Miaka 95 ya Mzee Leopold Rwizandekwe II

Miaka 95 ya Mzee Leopold Rwizandekwe II

Wahaya wakiziba(warangira) ni tofauti na wahaya wengine, wana maono uthubutu wanajiamini sana wana akili za maisha na darasani, ukisome historia ya huyu jamaa ndo chazo cha nyerere kusema hamna mwenye kiti wa chama (raisi mtarajiwa) kutoka Uhayani chanzo ni huyu mwamba, mwalimu Nyerere hakupenda wa haya katika maisha yake ya uraisi.
Watu wenye akili pekee waliomchallenge mwalimu

Wenginme wote walikuwa wanashangilia
 
Watu wenye akili pekee waliomchallenge mwalimu

Wenginme wote walikuwa wanashangilia
Bila shaka hapo unawazungumzia;

a) Mzee Christopher Kassanga Tumbo aliyejiuzulu Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza kupinga Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea.

b) Mzee Edwini Mtei aliyejiuzulu Uwaziri wa Fedha akipinga sera za Mwl. Nyerere za uchumi. Wakati anajiuzulu alisema pesa inayonunua gari leo, kesho itanunua baiskeli!

c) Marehemu Tunteneke Sanga alipomwambia Mwl. Nyerere kwamba kazi pekee anayoweza kufanya ni Urais tu!! Ahahahahaha!!!
 
Mkuu nimekaa kipindi kirefu mkoa wa Kagera wilayani Missenyi Bunazi kutokana na sababu kadhaa kubwa ni kiuchumi niliona kama mkoa wa Kagera umenikataa pressure ya kuhama ilikuwa kubwa na nilivyopata nafasi sikusita kuondoka...
Aisee. Imenikumbusha Bunazi. hahahahahaaa
 
Mkuu nimekaa kipindi kirefu mkoa wa Kagera wilayani Missenyi Bunazi kutokana na sababu kadhaa kubwa ni kiuchumi niliona kama mkoa wa Kagera umenikataa pressure ya kuhama ilikuwa kubwa na nilivyopata nafasi sikusita kuondoka....
Mkuu vipi tabia za wanawake wa kihangaza
 
Waangaza ni jamii ya watusi wa burundi kama unavo hana waha kua jamii ya wa hutu wa burundi.....ni watu safii sanaa tatizo lao ni pombe wanakunywa sanaa.
😆😆😆😆 nilitaka nikatafute mke wa kuoa ngara
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nilitaka nikatafute mke wa kuoa ngara
Wanazeeka haraka ila hawachiki ni watulivu sanaa ila akipata muanfaza mwenzie kwenye mtaa huo wanakua ndugu kabisa wanajuana sanaa.
 
Wanazeeka haraka ila hawachiki ni watulivu sanaa ila akipata muanfaza mwenzie kwenye mtaa huo wanakua ndugu kabisa wanajuana sanaa.
Lengo langu nioe nimlete mtwara sidhani kama kuna muhangaza huku
 
Nawaona tu wakija" hapo kwenye sisi kuwa na akili hujasokea" nshomile bhana😆😆
 
Back
Top Bottom