Miaka 61 bila huduma ya maji Dar es Salaam

Tuko na Tanzania royal T ndugu na wengine tunakula kwa urefu wa kamba zetu hayo sio muhimu kwa sasa.
 
Wachaga huwa ni watu wabaya sana aisee, wana ukatili wa ajabu.
 
Mbunge wenu ni nani?
 
Huku wilaya ya chalinze walikuwa na CHALIWASA wakaivunja CHALIWASA wakaiweka pamoja na DAWASA tangu iwe chini ya DAWASA maji hayajawahi kutoka hadi leo
 
Tatizo ni moja, siku zote Aliye shiba hamjui mwenye njaa !!
 
Miaka mitano ya kwanza hakuwaona? Nitajie nani alikuwa anaishi Mpigi miaka ya 1970 ili apelekewe maji na barabara.
 
Alikuwa mzalendo nyumbani kwako.

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Hizo v8 ni matakwa ya sheria ambazo magufuli alikuwepo bungeni kuzipitisha. Kuhusu hizo v8 anza kumlaumu magufuli.
Kwa kweli hayo mavieite yanavyopishana halafu tunasema eti nchi ni masikini kila mwenye akili anatushangaa !! " Land Cruiser hardtop ndio gari zinazofaa kwa sababu hata kwenye barabara za tope zenyewe zinapita tu !! LA sivyo msituambie nchi yetu ni masikini !!
 
Huku wilaya ya chalinze walikuwa na CHALIWASA wakaivunja CHALIWASA wakaiweka pamoja na DAWASA tangu iwe chini ya DAWASA maji hayajawahi kutoka hadi leo
Hahahaaa pole mkuu...
Naona imekuwa tofauti.
Maeneo ninayoishi mimi tangu waanze DAWASA ndio tumeanza kupata maji,enzi za Chaliwasa ilikuwa unaweza kukaa hata miezi 6 bomba halitoi maji.
Hivi asubuhi hii nimetoka kukinga maji bombani kwenda kuoga[emoji23]
 
Mbunge wenu ni nani?
Jumanne Mtemvu yule jamaa aliyemuomba Magufuli hizi huduma siku ya uzinduzi wa stand ya mkoa pale Mbezi.

Simsikii tena akipiga chapuo hadi kuna wakati huwa nahisi nae anafaidika na hizi hujuma.
 
Una Nia nzuri ya kuweka mada ya mahitaji ya maji lakini uwasikishaji wako una mapungufu. Kwamba eneo la Mbezi Stendi ya Magufuli hakuna maji kuanzia mwaka 1961 tulipopata uhuru, Mimi nipo hapa Dar kuanzia 1979. Makazi ya Mnezi yalikuwa ni mapori tu kwenye miaka 1979
 
Nime-plan kuchimba kisima nivune maji ya mvua tu maana nchi hii hakuna mtetezi zaidi ya kuishi jinsi hali inavyotaka.
Naona kule mpiji ndio wameanza kupitisha mabomba...,, nna ka Ujenzi ka kibanda changu huko,, but visima vya watu binafsi now havitoi maji so tuliovuta ni kama tulipoteza tu pesa,,,na Serikali ndio ipo mwendo wa kobe sana...

But hizo barabara ndio changamoto,,,zinachongwa karibu kila mwezi,,,kila ninapopita kwenda site nakuta imechongwa,,na ikinyesha mvua hizo njia gari huwezi tembea hata speed 40km/h..

Hii Nchi ni kuishi kadri nguvu yako ilivo,,hakuna mtu atakutetea.
 
Huko hakufai kuishi mimi nimehama,nilikuwa na kajumba kangu Makabe kwa Moyo nimekimbia,Barabara Mbovu Maji hakuna,Mwaka jana huyo Aweso alikuja njiapanda Makabe akapigapiga tuneno na kusaini Vikaratasi na Wakandarasi wake mwaka umepita nikiuliza walioko huko wanasema Maji hakuna na Mbunge haonekani.
 
Mambo mengine ni ya kuacha tu !!
 
Ubena hapa nimekimbia nyumba yangu nimehamia Morogoro mjini
 
14 October 2022
Mivumoni, Madale
Tanzania

MIAKA KUMI HAWANA MAJI MADALE DSM

inabidi watumie muda mrefu kusaka maji mbali, suala hili ni la kijinsia ndiyo maana halishugulikiwi na watendaji wanaume ? Kampeni ya mtue ndoo mwanamke imeishia wapi wanahoji wakaazi wa kitongoji cha Mivumoni jijini Dar es Salaam.
Source : EATV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…