Miaka 6 ya Utetezi wa Wananchi: Happy Birthday ACT Wazalendo 5-5-2020

We mnafiki sana Zitto huwa nakuangalia tu, ilaunajua ulichokifanya awamu ya nne, sasa wizi wa namna ile umekomeshwa unabaki kutapatapa na wanawake zako wakiongozwa na (Mo...sa Malapa)
 
Yule sufiani umemchinjia mbali maana chama ni cha waha tu kina Nondo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki ni chama cha Watanzania wa Bara na Visiwani
Mimi najivunia Kuwa ACT wazalendo na Mimi ni Mtanzania kutokea Zanzibar
Hngera Kiongozi Mkuu Zuberi Kabwe
Hongera Mwenyekiti wa chama Maalim Seif Sharif Hamad.
Iwe tena miaka 6 na kumi na ishirini na Iwe mwaka huu wa Kushika Dola Tanzania Nzima
Amin
 
Waha na Wapemba ni chama cha kibaguzi .Hata yule Maganja wamemuondoa kwa maslahi yao ya kinafiki sasa hivi wanajulikana kama islamic brotherhood of Tanzania.
Wagonjwa wengi sana humu Jf.

Bado wana mawazo ya udini udini kwa kuanngalia majina ya watu?,

Mbona Chama hicki hamusemi kuwa kina Udini? kwa kuwa Viongozi wake 80% ni wa majina ya Kikiristo?
Mbona chadema 90% ni wakiriso ,hakisemwi, au kosa udini ni kuwa na majina ya kiislamu tuu?
Pelekeni note basi kwa Msajili mumlaumu kwa kutokutimiza wajibu wake.
Kama nyerere angelikuwa hai ange sema PuMbaFU zenu.
 
Wewe mwenyewe unahisi ni 80% lakina chama chenu umekiri ni 100% . Islamic brotherhood of Tanzania.
 
Zitto kila kitu unafanya mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…