miaka below 21 tukutane APA

Mpaka shule zifunguliwe tutakoma
 
Kwani miaka 21 huna haki ya kuwepo humu?mbona ni mingi sana hiyo miaka


Wanaume wa Dar wana-mature wakifika miaka 35 kwenda mbele ila si chini ya hapo, si unaona hata comment yake. Irudie kusoma utanielewa nina maana gani.
 
Wanaume wa Dar wana-mature wakifika miaka 35 kwenda mbele ila si chini ya hapo, si unaona hata comment yake. Irudie kusoma utanielewa nina maana gani.
Anayejiita mtu mzima hawezi kuandika maneno kama yale
 
...nimeshafika hapa miaka 20 sasa nipo tu kitaa nabet Leo namuua man city
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…