Miaka 76 iliyopita (mwaka 1947), hakukuwa na nchi inayoitwa Israel

OK ,Wapalestina waende wapi sasa na vizazi vyao!
 
Kwahiyo ,Wapalestina waende wapi!
 
Vile vile kuna miaka hapo nyuma hakukua na taifa linaloitwa Tanzania au Kenya ila kulikua na watu wa jamii ambazo humo ndio jadi yao, hiyo milima na mapori ndiko mababu zao walizikwa.
 
Hiko wazi israel ni wavamizi, sema kwakuwa wananguvu kuzidi parestina ndio maana wanaionea.
Tunao ijuwa historia tunajuwa.
Israel muonevu over.
 
Yupo sawa na hana tofauti na wewe unaowachukia sana wayahudi na watu wa dini zingine wasiokua waislamu kupitia post zako hapo juu.
NB: Wakrsto watawaunga mkono wayahudi na Waislamu wataunga mkono waarabu.

Acha kunidhania, ni wapi nimeonyesha chuki kwa wengine? Unaweza ukanionyesha hicho kipengele!
 
Mkuu ...Kwahiyo baada ya utawala wa falme ya Israeli ya Yudea kuondoshwa na warumi,wayahudi 100% wote wakaenda ulaya kuzaliana na wazungu wakazaliwa machotara????
Jiulize swali dogo tu,je waarabu wote waliokuja afrika mashariki kutokea oman enzi za seyid said,je walizaliana na wabantu wakabaki vizazi chotara na hakuna waarabu asili leo hii wa vizazi vya zamani kule tabora au mombasa???
NB: Kuna waarabu wana blonde hair na kuna wayahudi wana blonde hairs.
Na kuna wazungu wengi tu hawana blonde hairs.
Hilo lisiwachanganye tafuteni asili ya jamii hizo
 
hawakuondoka wote, pale palichafuka sana na majority wakakimbia. wengi wapo Yemen, North Africa wapo wengi (algeria, morocco,egypt,libya), malta, cyprus, uturuki,greece, australia na ulaya, na marekani. pale walibaki wachache sana, kama asilimia 1% tu ndio waarabu wakavamia kuanza kuishi kwenye magofu yao.

kuhusiana na uzungu, hata pale middle east kuna waarabu fulani ni kama blonde, mwangalia mfalme wa Jordan, ni mzungu pure, angalia watawala wa Lebanon, syria ni wazungu.
 
Makala nzr..ila ninichojua Palestine ndowachokozi wakiungwa mkono na wa arabu..hawezekani kila sehemu yote niyakwao et msikit takatifu mavi matupu..siwaende maka madina misri huko kwann wanganganie israel
Au israeli mjiwao mtakatifu niupi Sasa
 
Naomba kama yupo dalali mwenye uwezo akafanye mazungumzo ya hilo eneo wanalogombania waniuzie mimi kwa bei yoyote pesa wagawane pasiwepo tena na mapigano ya kiwaki sina haja ya kuweka namba Dalali aliye tayari mchongo ni huu
 
Makala nzr..ila ninichojua Palestine ndowachokozi wakiungwa mkono na wa arabu..hawezekani kila sehemu yote niyakwao et msikit takatifu mavi matupu..siwaende maka madina misri huko kwann wanganganie israel
Au israeli mjiwao mtakatifu niupi Sasa

Ndio maana mnatemewa
 
Pia hakujawah kuwa na nchi inaitwa Palestine
 
Pia hakujawah kuwa na nchi inaitwa Palestine
Ukweli mnaujua ila mnajitoa ufahamu

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.
 
Hapo hata Palestina nae hakuwepo vile vile. Palestina imekuja kuexist baada fall of Ottoman Empire in early 1900s
Jina la palestina halikuanza kutumika katika utawala Ottoman! Jina palestina lilikuwapo tangia Utawala wa Rumi.
 
Ile nchi kiasili kabisa ni ya Waiisrael, kuhama kwako kwenda maeneo mengine ndio ilifanya ionekane kama yao.
Hawa Wapalestina (waarabu) ni watu waliokuwa wankwenda kule kufanya biashara na sio wazawa!
 
Upo sahii mkuu na umefafanua vyema historia.
Kuhusu watawala wengi kufanana na blonde,s.Ipo hivi kihistoria nikujuze kidogo.
HATA WAARABU NA WATURUKI MPAKA LEO WANAAMINI RACE BORA NI BLONDE NA NDIO MAANA KOO ZA KIFALME ZILIKUA ZINAOA KWA KUCHUKUA WANAWAKE MATEKA AU WATUMWA KUTOKA ENEO LA BALKAN AU ENEO LA CAUCASIAN AU CRIMEA TATAR,S.
HUO NI UTAMADUNI WA WATAWALA WA KIARABU NA KITURUKI KWA MIAKA MINGI.
UKITAKA KUJUA ZAIDI KUHUSU HUO UTAMADUNI SOMA KITABU CHA PRINCESS OF ZANZIBAR MEMORIES 1880,S.
HUYU BINTI ALIZALIWA NA SEYID SAID YEYE NA KAKA YAKE WA KAMBO PRINCE MAJID MAMA ZAO WALIKUA MATEKA KUTOKA ENEO LA CAUCASIAN WALIOUZWA KWA MFALME WA OMAN SEYID SAID WAKIWA MABINTI WADOGO.
NB: MAMA YAKE MFALME ABDULAH ALIKUA RAIA WA UINGEREZA ILA SIJAJUA KAMA ALIKUA CAUCASIAN AU MZUNGU AU BALKANS AU TATAR'S.HII IPO MPAKA LEO WATAWALA WA NCHI ZA KIARABU WANAONA UFAHARI KUJINASIBISHA NA BLONDE GENERATION.
 
Jina la palestina halikuanza kutumika katika utawala Ottoman! Jina palestina lilikuwapo tangia Utawala wa Rumi.
Kipindi cha makhalifa wa kiarabu na kipindi cha ottoman empire halikutumika.
Limetumika kipindi cha ukoloni wa waingereza ila waanzilishi wa hilo jina ni warumi au waitaliano
 
Mkuu ukitumia kiarabu na dini ya kiarabu lazima utawatetea waarabu.
Ebu tumia torati na dini ya kiyahudi uone kama hutowatetea wayahudi.
NB: TAFUTENI HISTORIA HALISI NA SIO YA VITABU VINAVYOEGEMEA UPANDE MMOJA MKUU.
 
Kiuhalisia Middle East ni ya waarabu hawa wazungu wa kiyahudi asili Yao ni ulaya . Haiwezekani wazungu wa kiyahudi wawepo tu pale panapoitwa islaeli wakati asilimia kubwa ya middle east ni waarabu...haimeki sense kabisa

Hata afrka niya watu weusi haiwezekani waarabu wa wepo afrika wametoka wapi hao waarabu ndani ya bara la watu weusi??hii hai make sense kabisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…