Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Kajirita. Unadhihirisha ujinga wako. Hujui kuwa Zanzibar ktk nchi za Africa Mashariki ndo wa kwanza kuwa na umeme majumbani na mabomba ya maji. Usafiri wa treni, fedha zake, kituo cha radio nk nk. Hivi nyie mbona mu watupu hivyo?
 
[h=3]Matthew 7:20[/h]King James Version (KJV)

Wherefore by their fruits ye shall know them.
 
Hayo ndiyo maneno mnayoyapata kanisani ???


Hawa ndio waarabu ??


VIPI HAWA WALIOBAKWA NA MAPDRI WA KIZUNGU MWISHO WAO WAMEKUWA MASHOGA AU VIPI??


Tanzania

St Michael's Catholic Boarding School, Soni, Tanzania


A prominent United Kingdom member of the order, Fr Kit Cunningham together with three other priests were exposed after Cunningham's death as paedophiles While at Soni, Cunningham perpetrated sexual abuse that made the school, according to one pupil, "a loveless, violent and sad hellhole". Other pupils recall being photographed naked, hauled out of bed at night to have their genitals fondled and other sexual abuse.

Although known about by the Rosminians before Cunningham's death in 2010, the abuse was only publicly revealed by the media in 2011Formal action was launched by a group of former pupils at the civil court in Leicester, UK on 20 March 2013

Naomba urejee mada tafadhali....

Hivi huwa najiuliza,mbona kazi zilizofanywa na waingereza na wajerumani mpaka sasa bado zinaonekana kama vile mashule ,mahospitali,mahakama,barabara ,reli,vyuo vikuu,meli n.k.

Hivi hawa waarabu kazi yao ilikuwa ni nini hasa?Hivi ni kweli kuwa kazi yao kubwa ilikuwa ni kuuza watumwa tu,kubaka dada zetu na kuwaachia machotara wa kiarabu tu?

......Hivi hapa kuna neno msikiti,kanisa,padre,ustaadhi,maalim au neno lolote linalohusiana na imani ya mtu?Mbona mnakuwa wepesi kurukia kwenye imani muarabu akitajwa sehemu?Hivi hakuna waarabu wakristo?

Au ndio tuseme ujumbe umewaingia?Acheni longolongo jibuni hoja!Au kama mmeshindwa nambieni nianzishe thread yangu inayohusu hiyo mada!

Ahsanta sana!
 
Mbona una hasira mkuu?
Nimekuuliza swali nikijua utanipa ilmu,naona umenilipa na matusi!Hizo sio tamaduni za watu wa bara yakhe!

Kwani mimi kumuamini mzungu mvaa nepi kuwa Mungu wangu inakuhusu nini?

Mbona wewe yule muarabu aliyemuoa mama yake na kumbaka mtoto wa miaka tisa unamuita mtume wako?

Naomba urudi kwenye hoja tafadhali!Ukinijibu swali langu la awali nitakushukuru sana!

Ahsanta sana!

Hahaha sasa naona unamchokoza kahtaan na Gavana. Kazi kwako.
 
Last edited by a moderator:
Kajirita. Unadhihirisha ujinga wako. Hujui kuwa Zanzibar ktk nchi za Africa Mashariki ndo wa kwanza kuwa na umeme majumbani na mabomba ya maji. Usafiri wa treni, fedha zake, kituo cha radio nk nk. Hivi nyie mbona mu watupu hivyo?

Asante mkuu kwa majibu murua!

Japo sijajua hizo treni na hayo yote yalipoteaje mpaka Zanzibar ikawa nyuma hivyo kimaendeleo!
 
Mkuu Ritz, hata nikikuwekea vitabu,kama kazi yako ni kupinga,utapinga hata maandishi yaliyoko kwenye vitabu.Sasa kwanini niendelee kupoteza muda.Waliolewa wamekubaliana na mimi na huo ndiyo ukweli,kama huamini nenda Zanzibar kawaulize kila mtu na asili yake,watakwambia ukweli
Mkuu, usiniwekee mimi weka kwa ajili ya wana JF.
 
Zijana za madrasa zimechefushwa,

Sasa vijidagaa na pweza leo mtaliwa mnaona,

Papa zimechanua pezi, gusa uchanwe,

Cheza na Madrasa wewe....!

Teh teh teh... usichopoke Pasco uliyataka mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
kweli ni mapinduzi.....lakini tofauti ya haya na mapinduzi mengine duniani haya yalii pindua nchi na kuifunika...na leo znz si nchi maana walopindua walikabidhi nchi 'yao' kwa Tanzganyika.
nchi ilipinduliwa kila kitu kuanzia
elimu
afya
ustaarabu
mila na utamaduni..( school wakiimbishwa kwaya za kanisani badala ya wanafunzi kusoma kasida )
nk nk
Wewe lazima unafikiri kwa kutumia MAlawi, TAnzania na KOrea
 
Wewe Kenge Pasco,

Hivi wewe pundaurongo una thubutu ipi ujikhis hata thamani ya kuijua maana ya "laana"!? Teeh! Teeh! Teeh!

Mie nazungumza na Mkeo wewe Pasco! Au niweke nambari yake ya simu hapa jamvini!? Kudadeki zako wewe!

Wewe ndo khabith wa kisukuma,mnyama na mshamba wa maisha!

Kwanini uliamua kutoka kabisa nje ya mada na kuanza kuzungumza mambo ya ngono na ati jinsi unavyowalala Wanawake wa Kiislamu na Kizanzibary na kuwaenezea hayo maradhi ulonayo! Nyambafu weye!

