Miaka 60+ ya Uhuru Tanzania haina makampuni ya kizawa ya kujenga majengo; Tunategemea Wachina!

Miaka 60+ ya Uhuru Tanzania haina makampuni ya kizawa ya kujenga majengo; Tunategemea Wachina!

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kwanini tumedumaa sana na kujitengenezea mentality yakufanyiwa? Tunashindwa nini kuweka kwenye sera zetu kwamba ujenzi wa majengo Tanzania utafanywa na makampuni ya wazawa? Hata kama watataka kutafuta wageni kama engineer iwe ruksa ila tenda wapewe kampuni za ndani.

Kweli tunakwenda kukopa nje fedha au kutenga bajeti tunakabidhi kwa wageni? Wataalamu wetu lini watajitegemea? Kampuni nyingi za kichina tunazowapa tender hawaji na mtaji, mtaji ni negotiations tu na kupata kazi; wakipata kazi wanaweka wachina wawili hadi kumi kwenye project ya 50B na wanaobaki wanakuwa watanzania vibarua.

Tuweni basi na uzalendo! Hakuna taifa limewahi au litaendelea kwa kudharau wazawa.....hakuna Taifa litaendelea kwa kutetea boda boda eti wabebe mishikaki, hakuna Taifa litaendelea kwa kudumaza akili za watu wake.

Tuwape tender Watanzania fedha zibaki mzunguko wa ndani
 
Ila wachina/mabeberu utasikia tumesainiana mkata wa kibiashara wa kuuziana bidhaa, tena wanaenda mbali zaidi wanakwambia kwao mtaingiza bidhaa bila Kodi ila wao wakiingiza kwetu watalipia. Wanajua hatuna bidhaa za kutishia soko lao ht kidogo. Ndio hayohayo ya ujenzi wa ht vilivyopo ndani ya uwezo wetu
 
Kwanini tumedumaa sana na kujitengenezea mentality yakufanyiwa? Tunashindwa nini kuweka kwenye sera zetu kwamba ujenzi wa majengo Tanzania utafanywa na makampuni ya wazawa? Hata kama watataka kutafuta wageni kama engineer iwe ruksa ila tenda wapewe kampuni za ndani.

Kweli tunakwenda kukopa nje fedha au kutenga bajeti tunakabidhi kwa wageni? Wataalamu wetu lini watajitegemea? Kampuni nyingi za kichina tunazowapa tender hawaji na mtaji, mtaji ni negotiations tu na kupata kazi; wakipata kazi wanaweka wachina wawili hadi kumi kwenye project ya 50B na wanaobaki wanakuwa watanzania vibarua.

Tuweni basi na uzalendo! Hakuna taifa limewahi au litaendelea kwa kudharau wazawa.....hakuna Taifa litaendelea kwa kutetea boda boda eti wabebe mishikaki, hakuna Taifa litaendelea kwa kudumaza akili za watu wake.

Tuwape tender Watanzania fedha zibaki mzunguko wa ndani
Hongera kwa kuwaza hivyo tatizo letu ni kuchukia matajiri je matajiri wakitanzania wakianzisha hizo kampuni wakipewa tenda za ujenzi si mtasema sana , tubadilishe mind set zetu za kuona matajiri ni mafisadi wanakula hela za nchi tukifanikiwa hapo wazawa watafika mbali maana kwa sasa wa kwanza kabisa wa kupiga makelele ni sisi tupende matajiri na tupende kuwa matajiri na tuwaheshimu maana siku zote watu masikini huunda taifa masikini na watu wengi wakiwa matajiri automatically tutakuwa na taifa tajiri na kingine cha mwisho ili tupate hizo kampuni za wazalendo zenye hadhi hiyo lazima hao watu au kampuni zipate upendeleo maalumu nasi wananchi tukubali basi wakipewa upendeleo huo tusiwaite mafisadi wakipewa hivyo na style hii ya upendeleo ndio iliosaidia kampuni kama samsung kuwa pale ilipo sasa.
 
