Miaka 60+ nchi inajadili uhaba wa sukari?? CCM hebu kaeni pembeni

Miaka 60+ nchi inajadili uhaba wa sukari?? CCM hebu kaeni pembeni

Kwenye nchi yenye ardhi, mabonde, mito na maziwa kibao bila kusahau bahari. Inakuwaje hatujitoshelezi kwa sukari?

Hiki chama ni kipi inajivunia kwa miaka zaidi ya 60?

Sukari!! Aibu naona mimi.

Bora kuzaliwa mende Ulaya kuliko kuwa mtanzania chini ya CCM.
CCm akikikaa pembeni embu tuambie hicho chama chenye afadhali ukiacha ccm? Vyama vingine ni kama mali ya mtu unategemea kweli kuna kitu wataleta kwa mwananchi wa kawaida?
 
Kwenye nchi yenye ardhi, mabonde, mito na maziwa kibao bila kusahau bahari. Inakuwaje hatujitoshelezi kwa sukari?

Hiki chama ni kipi inajivunia kwa miaka zaidi ya 60?

Sukari!! Aibu naona mimi.

Bora kuzaliwa mende Ulaya kuliko kuwa mtanzania chini ya CCM.
chawa watakuambia wanajivunia ongezeko la watu
watakuambia mwaka 60 tulikua milioni 6 sasa hivi tuko milioni 60+
 
Kwenye nchi yenye ardhi, mabonde, mito na maziwa kibao bila kusahau bahari. Inakuwaje hatujitoshelezi kwa sukari?

Hiki chama ni kipi inajivunia kwa miaka zaidi ya 60?

Sukari!! Aibu naona mimi.

Bora kuzaliwa mende Ulaya kuliko kuwa mtanzania chini ya CCM.
CCM ikae pembeni halafu nani atawale? Nawe akili zako za Mende sasa taja Mende gani atawale baada ya CCM kukaa pembeni? Nchi haiwezi kuishi kàma mende bila ya kuwa na chama tawala.
 
Hata kama CCM haifai huwezi kuwaachia Akina Mbowe aisee
Sometimes mpunguze upumbavu humo vichwani mwenu. Wapinzani Gani washawahi kuendesha hii nchi mpaka watiliwe shaka !? Mbona huyo ajuza asiyejua lolote anaongoza nchi!? Ndiyo ashindwe Mbowe!?
 
CCM ikae pembeni halafu nani atawale? Nawe akili zako za Mende sasa taja Mende gani atawale baada ya CCM kukaa pembeni? Nchi haiwezi kuishi kàma mende bila ya kuwa na chama tawala.
Chama chochote kitakachochukua nchi ndio kitakuwa chama tawala. Au unaona kama ccm ni miungu watu!? Ni genge TU la watu TU Tena wengine wajinga TU.
 
Sioni kwamba shida ni sisem bali ni aina ya mfumo tulionao tutaiondoa sisiem sawa je hao watatakaoshika nchi nao watakua na falsafa zipi?
 
Kwenye nchi yenye ardhi, mabonde, mito na maziwa kibao bila kusahau bahari. Inakuwaje hatujitoshelezi kwa sukari?

Hiki chama ni kipi inajivunia kwa miaka zaidi ya 60?

Sukari!! Aibu naona mimi.

Bora kuzaliwa mende Ulaya kuliko kuwa mtanzania chini ya CCM.
Ethiopia umewacheki?
 
CCm akikikaa pembeni embu tuambie hicho chama chenye afadhali ukiacha ccm? Vyama vingine ni kama mali ya mtu unategemea kweli kuna kitu wataleta kwa mwananchi wa kawaida?
CCM ikae pembeni halafu nani atawale? Nawe akili zako za Mende sasa taja Mende gani atawale baada ya CCM kukaa pembeni? Nchi haiwezi kuishi kàma mende bila ya kuwa na chama tawala.
Kwamba bila hicho kikundi cha wakoloni weusi ccm Watanzania hawawezi kujisimamia na kujitawala?!! Hata wakoloni wa mwanzo walimwambia hivyo Nyerere!
Ushabiki unawapofusha sana nyie machawa
 
Kwamba bila hicho kikundi cha wakoloni weusi ccm Watanzania hawawezi kujisimamia na kujitawala?!! Hata wakoloni wa mwanzo walimwambia hivyo Nyerere!
Ushabiki unawapofusha sana nyie machawa
Mimi sio chawa ila ndio uhalisia, ukiongelea wakoloni , si bora hao wazungu wangekuwepo hadi leo tungekuwa mbali kama wenzetu southafrica
 