Mie yule mamvi akuwekae mjini wala hathubutu kufungua mdomo wake nizungumzapo!! Kudadeki!

Na nitakutana na Salma Maulid,nimfahamishe jinsi unavyomvunjia hishama yake na family yake humu mitandaoni kwa majisifu yako ya kisukuma/kishamba!!

Wewe si unadai yakuwa upo Unguja for ten days! Nambie ulipo wewe Chogo,khalaf uone sisi kwenye Barza yetu tunavyomzungumza huyo Nyerere wako...na utajua nani na nani wapo hapa pia!!

Wacha niendelee kupata shoki yangu ya lozi kwa tende za Madina hapa,yaani kwa raha zangu! Teeh! Teeeh! Teeh!

Ahsanta.
Pasco, nilikuonya kuhusu kuamsha mizimu, unaona sasa? Mizimu imepanda! Ghadhabu, chuki, hasira...yaani mioyo ya watu ishawekwa rehani kwa shetwani! Na bado. Pamoja na yote, historia kwa maana yake halisi haibadiliki na hata pale inapojaribu kupindishwa haitakubali.
 
Ngoja nitoke hapa naona jamvi limechafuka mijitusi mizito hakuna hoja tena! Jibu nililosubiri hapa sitapata tena, Mkuu Pasco kama una majibu hebu tujuze.
 
Zanzibar, ilikuwa na maendeleo makubwa saana, kwa jinsi weusi walivyokuwa wanateswa na kubaguliwa na waarabu??? Du kweli tuna safari ndefu kujikomboa katika mawazo na fikira zetu. Imerudi nyuma mtu mweusi kuwa na heshima kwenye nchi yake?
 
Pasco, nilikuonya kuhusu kuamsha mizimu, unaona sasa? Mizimu imepanda! Ghadhabu, chuki, hasira...yaani mioyo ya watu ishawekwa rehani kwa shetwani! Na bado. Pamoja na yote, historia kwa maana yake halisi haibadiliki na hata pale inapojaribu kupindishwa haitakubali.
Mwenzio anajifu kwa ngono kafanya sana ngono mpaka kataja na majina aliofanya nao ngono, hivi mpaka sasa hivi kuna watu wanajisifu kwa ngono.

Teh teh teh
 
Wewe Kenge Pasco,

Hivi wewe pundaurongo una thubutu ipi ujikhis hata thamani ya kuijua maana ya "laana"!? Teeh! Teeh! Teeh!

Mie nazungumza na Mkeo wewe Pasco! Au niweke nambari yake ya simu hapa jamvini!? Kudadeki zako wewe!

Wewe ndo khabith wa kisukuma,mnyama na mshamba wa maisha!

Kwanini uliamua kutoka kabisa nje ya mada na kuanza kuzungumza mambo ya ngono na ati jinsi unavyowalala Wanawake wa Kiislamu na Kizanzibary na kuwaenezea hayo maradhi ulonayo! Nyambafu weye!

Mie yule mamvi akuwekae mjini wala hathubutu kufungua mdomo wake nizungumzapo!! Kudadeki!

Na nitakutana na Salma Maulid,nimfahamishe jinsi unavyomvunjia hishama yake na family yake humu mitandaoni kwa majisifu yako ya kisukuma/kishamba!!

Wewe si unadai yakuwa upo Unguja for ten days! Nambie ulipo wewe Chogo,khalaf uone sisi kwenye Barza yetu tunavyomzungumza huyo Nyerere wako...na utajua nani na nani wapo hapa pia!!

Wacha niendelee kupata shoki yangu ya lozi kwa tende za Madina hapa,yaani kwa raha zangu! Teeh! Teeeh! Teeh!

Ahsanta.
Hizi ndio dalili za laana!.
Hiyo number ya mke wangu ulionayo uiweke jamvini ili iweje?!. Tena hiyo ni ya mke yupi?, Aliyeko DC, aliyeko Toronto?, Aliyoko Zanzibar au huyu wa bara?!. Weka tuu number ya mke wangu yeyote iliyonayo kama unadhani itakupunguzia laana ya kusingizia al marhum!.
Pasco
 
Namtamani ndugu yangu Yericko Nyerere achangie kwenye mnakasha huu. Huyu mzee Mohamed sikuzote hupindisha ukweli huja na vipicha vyake vya kuokoteza vichochoroni.
 
Kwani wewe Pasco si unajua Mkeo anadai na kukutangazia yakuwa humridhishi!?

Unajua yakuwa Mkeo anapakuliwa tena saana tu kwa raha zake na Wazanzibary!?

Ushawahi kupata fursa ya kumuuliza Mkeo raha aisikiayo anapopakuliwa ule ubwabwa wake mtamu na Wazanzibary...yaani yale yakushindayo wewe!? Kudadeki! Teeh! Teeh! Teeh!

Ahsanta sana!
Mkuu gombesugu, si nimekuuliza mke wangu yupi?, yule wa DC, wa Toronto, wa Zanzibar au huyu wa Dar?,
Ahasanta!
Pasco
 
Hizi ndio dalili za laana!.
Hiyo number ya mke wangu ulionayo uiweke jamvini ili iweje?!. Tena hiyo ni ya mke yupi?, Aliyeko DC, aliyeko Toronto?, Aliyoko Zanzibar au huyu wa bara?!. Weka tuu number ya mke wangu yeyote iliyonayo kama unadhani itakupunguzia laana ya kusingizia al marhum!.
Pasco

Pasco.
Hao wake wote utapata wapi wewe si fundi saa unaangalia kwa jicho moja hayo mambo tuachie vidume tulioruhusiwa
 
Back
Top Bottom