[emoji28]Basi wako nyuma sana na ndio maana wanasema ukiona jamii kina mama wajinga angalia hata vijana wao hawawezi kuwa na akili kama wanayo ya darasani basi ni ya kukariri tu lakiji sio ya kutumia common sense. Angalia jamii nyingi zinazonyanyasa wanawake huwa hazina maendeleo na hata wakiendelea unakuta hawana classy yapo yapo tu na kuvaa mi suti ya red au purple. Maendeleo sio ya maana
Kwanza ni marufuku kula pamoja na wanaume...wanaume wanaweza beba chungu Cha mboga na usifanye kitu![emoji1][emoji1][emoji1]! Mie pia nimepitia Sana unyanyasi huo kwa baba...dogo letu mpk leo wanamtreat Kama mfalme!
Nilifight Sana nikajua shortcut ni mm niwe na life zuri . .Kuna ukandamizaji Sana ..Tena ule wa kuumiza ..huoneshwi hata Hati za viwanja zimeandikwaje...yaan unaishi Kama unaelea hewani tu mradi kuche[emoji38][emoji38]! Yaan wanaume wa kisukuma ni balaa!...hawa dawa yao uwazidi tu wanakuwaga Kama mavifaranga yenye mdondo
[emoji23] inaonesha ulikuwa unakereka sana na hali hii lakini bora wewe umeelimika unaona ni kero, kwa upande wa ambao hawajaelimika kwao ndio maadili safi kabisa na hawaoni kero
Pole sana.Inauma Sana. Hata sisi shangazi yetu alijifungua mwaka 1963! Naskia akawa anatoka kinyesi. Jamii ikamtenga, akaona isiwe kesi. Ndo hii sasa tunaita "fistula!
Tunajiulizaga sijui alipona au alikufa! Aliondoka na mwanaye[emoji24][emoji24]
Inakera balaa yaani...hata wenyeji wahuko kumbe nao hawapendi...! Sema ndo wanakausha..!
vipi mkuu,Acha Mungu aitwe Mungu, Baba yangu mzazi aliondoka mara baada ya Mama kufariki, nilikuwa bado mdogo sana kipindi hicho, nilikuwa na miaka minne tu, Naanza primary mpaka namaliza secondary mpaka chuo, sikuwahi kumtia machoni, Ndugu hawapajui hata kwao maana alikuja Dar kutafuta maisha tu ila asili yake ni Mtwara, Mwaka 2018, nikasema ngoja nikamtafute kama nitabahatisha kumuona, Sikuwahi kufika Mtwara kabla, ila nilijipa ujasiri nikakata tiketi mpaka Masasi, Basi limeingia Masasi giza lishaingia, nikaenda kwa jamaa baada ya salamu nikamuulezea full story na kumtajia jina la baba, Jamaa akasema Masasi kubwa sana hii, huwezi kumpata mtu kwa kuulizia jina tu, nikamwambia Mzee XXX kwa kule DSM alikuwa ana ujuzi wa kutengeneza bidhaa fulani, jamaa akaniambia kwa Masasi anayotengeneza bidhaa, Baada ya yeye kuja, alinipita maana hakunijua muda ulishaenda na hakuna umeme kwake, Baada ya kuambiwa mwanao huyo, Mzee alifurahi sana na alinikumbuka, Namshukuru Mungu alitia wepesi kwa hilo.
Ni kweli ...lakini maisha gani ya hivi kutesa kukuwazia...Tz hapa hakuna mkoa ambao kutoka sehemu moja kwenda nyingine nauli inazidi laki moja ila maisha yanampiga mtu hata nauli tu hapati ila wengine huwa wanakausha sio Kweli kuwa mtu hana Maisha ya kurudi homeKuna watu kibao wamefarik na wamezikwa na serekali kwakua ndug zao hawafahamik, ndo maana ni vyema sana ukitaka kuelekea sehem fulan unatakiwa uage, mm nimeshashuhudia watu zaid ya wawil waliokufa katika utaftaji hawajulikan ndugu zake wala nn, mwsho wa siku anazikwa tu ,,, mtu kama huyo utaendelea kumuhesabia miaka arud lakin hutomuona
JamaniiiiInauma Sana. Hata sisi shangazi yetu alijifungua mwaka 1963! Naskia akawa anatoka kinyesi. Jamii ikamtenga, akaona isiwe kesi. Ndo hii sasa tunaita "fistula!
Tunajiulizaga sijui alipona au alikufa! Aliondoka na mwanaye[emoji24][emoji24]
Huyo mtu mie ashanishindaga tabia aisee yan ye kila kitu yupo alafu full kujimwambafai au kujilegezaUnajua huwa najiulizaga sana wewe ni mtu wa namna gani..Yaani kila tukio lazma liwe lishawahi kukupata, kila Aina ya biashara umefanya, majanga yote yamekugusa na ushuhuda unatoa, kila ishu ikizungumzia unaijua kasoro siasa tu ndio sikuoni.
Aisee wengine mmebarikiwa sana
Pambania umaskini wako...farasi wewe!..nijilegeze kwa kipi..konyo we...ninaandika coz hakuna anayelipia pumzi yangu..hutaki niignore! MxiewHuyo mtu mie ashanishindaga tabia aisee yan ye kila kitu yupo alafu full kujimwambafai au kujilegeza
Pole...Mie mwenyewe mhanga
Wale wanaojiuza jamii forums eti wapoje wapojePambania umaskini wako...farasi wewe!..nijilegeze kwa kipi..konyo we...ninaandika coz hakuna anayelipia pumzi yangu..hutaki niignore! Mxiew
Hivi mtu anajilegezaje kupitia maandishi.?Huyo mtu mie ashanishindaga tabia aisee yan ye kila kitu yupo alafu full kujimwambafai au kujilegeza
Hana hela halafu anakuja kupiga kelele humu, mbafu zakePambania umaskini wako...farasi wewe!..nijilegeze kwa kipi..konyo we...ninaandika coz hakuna anayelipia pumzi yangu..hutaki niignore! Mxiew
Achana nae huyo kibakaHivi mtu anajilegezaje kupitia maandishi.?