Miaka 82 ya penzi la Malkia Elizabeth II na Mwanamfalme Philip

Huu uhusiano thabiti umetufumba midomo wengi.

Hali ya mahusiano ni tete a tata
 
Hao huwa hawatafuti waume/wake wa kuoa au kuolewa bali wanatafutiwa wa kuoa au kuolewa nao kwahyo Philip na Elizabeth walishapangiwa kuwa wataoana
 
Aliuliwa au?
 
Hii story bibi yangu ananipa mkanda now ......nadhani ina kaukweli flani
 
Prince Phillip alijitoa Sana, pia ni fundisho kumbe ndoa kudumu Hadi uzeeni inawezekana kabisa
Dia hawa walizaliwa kwenye asali wakakulia kwenye maziwa.

Take note that, hata kukutana kwao walikutanishwa shule maalumu shule za hivyo walipa tozo hawawezi peleka watoto wao.
 
Umenichekesha sana..kwamba Tanganyika iliunganishwa na makabila mengine ni wavivu!
 
Sidhani uko sahihi mkuu! Hata njia zo utoto hawajawahi kukutana...hebu turudie historia zao!
 
Huwa najiuliza ikiwa ikitokea kizazi kuna mgumba,au vyovyote vile asipatikane mtoto,huwa inakuaje kwenye kuchagua ufalme/malkia???

Mfano eliza na philip wasingefanikiwa kupata mtoto.
 
Huwa najiuliza ikiwa ikitokea kizazi kuna mgumba,au vyovyote vile asipatikane mtoto,huwa inakuaje kwenye kuchagua ufalme/malkia???

Mfano eliza na philip wasingefanikiwa kupata mtoto.
Elizabeth walizaliwa wawili tu,mdogo wake alikua anaitwa Princess Margreth, Kama asingekuwa na watoto mpaka kufa umalkia ungekwenda kwa Margreth
Margreth aliisha fariki 2002,aliiacha watoto wawili David na Sarah.
Kumbuka pia ilikuwa ni BAHATI kwa Elizabeth kuwa Malkia, aliyetakiwa kuwa mfalme alikuwa ni Edward,huyu alikukataa ufalme kwa mpenda mwanamke Marry Wills Walls Simphson ambaye nadhani alikuwa ametalikiwa na alikuwa Mmarekani, alipoukataa ufalme kwa ajili ya Mwanamke ukaenda kwa mdogo wake,akawa Mfalme George aliyemzaa Elizabeth, hivyo Baba Mkubwa wa Elizabeth aliukataa ufalme kwa ajili ya kupenda!
 
Yah king Edward alidumu kwenye ufalme miezi 11 baada ya inshu ya abdiction ndio George akachukua ufalme, kwa hyo queen Elizabeth kaupata ufalme kibahati Sana..
 
Yah king Edward alidumu kwenye ufalme miezi 11 baada ya inshu ya abdiction ndio George akachukua ufalme, kwa hyo queen Elizabeth kaupata ufalme kibahati Sana..
Alikuwa loyal kwa mwanamke wake,sijui Harry atafika wapi na Meghan,maana licha ya yote ndoa huwa zinawatatiza sana. ELizabeth alipata mwanaume cool.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…