Kwanini tumedumaa sana na kujitengenezea mentality yakufanyiwa? Tunashindwa nini kuweka kwenye sera zetu kwamba ujenzi wa majengo Tanzania utafanywa na makampuni ya wazawa? Hata kama watataka kutafuta wageni kama engineer iwe ruksa ila tenda wapewe kampuni za ndani.

Kweli tunakwenda kukopa nje fedha au kutenga bajeti tunakabidhi kwa wageni? Wataalamu wetu lini watajitegemea? Kampuni nyingi za kichina tunazowapa tender hawaji na mtaji, mtaji ni negotiations tu na kupata kazi; wakipata kazi wanaweka wachina wawili hadi kumi kwenye project ya 50B na wanaobaki wanakuwa watanzania vibarua.

Tuweni basi na uzalendo! Hakuna taifa limewahi au litaendelea kwa kudharau wazawa.....hakuna Taifa litaendelea kwa kutetea boda boda eti wabebe mishikaki, hakuna Taifa litaendelea kwa kudumaza akili za watu wake.

Tuwape tender Watanzania fedha zibaki mzunguko wa ndani
Ukiwa na fikra limited, unaona kitu huwa kitu kizuri kinafanywa na mtu mwingine.
Limited thinker huwa siyo progressive na hana uthubutu.
We must change.

Sasa mtoa mada nashangaa kwa nini haanzishi kampuni hiyo ya kujengamajengo marefu.
Ni kujidharau.
 
Kwanini tumedumaa sana na kujitengenezea mentality yakufanyiwa? Tunashindwa nini kuweka kwenye sera zetu kwamba ujenzi wa majengo Tanzania utafanywa na makampuni ya wazawa? Hata kama watataka kutafuta wageni kama engineer iwe ruksa ila tenda wapewe kampuni za ndani.

Kweli tunakwenda kukopa nje fedha au kutenga bajeti tunakabidhi kwa wageni? Wataalamu wetu lini watajitegemea? Kampuni nyingi za kichina tunazowapa tender hawaji na mtaji, mtaji ni negotiations tu na kupata kazi; wakipata kazi wanaweka wachina wawili hadi kumi kwenye project ya 50B na wanaobaki wanakuwa watanzania vibarua.

Tuweni basi na uzalendo! Hakuna taifa limewahi au litaendelea kwa kudharau wazawa.....hakuna Taifa litaendelea kwa kutetea boda boda eti wabebe mishikaki, hakuna Taifa litaendelea kwa kudumaza akili za watu wake.

Tuwape tender Watanzania fedha zibaki mzunguko wa ndani
Kwani ccm wanasemaje?
 
Kwanini tumedumaa sana na kujitengenezea mentality yakufanyiwa? Tunashindwa nini kuweka kwenye sera zetu kwamba ujenzi wa majengo Tanzania utafanywa na makampuni ya wazawa? Hata kama watataka kutafuta wageni kama engineer iwe ruksa ila tenda wapewe kampuni za ndani.

Kweli tunakwenda kukopa nje fedha au kutenga bajeti tunakabidhi kwa wageni? Wataalamu wetu lini watajitegemea? Kampuni nyingi za kichina tunazowapa tender hawaji na mtaji, mtaji ni negotiations tu na kupata kazi; wakipata kazi wanaweka wachina wawili hadi kumi kwenye project ya 50B na wanaobaki wanakuwa watanzania vibarua.

Tuweni basi na uzalendo! Hakuna taifa limewahi au litaendelea kwa kudharau wazawa.....hakuna Taifa litaendelea kwa kutetea boda boda eti wabebe mishikaki, hakuna Taifa litaendelea kwa kudumaza akili za watu wake.

