwe angalai angalau!.

Si unaona jinsi huu mchango wa mazulia unavyosaidia huu mnakasha!, hakuna kutikanana tena!.

Vipi na zile kanzu jee?!.
Pasco
 
Back
Top Bottom