Suppose kweli wakae pembeni, kuna nani wa kui replaces CCM?.
P
Ccm ni shetani katika sura halisi katika dunia hatuhitaji chama Cha kuchukua nafasi ya ccm tunataka watu wenye uzalendo wa kweli kwa ajili ya nchi, uamsho wa kufanya mabadiliko ya kweli ya kiuongozi na kiuendeshaji watu wanaweza kupambana kwa machozi jasho na damu kwa ajili ya nchi, hizo sifa nilizotaja hapo huwezi kuzipata ndani ya wazee na vijana wa ccm, watu wa ccm ukiondoa vichwani kwao rushwa, ufisadi,mabavu, na mambo yao mengine ya hovyo linabaki fuvu tuu linalowaza ufisadi
 
Mimi sio chawa ila ndio uhalisia, ukiongelea wakoloni , si bora hao wazungu wangekuwepo hadi leo tungekuwa mbali kama wenzetu southafrica
Hivi unafikiri kukiwa na Tume huru ya uchaguzi hao ccm wanaweza kushinda?
Hatuwezi kuendelea kwa kukumbatia kikundi cha watu walioshindwa miaka nenda rudi.
Watanzania wanajitambua.
Ndiyo maana ni makosa kusema bila ccm haiwezekani kujitawala..

View: https://youtu.be/cMBS4qMPJ8M?si=4-L8x9zJrPF28mVv
 
Tatizo la nchi hii sio CCM mleta mada bali ni aina ya watu wanaopatikana katika hii nchi ndo tatizo. CCM kama chama hakikujiumba kilianzishwa na watu kama mimi na wewe, kanuni, taratibu na miongozo yote ilioko CCM iliwekwa na watu wanaopatikana katika nchi hii. Watu walioko CCM ambao wengine walishafariki na wengine kuzaliwa ndo hawahawa watu wanaopatikana katika vyama vingine kama CHADEMA, ACT ,CUF nk. Jamani si kuna wimbi la watu walitoka vyama vya upinzani kwenda CCM na wengine walitoka CCM kwenda upinzani lakini hakuna kilichobadilika coz tatizo la msingi ni lilelile(WATU).

Mbuzi hata ukimvisha tai na suti kutoka brand maarufu na ghali duniani ataendelea kuwa mbuzi tu.
TATIZO KUBWA NI CCM, period. Si vizuri wala si haki kuwabeza Watanzania kiasi ulichoandika hapa.

Watu wenye akili, wenye weledi mkubwa katika fani mbali mbali, wenye maadili, wenye utimilifu (integrity), wapo Tanzania tena wengi kama ilivyo sehemu nyingine duniani. Wako watanzania wanafanya kazi za kutukuka nje ya nchi. Walipokuwa hapa nchini hawakutambulika wala kuthaminiwa. Wengine walifanyiwa visa hadi wakaachia ngazi.

Utawala wa CCM umetengeneza mazingira ya kutumikia na kunyenyekea viongozi wa nchi (subservience) kama kigezo kikubwa cha kupewa fursa na kufanikiwa kazini. Taaluma, utendaji maadili, havithaminiwi kabisa. Mafanikio ya mwajiriwa ni jinsi atakavyojikomba na kufanikisha malengo ya wakubwa hata kwa kuvunja sheria.

Huo mfumo umewatupa nje wenye uwezo wengi na wengine kuwalazimisha kuwa vilaza na machawa ili kufurahisha waliowateua.

Effects zinaonekana. Angalia watu kama Prof. Kabudi, Prof. Mruma, Dr. Mwakyembe, Polepole, etc. walivyopitia mabadiliko ya kushangaza chini ya viongozi wa CCM. IPO mifano mingi tu katika ngazi zote za serikali. Ni domino effect ya uchawa iliyotamalaki nchini.

Weledi wamebakia kuugua tu wanapoona nchi inavyohujumiwa na idiots. Halafu anatokea mtu anawafunika wote na blanketi la IDIOCY. That’s grossly unfair!
 
Hivi unafikiri kukiwa na Tume huru ya uchaguzi hao ccm wanaweza kushinda?
Hatuwezi kuendelea kwa kukumbatia kikundi cha watu walioshindwa miaka nenda rudi.
Watanzania wanajitambua.
Ndiyo maana ni makosa kusema bila ccm haiwezekani kujitawala..

View: https://youtu.be/cMBS4qMPJ8M?si=4-L8x9zJrPF28mVv

Ndio tatizo la Machawa. Ni wajinga kiasi cha kushindwa kutambua hata hizi dhuluma zinazofanywa kwenye uchaguzi si kwa ajili ya faida ya wananchi bali faida yao mafisadi wa ccm.
 
Sometimes mpunguze upumbavu humo vichwani mwenu. Wapinzani Gani washawahi kuendesha hii nchi mpaka watiliwe shaka !? Mbona huyo ajuza asiyejua lolote anaongoza nchi!? Ndiyo ashindwe Mbowe!?
Huyu aliyejipa uenyekiti wa milele ndio tumpe nchi? Kuweni serious basi
 
Back
Top Bottom