Tuwape tender Watanzania fedha zibaki mzunguko wa ndani
Tunayo mengi tuu ila hayana rasilimali Fedha za kutosha eg TBA, National housing , Watumishi housing nk
 
Kwanini tumedumaa sana na kujitengenezea mentality yakufanyiwa? Tunashindwa nini kuweka kwenye sera zetu kwamba ujenzi wa majengo Tanzania utafanywa na makampuni ya wazawa? Hata kama watataka kutafuta wageni kama engineer iwe ruksa ila tenda wapewe kampuni za ndani.

Kweli tunakwenda kukopa nje fedha au kutenga bajeti tunakabidhi kwa wageni? Wataalamu wetu lini watajitegemea? Kampuni nyingi za kichina tunazowapa tender hawaji na mtaji, mtaji ni negotiations tu na kupata kazi; wakipata kazi wanaweka wachina wawili hadi kumi kwenye project ya 50B na wanaobaki wanakuwa watanzania vibarua.

Tuweni basi na uzalendo! Hakuna taifa limewahi au litaendelea kwa kudharau wazawa.....hakuna Taifa litaendelea kwa kutetea boda boda eti wabebe mishikaki, hakuna Taifa litaendelea kwa kudumaza akili za watu wake.

Tuwape tender Watanzania fedha zibaki mzunguko wa ndani
Nmesoma kichwa tuu cha habari na kuja na haya kwamba Tanzania hatuna engineer's kuna ma contractor's
 
Hongera kwa kuwaza hivyo tatizo letu ni kuchukia matajiri je matajiri wakitanzania wakianzisha hizo kampuni wakipewa tenda za ujenzi si mtasema sana , tubadilishe mind set zetu za kuona matajiri ni mafisadi wanakula hela za nchi tukifanikiwa hapo wazawa watafika mbali maana kwa sasa wa kwanza kabisa wa kupiga makelele ni sisi tupende matajiri na tupende kuwa matajiri na tuwaheshimu maana siku zote watu masikini huunda taifa masikini na watu wengi wakiwa matajiri automatically tutakuwa na taifa tajiri na kingine cha mwisho ili tupate hizo kampuni za wazalendo zenye hadhi hiyo lazima hao watu au kampuni zipate upendeleo maalumu nasi wananchi tukubali basi wakipewa upendeleo huo tusiwaite mafisadi wakipewa hivyo na style hii ya upendeleo ndio iliosaidia kampuni kama samsung kuwa pale ilipo sasa.
Mkuu mbaya zaidi huwa kampuni za kizalendo zikiinukia zinawindwa vibaya zaidi na watumishi wa umma, wanasiasa na kwa ujumla watu wa kodi zote.

Kwa uzoefu wangu, miradi ya mawizara, halmashauri na watoa kazi wengi, wanalambishwa rushwa nzito nzito.
Mzalendo anapigwa teke kwenda mbali.
Hilo linafanyika hadi leo
Kwamba tunaendeleza wazalendo ni unafiki mtupu.
 
Kwanini tumedumaa sana na kujitengenezea mentality yakufanyiwa? Tunashindwa nini kuweka kwenye sera zetu kwamba ujenzi wa majengo Tanzania utafanywa na makampuni ya wazawa? Hata kama watataka kutafuta wageni kama engineer iwe ruksa ila tenda wapewe kampuni za ndani.

Kweli tunakwenda kukopa nje fedha au kutenga bajeti tunakabidhi kwa wageni? Wataalamu wetu lini watajitegemea? Kampuni nyingi za kichina tunazowapa tender hawaji na mtaji, mtaji ni negotiations tu na kupata kazi; wakipata kazi wanaweka wachina wawili hadi kumi kwenye project ya 50B na wanaobaki wanakuwa watanzania vibarua.

Tuweni basi na uzalendo! Hakuna taifa limewahi au litaendelea kwa kudharau wazawa.....hakuna Taifa litaendelea kwa kutetea boda boda eti wabebe mishikaki, hakuna Taifa litaendelea kwa kudumaza akili za watu wake.

Tuwape tender Watanzania fedha zibaki mzunguko wa ndani
Mbona kuna SUMA JKT TBA na MAGEREZA ?
 
Back
Top Bottom