Inasemekana katokea hukoHivi nado hakutokea ndondo kweli yule
Watu wanapiga pesa kwa kivuli cha kuibua vipaji we unasema ni platform tuHaihitaji Mafanikio, ile ni platform ya mpira wa mitaani kuonekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila timu kushiriki tu ni laki 3!! Na zilikuwa timu 50!!Si unajua tena clouds media wazee wa fulsa!!eti wana vaa jezi za umbro, bado kiingilio na mshindi atazawadiwa milioni 20!!fanya mahesabu hapo.Watu wanapiga pesa kwa kivuli cha kuibua vipaji we unasema ni platform tu
Waache wapige tu, au wamepiga pesa zako?Watu wanapiga pesa kwa kivuli cha kuibua vipaji we unasema ni platform tu
Ukiangalia kwa asilia failure ni kubwa kuliko mafanikiowakuu hii michuano ya ndondo cup ndani ya dar imekamilisha miaka nane sasa tangu kuanzishwa kwake 2014
Je ni vipaji gani vimeibuliwa na mashidano hayo
kelele za mafanikio ya ndondo ni kubwa mno ilhali hatuyaoniKuna vijana wanacheza ligi kuu kutokea ndondo cup.. mmojawapo ni iddi nado
wamefeli pakubwaUkiangalia kwa asilia failure ni kubwa kuliko mafanikio
Usitumie shida za watu kujinufaishaWaache wapige tu, au wamepiga pesa zako?
Yani inauma kinoma nikiangalia maisha ya watu wanao cheza izo ndondo cup afu na pesa wanazo piga hao kina shaff inauma sanaKila timu kushiriki tu ni laki 3!! Na zilikuwa timu 50!!Si unajua tena clouds media wazee wa fulsa!!eti wana vaa jezi za umbro, bado kiingilio na mshindi atazawadiwa milioni 20!!fanya mahesabu hapo.
kuna ubaya gani hapo dingi au ni wivu tuuKila timu kushiriki tu ni laki 3!! Na zilikuwa timu 50!!Si unajua tena clouds media wazee wa fulsa!!eti wana vaa jezi za umbro, bado kiingilio na mshindi atazawadiwa milioni 20!!fanya mahesabu hapo.