Miaka 8 ya ndondo cup, ni vipaji gani vimezalishwa ndani na nje ya nchi

Vipaji vipo vingi tu shida ni kwa klabu zetu za ligi kuu na daraja la kwanza kutotumia fursa ya kutazama mashindano na kuchukua wachezaji.Issue kubwa hatuna mfumo wa Scouting
 
wakuu hii michuano ya ndondo cup ndani ya Dar imekamilisha miaka nane sasa tangu kuanzishwa kwake 2014

Je, ni vipaji gani vimeibuliwa na mashidano hayo?
ndondo cup ni chaka la shafii dauda akishirikiana na mwajiri wake clouds media kupiga fedha za wadhamini. haikuanzishwa kwa minajili ya kuibua vipaji.
 
Mi nafikiri wasijikite sana kwenye kuibua vipaji mambo mengine yanafaa yabaki kuwa burudani tu basi! Mnaenda ground mbungi inapigwa watu wanaenjoy life inasonga akitokea mmoja kashine kaenda mbele basi ni time yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…