Miaka bilioni 3.8 iliyopita sayari Venus na Mars zilikuwa na kama vya dunia

Miaka bilioni 3.8 iliyopita sayari Venus na Mars zilikuwa na kama vya dunia

Hiyo ha
Huwezi kukubali ila kubali sababu sayansi ndio imekufikisha hapa unatumia JF.

Solar system tunayoisoma leo ilikuwa tofauti miaka bilioni 3.8 kabla ya dunia tuliyopo. DUNIA ilijikuta baada ya mabadiliko ya kianga kukumbwa na meteor zilizobadilisha muonekano wa solar system.
View attachment 2483162

Kiufupi tuite kwa ujumla mawe, mawe makubwa ambayo yalikuja kubadilisha sayari nyingi zilizopo kama kila moja tukianza kuleza tutajaza JF.

Miaka bilion 3.8 solar system ilikuwa sio pana
View attachment 2483164

ukilanganisha na leo. sababu
Hiyo habitat zone ndiyo inakuwa kuwaje?
Je ni Mahsusi kwa kuishi viumbe bila bughudha au vipi, emb elezea kidoncho!
 
Sayansi imejibu na inaendelea kujibu maswali mengi sana kuliko hizo dini unazozishadadia upuuzi mtupu.
Kwamba miaka bilioni tatu huko tulikua nyani,solar system ilikua finyu!!..crazy!?...sayansi imeleta matatizo tu,wagonjwa wengi hospitali wanapelekwa na kufeli kwa sayansi, sayansi imeharibu na inaendelea kuharibu siha zao
 
Sijasoma huu uzi ila najaribu kutafakari itakuwaje kama binadamu wote wataondolewa duniani.
 
Back
Top Bottom