tinkibiruka mhaya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 929
- 794
Swali langu mkuu ni kuwa hivi inawezekana na mzaliwa wa kwanza akiwa mwanamke akapewa Cheo cha ukuuMkuu mbona yaeleweka uzuri tu.
William ni wa pili kwa kurithi kiti cha ufalme baada ya baba yake.
Mtoto wa kwanza wa Charles angekuwa mwanamke, huyo ndiye angemrithi Charles.Swali langu mkuu ni kuwa hivi inawezekana na mzaliwa wa kwanza akiwa mwanamke akapewa Cheo cha ukuu
Ilikua iwe hivyo hasa baada ya kifo cha Diana mama yake William, ambae alipendwa sana na raia kuliko alivyopendwa na familia ya Kifalme. Lakini mtoto hakutaka kuumiza hisia za baba yake ambae ameusubiri Ufalme kwa muda mrefu.Mkuu mbona wanasema wanampa Prince William - Mjukuu wa Filipo na mtoto wa kwanza wa Prince Charles kwamba ndiye atakuwa mfalme ajaye baada ya kifo cha Bibi yake Malkia Elizabeth II. ?
Prince William, Duke of Cambridge, KG, KT, PC, ADC (William Arthur Philip Louis; born 21 June 1982) is a member of the British royal family. He is the elder son of Charles, Prince of Wales, and Diana, Princess of Wales. Since birth, he has been second in the line of succession to the British throne.
Halafu 90% ya watakaosoma stori hizo, wataahirisha kuoa kabisa maisha yao yote, au nakosea?Wengine tuje na historia ya miezi sita ya ndoa zetu?
Sidhani kama uko sahihi.Kama kumbukumbu zangu zipo sawa ni kwamba huyu mama aliwahi kuchumbiwa na bwana David Williamson mmiliki na mwanzilishi wa mgodi wa Mwadui mwanzani mwa miaka ya 50, mama huyu huyu ndiye aliyefungua jengo la kuchambulia Almasi pale Mwadui na ndiye alizindua kanisa la Anglican pale pale Mwadui; uchumba haukwenda mbali sana cause washauri wa familia ya Malikia walimkataa Dr. David Williamson kwamba anatokea familia masikini na nadhani ndio ilipelekea kifo chake huyu mwamba! Narudia, Nimesema, "kama kumbukumbu zangu zipo sahihi"
Sikukatalii mkuu, but dig it out; hayo nilioandika pale Mwadui kuna ushahidi wake, hizo sehemu nilizo zisema zina hadi mabango kabisa. Dig it brother. Hizi familia za kifalme zina mambo mengi sana.Sidhani kama uko sahihi.
Elizabeth alianza kumtamani kijana Phillip akiwa bado mdogo sana kama miaka 13 na kijana akiwa na miaka 18 na walikutana kwenye moja ya harusi za kifalme.
Baadae baada ya miaka mitano yaani mwaka 1939 wakaanza mahusiano.
Baada ya vita wakawa wanakutana jamaa akiwa chuo cha mafunzo ya kijeshi.
Walichumbiana rasmi mapema mwaka 1947na wakaoana mwishoni mwa mwaka huohuo.
Hivyo utaona bwana David Williamson kwenye hiyo miaka ya 50 alikwishachelewa.
Hakuna lisilowezekana ila jamaa alimuoa Elizabeth mwaka 1947 na mwaka ulofuata akazaliwa Charles yaani 1948.Sikukatalii mkuu, but dig it out; hayo nilioandika pale Mwadui kuna ushahidi wake, hizo sehemu nilizo zisema zina hadi mabango kabisa. Dig it brother. Hizi familia za kifalme zina mambo mengi sana.
Baada ya hiyo kitu ya bwana David Williamson kuto ku mature, jamaa alianza tabia za ulevi sana, anakunywa pombe kali kali bila kula chakula aliendelea hivyo kwa miaka kadhaa hadi mwaka 1957 akafariki dunia na mali zake alirithi dada yake aliyekua anaishi nchini Canada (remember huyo jamaa nae alikuaga Canadian as well) na huyo dada akaamua kuuza mgodi kwa jamaa wa De beers ya bwana Opernhama
Asante mkuuMtoto wa kwanza wa Charles angekuwa mwanamke, huyo ndiye angemrithi Charles.
