Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Kwani miaka 21 huna haki ya kuwepo humu?mbona ni mingi sana hiyo miakaYaani uko chini ya miaka 21 unakuja hapa kutafuta nini, kwani Facebook na Instagram haziko? Huko ndiko kuna wapuuzi wenzako si hapa, ebu tutokee huko na miushuzi yako.