Miaka 63 baba mdogo hajawahi kurudi nyumbani

Miaka 63 baba mdogo hajawahi kurudi nyumbani

Wazee wetu hawa nao wanazinguaga sometimes. Kaka yangu wa nyumba kubwa alikwaruzana na baba mwaka 1970 akaamua kuondoka na hajawahi kurudi hadi leo

huyo bro ndie tunachangia jina. Kuna wakati na mm huwa nashikwa na roho ya kuondoka home pasipo kujua nielekee wapi

Mara zote nimekuwa nikimueleza mama hii hali, kwa kweli inamshtua na ananiombea sana sana

Haya mambo yanatembea na damu aisee
Aisee
 
Katika familia kuna siri nyingi sana ambazo unaweza usizijue na ukadhani aliyeondoka ni mjinga na hajielewi. Familia nyingi duniani ni za kijinga na kipuuzi sana, zimejaa chuki, khusda, mauaji ya kichawi, kuharibiana nyota n.k. wengi huondoka na wasirudi tena na haijaanzia leo ni tangu kuja kwa mwanadamu.

Jambo pekee ni kumuamini Mungu pekee na sio hao wazazi, ndugu au rafiki kwani nao hao ni binadamu na wanayo mapungufu yao kibao.

Binafsi naishi Mkoa tofauti na sifikirii si tu kurudi bali hata kupata Mke kutoka eneo hilo maana hilo eneo kwangu ni hatari, kwasasa narudi kwakuwa mmoja wa walionizaa yupo hai na si vinginevyo.

Binadamu ukiwaweka sana kichwani mambo yako hayaendi, utalost, na mbaya zaidi ukisimamia future yao na yako mtalost nyote maana kuna wengine ni masikio ya kufa na umasikini.

Kijana amka na upambane na uache imani kuwa zipo dawa utafanya kumrudisha ndugu aliyepotea home muwe nae, zaidi mutamsema kuwa kala maisha na hakuwajali.

Jitahidini mfanye yenu na yake muachieni Mungu kwani uliyeandika huu uzi hauwezi kujua hao unaoita nduguzo ulionao hapo home walimfanyia jambo gani huyo Mzee.. maybe walitaka kumuua, kumuweka msukule, kumharibia kwa namna yoyote ile, jitahidi uwafahamu binadamu, itakusaidia sana pale watakapokufanyia mambo ya hovyo.

USIMWAMINI HUYO ULIYEKAA NAYE KARIBU YAWEZEKANA ANAKUFICHA UKWELI WA HILI ULILOLIANDIKA HAPA, SIKU UKIJUA UKWELI UTAMCHUKIA NA KUMSIFU SHUJAA ALIEKIMBIA TANGU 1957
Kweli kabisa
 
Mimi baba mdogo wangu nahadithiwa tu sikuwahi kumuona nilikuwa bado sijazaliwa, alikuwa akiishi Uganda akifanya biashara. Kipindi kile Idd Amin amechukua nchi, sasa baada ya hhali kuwa mbaya alikuwa ana mke wake na mtoto mdgo akiwa na miaka miwili akawambia watangulie yeye atakuja baada ya siku mbili afanye utaratibu wa kuuza mali zake ili aondoke.
Wakatangulia wakafika salama na wafanyabiashara watanzania wenzake.
Yeye hakuwahi kurudi, mpaka leo wakassume kuwa aliuawa.
Duuh huzuni iliyoje !!!
 
Mkuu mbona hiyo mikasa ni mingi tu.
Kuna babu yangu mdogo aliondoka makwetu mara baada ya uhuru na hakurudi miaka yote hadi karibia miaka 15 iliyopita.
Alienda mikoa ya kaskazini na tulikuwa wala hatujawahi kumwona.
Baba yangu alikuwa amezeeka na anaumwa, huyo babu mdogo ndio naye akarudi, na alikaa na baba yangu muda mdogo tu, baba yangu akafariki.

Baba yangu ndio alikuwa mrithi wa ukoo kutoka kwa baba yake ambaye ndo babu yangu.
Babu yangu ujanani mwake alimmege ardhi mdogo wake ambaye ndiyo huyu babu mdogo aliyepotea kwa miongo baada ya uhuru.

Huyu babu mdogo alipotoka huko alikotoka kaanza na kesi, anataka ardhi aliyopewa na kaka yake, babu yangu.
Ardhi ile sasa inakaliwa na ndugu wengine walioilima na kuiendeleza na inapendeza, wao waliachiwa na baba zao ambao walishatangulia mbele za haki.
Kimsingi sasa wanaokalia ardhi ya babu mdogo ni baba zangu wadogo, lakini mimi sasa hivi ndio dingi wa ukoo.

Sasa hapo patamu.
Babu mdogo anakuja mbogo anataka mie kiongozi wa ukoo niwatoe baba zangu wadogo kwenye ardhi waliyoiendeleza kwa miaka zaidi ya 40!

