Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #61
ha ha ha wasiokuwa na busara watakuwa ni wengi mkuuKwa nini isiwe siku 70 zijazo
Nitakuwa kwa Baba Mwenyezi.Utakuwa umehamia wapi mkuu?
Uwasalimie huko ukifika salamaNitakuwa kwa Baba Mwenyezi.
ha ha ha ha haMbona before hatujakuwepo haikutusumbua, the same itakavyokuwa tutakapokuwa tumekwenda zetu
Death is nothing but a sleep, a deep one
Nitakupokea ukija.Uwasalimie huko ukifika salama
ha ha ha utawapokea wanaotaka kuja hukoNitakupokea ukija.
Hakipo cha kufanya!Nini kifanyike mkuu tuendelee kuwepo?
Hakipo cha kufanya!
Chakufanya kipo.
Mtazamo wangu kwa sasa naona mtu ambacho unaweza fanya ni kupambana kumtafuta Mungu kwa nguvu zote ili kuwa na hope ya umilele unao tukabili baada ya haya maisha cos tunao amina katika Yesu, mbele yetu kuna mbingu na jehamu so maamuzi nikuchagua sasa, katika biblia muhubili 12 ina sema mkumbuke muumba wako siku za ujana wako kabla hujasema sina furaha katika hili.
Kikubwa nikukaa mbali na uwovu na kuishi maisha ya kumpendeza Mungu
Pia unaweza acha kushabikia mambo machafu yanoendelea hapa JF kutoka kwa kina zero IQ na wengineo lengo tu nikuiponya future yetu
Thread hii imenipa uzuni sana aise! View attachment 1259600
Sawa mkuu kwani mi nilishawahi post Uchafu mkuu
ha ha ha haSawa mkuu kwani mi nilishawahi post Uchafu mkuu
Umilele nao zungumza ni after death, ilikupata hope kunaulazima wakumatafuta MunguKujiweka mbali na uovu ndio tiketi ya kuishi duniani milele e?
Huo uchafu wa Zero IQ kwa upande wangu sijawahi kuuona so ni ngumu mimi kuwa miongoni mwa hao mashabiki wake