Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza - JamiiForumsMiaka 6 ya majaribu mengi katika maisha yetu ya kila siku, Watanzania. ACT Wazalendo tumekuwa upande wa Wananchi muda wote, wakati wote bila kujali ‘Consequences’.
Zitto Kabwe
Kiongozi ACT Wazalendo
May 5, 2020.
We mnafiki sana Zitto huwa nakuangalia tu, ilaunajua ulichokifanya awamu ya nne, sasa wizi wa namna ile umekomeshwa unabaki kutapatapa na wanawake zako wakiongozwa na (Mo...sa Malapa)Miaka 6 ya majaribu mengi katika maisha yetu ya kila siku, Watanzania. ACT Wazalendo tumekuwa upande wa Wananchi muda wote, wakati wote bila kujali ‘Consequences’.
Kila mwenye kuonewa, kudhulumiwa na kukandamizwa anasikia sauti ya ACT Wazalendo bila kujali chama chake, Dini yake, kabila lake wala hali yake. Hakika, ULIPO TUPO!
- Tumekuwa na Wazanzibari walipoporwa haki yao ya kuchagua Kiongozi wanayemtaka!
- Tumekuwa na Wakulima wa Mbaazi, Korosho, Pamba, Tumbaku na Karafuu walipoharibiwa masoko ya Bidhaa zao na kudhulimiwa Fedha zao zinazotokana na jasho lao.
- Tumekuwa na Wavuvi wa Baharini na Ziwani - walipochomewa nyavu zao na kuharibiwa maisha yao
- Tumekuwa na Wafugaji walipovamiwa kuondolewa eneo la malisho ya Mifugo yao.
- Tumekuwa na Wafanyabiashara wanabambikiwa Kodi kubwa, kutolipwa Fedha zao za marejesho na kufunguliwa kesi za utakatishaji
- Tumekuwa na Wanaharakati wa Haki za Binaadamu na Waandishi wa Habari wanapobambikiwa kesi na kuwekwa jela, kutekwa, kupotea na hata kuuawa.
- Tumesimamia Uhuru wa Taasisi za Uwajibikaji kama CAG na kuhakikisha Katiba ya Tanzania inalindwa na kuheshimiwa
- Tumekuwa na Wanasiasa wenzetu wanapoonewa na kunyimwa haki zao bila kujali Vyama vyao.
- Tumekuwa na Wananchi kuwaelemisha kujikinga na virusi vya Korona ili kuzuia vifo vya Watu wetu na kuiwajibisha Serikali kwa kushindwa kuongoza vyema Vita dhidi ya Ugonjwa wa COVID 19.
ACT Wazalendo ni chama cha Watu. Ni Chama chako. Ni chama chenu. Ni chama chetu. Leo kimetimiza miaka 6 tangu kusajiliwa kwake hapo tarehe 5-5-2014.
ACT Wazalendo itaendelea kuwa upande wa Wananchi. Ninaomba tuendelee kwa MSHIKAMANO kupigania Uchaguzi Huru, wa Haki na unaoaminika. Ninaowaomba muipe dhamana ACT Wazalendo ili ijenge Tanzania yenye Watu wenye Raha na Furaha #KaziNaBata
Zitto Kabwe
Kiongozi ACT Wazalendo
May 5, 2020.
Hiki ni chama cha Watanzania wa Bara na VisiwaniYule sufiani umemchinjia mbali maana chama ni cha waha tu kina Nondo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wagonjwa wengi sana humu Jf.Waha na Wapemba ni chama cha kibaguzi .Hata yule Maganja wamemuondoa kwa maslahi yao ya kinafiki sasa hivi wanajulikana kama islamic brotherhood of Tanzania.
Wewe mwenyewe unahisi ni 80% lakina chama chenu umekiri ni 100% . Islamic brotherhood of Tanzania.Wagonjwa wengi sana humu Jf.
Bado wana mawazo ya udini udini kwa kuanngalia majina ya watu?,
View attachment 1440479
Mbona Chama hicki hamusemi kuwa kina Udini? kwa kuwa Viongozi wake 80% ni wa majina ya Kikiristo?
Mbona chadema 90% ni wakiriso ,hakisemwi, au kosa udini ni kuwa na majina ya kiislamu tuu?
Pelekeni note basi kwa Msajili mumlaumu kwa kutokutimiza wajibu wake.
Kama nyerere angelikuwa hai ange sema PuMbaFU zenu.
Zitto kila kitu unafanya mwenyeweMiaka 6 ya majaribu mengi katika maisha yetu ya kila siku, Watanzania. ACT Wazalendo tumekuwa upande wa Wananchi muda wote, wakati wote bila kujali ‘Consequences’.
Kila mwenye kuonewa, kudhulumiwa na kukandamizwa anasikia sauti ya ACT Wazalendo bila kujali chama chake, Dini yake, kabila lake wala hali yake. Hakika, ULIPO TUPO!
- Tumekuwa na Wazanzibari walipoporwa haki yao ya kuchagua Kiongozi wanayemtaka!
- Tumekuwa na Wakulima wa Mbaazi, Korosho, Pamba, Tumbaku na Karafuu walipoharibiwa masoko ya Bidhaa zao na kudhulimiwa Fedha zao zinazotokana na jasho lao.
- Tumekuwa na Wavuvi wa Baharini na Ziwani - walipochomewa nyavu zao na kuharibiwa maisha yao
- Tumekuwa na Wafugaji walipovamiwa kuondolewa eneo la malisho ya Mifugo yao.
- Tumekuwa na Wafanyabiashara wanabambikiwa Kodi kubwa, kutolipwa Fedha zao za marejesho na kufunguliwa kesi za utakatishaji
- Tumekuwa na Wanaharakati wa Haki za Binaadamu na Waandishi wa Habari wanapobambikiwa kesi na kuwekwa jela, kutekwa, kupotea na hata kuuawa.
- Tumesimamia Uhuru wa Taasisi za Uwajibikaji kama CAG na kuhakikisha Katiba ya Tanzania inalindwa na kuheshimiwa
- Tumekuwa na Wanasiasa wenzetu wanapoonewa na kunyimwa haki zao bila kujali Vyama vyao.
- Tumekuwa na Wananchi kuwaelemisha kujikinga na virusi vya Korona ili kuzuia vifo vya Watu wetu na kuiwajibisha Serikali kwa kushindwa kuongoza vyema Vita dhidi ya Ugonjwa wa COVID 19.
ACT Wazalendo ni chama cha Watu. Ni Chama chako. Ni chama chenu. Ni chama chetu. Leo kimetimiza miaka 6 tangu kusajiliwa kwake hapo tarehe 5-5-2014.
ACT Wazalendo itaendelea kuwa upande wa Wananchi. Ninaomba tuendelee kwa MSHIKAMANO kupigania Uchaguzi Huru, wa Haki na unaoaminika. Ninaowaomba muipe dhamana ACT Wazalendo ili ijenge Tanzania yenye Watu wenye Raha na Furaha #KaziNaBata
Zitto Kabwe
Kiongozi ACT Wazalendo
May 5, 2020.