Miaka 60 ya uhuru, bado tunaning'iniza watoto kwenye miti kuwapima uzito

Unashangaa kupumana uzito kwa kuning'inizwa kwenye miti wakati mabinti bado wanatahiriwa. Mboa simple tu
 
Weka picha acha umbea

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Nani alikwambia sisi ni watu? Sisi ni takataka fulani zinazotumia miguu miwili kutembea na kuigaiga kila kitu kinachofanya viongozi wabaki kuongiza viumbe hivi
Ukweli mtupu
Wengi wetuni wale wazungu wanawaita 'ma ZOMBIES'.
 
Nani alikwambia sisi ni watu? Sisi ni takataka fulani zinazotumia miguu miwili kutembea na kuigaiga kila kitu kinachofanya viongozi wabaki kuongiza viumbe hivi
Uko sahihi kabisa. Sisi huenda ni binadamu fake.
 
Waache waning'inizwe ili watakapokua wajitambue wasije wakawa kama hawa wa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…