Kwa sababu huwa waangazia mtoto wa kwanza na watoto wake.
Charles ni mrithi wa kwanza (The first heir to the throne) na William mrithi wa pili au (second heir to the throne).
Hivyo watoto wa William ndo watakaomrithi baba yapo yaani akianza George, kisha Charlotte (atakuwa malkia) na wa mwisho Prince Louise.
Ndo maana Harry ambae ni mrithi wa sita kwenye hawezi kuwa mfalme labda kama William asingekuwa na watoto.
Kabuli alilolala prince haliwezi tisha kama makaburi ya babu zetu imelala mizimu... duh! Hilo eneo litakuwa linatisha balaa!
Ushaambiwa ni second in the line of successionMkuu mbona wanasema wanampa Prince William - Mjukuu wa Filipo na mtoto wa kwanza wa Prince Charles kwamba ndiye atakuwa mfalme ajaye baada ya kifo cha Bibi yake Malkia Elizabeth II. ?
Prince William, Duke of Cambridge, KG, KT, PC, ADC (William Arthur Philip Louis; born 21 June 1982) is a member of the British royal family. He is the elder son of Charles, Prince of Wales, and Diana, Princess of Wales. Since birth, he has been second in the line of succession to the British throne.
Harry ili aje kuwa mfalme it means babake na familia ya kakake yote ipotea bloodline inahamia kwake na kuenda kwa archieQueen Elizabeth akifariki mfalme atakua mtoto wake mkubwa Prince Charles ndie anafuata na akifariki Prince Charles mtawala atakua mtoto wake Charles mkubwa ambae ni Prince william
Pia,endapo Prince Charles atafariki kabla ya mama yake queen Elizabeth automatically mtoto Prince william atakua Prince of England [emoji2527] the atafuata mtoto wa kwanza wa William ambae ni Prince George ( 7yers old)
Pia, endapo Prince william na Prince Charles watafariki kabla ya queen Elizabeth basi Prince George ndio atakua Prince [emoji1780] of England [emoji2527] hata kama Prince harry hajafariki
Succession throne inaenda kwa watoto wakubwa tu ( wa mwnzo kuzaliwa)
MASAHIHISHO NILIPOKOSEA[emoji3166]
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]dahhEliza eliza mbona ulikuwa bado mdogo jmn, 13? huku kwetu Filipo angeangukia mikononi mwa pirato kwa miaka 30 jela & kazi ngumu.
Vp wewe na ukoo wako hapo Vikindu?Harry ili aje kuwa mfalme it means babake na familia ya kakake yote ipotea bloodline inahamia kwake na kuenda kwa archie
Hamna lolote jamaa angeleta FYOKO angetimuliwa akiwa na begi tu.....we mtu kakubali mjuu wake atoke nje ya kasri awe huyo mgiriki !Hao ndio wanajua kupendana
[emoji867]Vp wewe na ukoo wako hapo Vikindu?
Shida mwanamke akichepuka wakati maumbile yake ,yamebuniwa kupokea dudu ya aina moja pindi akiwa kwenye ndoaKiprotocali Philip alikuwa safi kabisa, ila kea kuchepuka, inasemekana malika alivumilia sana ili kulinda hadhi ya ufalme, akiamini kuvunja doa ingekuwa doa kubwa. Philip alikuwa na side chicks wanawake wanne muda tofauti katika maisha yao. Lakini malika alivumilia kwani ilikuwa chaguo lake, tena wazazi hawakupenda mtu wa kuja amuoe binti yao ila Elizabeth aling'ang'ana ,wazazi wakakubali yaishe, ndio maana alivumilia. Lakini kiongozi kweli jamaa hakujimwambafai hata siku moja. Funzo kwa vijana leo, ndoa ina mabonde na milima, hakuna binadamu mkamilfu, mkubwa kuvumiliana na kusameheana. Sio unadhiwa na mwenzio leo kesho unawaza kuvunja ndoa. Utafunga ndoa na kuvunja ngapi?