Imebidi nimueleze kwa upole tu kuwa hii si kesi yangu, waamuzi wa kesi yake wote walikwisha kufariki!
Hivyo nikamshauri atafute kapori , afyeke na aanze kulima.
Katika umri wa miaka 70 huo tayari ni mtihani.
Mamaeee hapo ndio mwanzo wakutoana roho
 
Huyu chanzo Cha kunichukia Kuna Uzi mtu alisema hawez kula mihogo..
Mie nikasema siwez kula bamia na nyanyachungu na kisamvu..coz nilopozaliwa hakukua na hizo Mambo..bas akanivamia na uswahili wake ..eti we demu unaringa Sana ..amesahau Kuna mwingine amesema Hali mhogo..Ila mie nikaonekana naringa! Yaan mtu anakupangia uishi vipi ..bahat mby siwez kumfurahisha mtu awaye yyt yule!..hayo ndo matokeo ya umaskini wa akili ulokithiri!
Kumbe sababu ndiyo hiyo! Kama bamia wengi tu hawali mie pia nina rafiki yangu bamia hata siku moja huwa ananishangaa sana, sasa mimi nipikie njugu utakula mwenyewe hata kuziona sitaki
 
Mkuu mbona hiyo mikasa ni mingi tu.
Kuna babu yangu mdogo aliondoka makwetu mara baada ya uhuru na hakurudi miaka yote hadi karibia miaka 15 iliyopita.
Alienda mikoa ya kaskazini na tulikuwa wala hatujawahi kumwona.
Baba yangu alikuwa amezeeka na anaumwa, huyo babu mdogo ndio naye akarudi, na alikaa na baba yangu muda mdogo tu, baba yangu akafariki.

Baba yangu ndio alikuwa mrithi wa ukoo kutoka kwa baba yake ambaye ndo babu yangu.
Babu yangu ujanani mwake alimmege ardhi mdogo wake ambaye ndiyo huyu babu mdogo aliyepotea kwa miongo baada ya uhuru.

Huyu babu mdogo alipotoka huko alikotoka kaanza na kesi, anataka ardhi aliyopewa na kaka yake, babu yangu.
Ardhi ile sasa inakaliwa na ndugu wengine walioilima na kuiendeleza na inapendeza, wao waliachiwa na baba zao ambao walishatangulia mbele za haki.
Kimsingi sasa wanaokalia ardhi ya babu mdogo ni baba zangu wadogo, lakini mimi sasa hivi ndio dingi wa ukoo.

Sasa hapo patamu.
Babu mdogo anakuja mbogo anataka mie kiongozi wa ukoo niwatoe baba zangu wadogo kwenye ardhi waliyoiendeleza kwa miaka zaidi ya 40!

Imebidi nimueleze kwa upole tu kuwa hii si kesi yangu, waamuzi wa kesi yake wote walikwisha kufariki!
Hivyo nikamshauri atafute kapori , afyeke na aanze kulima.
Katika umri wa miaka 70 huo tayari ni mtihani.
[emoji3][emoji3] aingie hata hifadhi au pori tengefu walio vamia miaka hiyo wameachiwa[emoji23][emoji23]
 
Kuna Mjomba wangu mmoja alipoteaga miaka ya 1990 akarudi 2005.Sasa mwaka 2006 hadi leo alitokomea kusiko julikana.Ukizingatia Huyu Mjomba ni Bubu yaani ni bonge la mtihani kujua yuko wapi na tunasikia mara yupo Dar,Mara Kenya,Mara alienda South Africa,.Mpaka ukoo ulimwachia Mungu.
Yupo pia ndugu mwingine upande wa Bibi mzaa Mama yeye alikuwa ameoa na watoto 3 akaacha familia amerudi baada ya miaka 20 na haitaki tena familia yake.
 
Kwanza ni marufuku kula pamoja na wanaume...wanaume wanaweza beba chungu Cha mboga na usifanye kitu!😄😄😄! Mie pia nimepitia Sana unyanyasi huo kwa baba...dogo letu mpk leo wanamtreat Kama mfalme!
Nilifight Sana nikajua shortcut ni mm niwe na life zuri . .Kuna ukandamizaji Sana ..Tena ule wa kuumiza ..huoneshwi hata Hati za viwanja zimeandikwaje...yaan unaishi Kama unaelea hewani tu mradi kuche😆😆! Yaan wanaume wa kisukuma ni balaa!...hawa dawa yao uwazidi tu wanakuwaga Kama mavifaranga yenye mdondo
Mimi ndiyo dogo lako sasa mfalme wa nyumba.Nishamuambia baba unamsema huku,ulijua sipo jamii forum.Tunakusubiri urudi tukunyooshe.
 
Siwajui ndugu wa upande wa mama,sujawahi hata kuona

mama ni mzaliwa Wa shinyanga,aliolewa na baba miaka ya 1986. Walitengena na family baada ya kuolewa wakahama na mkoa

Tangu 1986 hadi Leo 2020 mama hakuwahi kurudi nyumbani kwao

Natamani sana siku moja niwaone ndugu zangu upande Wa mama angalau hata mmoja tu lakini ilishashindika kabisa

Tafadhali kama kuna msaada mnaweza nisaidia niwapate hata mmoja

Muda mwingine nikikutana na mtu alitokea shinyanya huwa namchulia kama ndugu yangu.
Mama jina lake anaitwa Modesta misalaba, aliolewa kwenye ukoo Wa maganiko
Vip uliweza kwenda? Utupe mrejesho
 
Back
Top Bottom