Watu wenye akili pekee waliomchallenge mwalimuWahaya wakiziba(warangira) ni tofauti na wahaya wengine, wana maono uthubutu wanajiamini sana wana akili za maisha na darasani, ukisome historia ya huyu jamaa ndo chazo cha nyerere kusema hamna mwenye kiti wa chama (raisi mtarajiwa) kutoka Uhayani chanzo ni huyu mwamba, mwalimu Nyerere hakupenda wa haya katika maisha yake ya uraisi.
Bila shaka hapo unawazungumzia;Watu wenye akili pekee waliomchallenge mwalimu
Wenginme wote walikuwa wanashangilia
Aisee. Imenikumbusha Bunazi. hahahahahaaaMkuu nimekaa kipindi kirefu mkoa wa Kagera wilayani Missenyi Bunazi kutokana na sababu kadhaa kubwa ni kiuchumi niliona kama mkoa wa Kagera umenikataa pressure ya kuhama ilikuwa kubwa na nilivyopata nafasi sikusita kuondoka...
Mkuu vipi tabia za wanawake wa kihangazaMkuu nimekaa kipindi kirefu mkoa wa Kagera wilayani Missenyi Bunazi kutokana na sababu kadhaa kubwa ni kiuchumi niliona kama mkoa wa Kagera umenikataa pressure ya kuhama ilikuwa kubwa na nilivyopata nafasi sikusita kuondoka....
Bunazi Gulio la jumamosi watu kibaoAisee. Imenikumbusha Bunazi. hahahahahaaa
Wahangaza kama sijakosea ni kutokea Ngara mkuu hao Sina experience nao sana ila nachojua ni wavumilivu maana Wana vinasaba vya BurundiMkuu vipi tabia za wanawake wa kihangaza
Waangaza ni jamii ya watusi wa burundi kama unavo ona waha kua jamii ya wa hutu wa Burundi.....ni watu safii sanaa tatizo lao ni pombe wanakunywa sanaa.Mkuu vipi tabia za wanawake wa kihangaza
ππππ nilitaka nikatafute mke wa kuoa ngaraWaangaza ni jamii ya watusi wa burundi kama unavo hana waha kua jamii ya wa hutu wa burundi.....ni watu safii sanaa tatizo lao ni pombe wanakunywa sanaa.
Wanazeeka haraka ila hawachiki ni watulivu sanaa ila akipata muanfaza mwenzie kwenye mtaa huo wanakua ndugu kabisa wanajuana sanaa.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nilitaka nikatafute mke wa kuoa ngara
Lengo langu nioe nimlete mtwara sidhani kama kuna muhangaza hukuWanazeeka haraka ila hawachiki ni watulivu sanaa ila akipata muanfaza mwenzie kwenye mtaa huo wanakua ndugu kabisa wanajuana sanaa.
Mambo ya nyumbani hayoMkuu karibu tena kwetu. Mandhari nzuri sana! Baada ya kutoka kwenye Sherehe ya Omutwale Rwizandekwe II tupo sehemu hapa upepo mzuri tunashushia "Kalinya"! Ahahahahaha!!!
Neno ni sualaMimi natoka kiziba hapo mzee Rafiki yangu balozi kamala sasa marehemu alikuwa jirani yangu.
Swala la AKILI kweli haujakosea
Mjajalo. Ule mjajalo umenitunza sana aisee.Bunazi Gulio la jumamosi watu kibao