Miaka elfu saba ijayo, atheism itakuwa ndio dini kuu duniani. sababu zipo hapa chini

Miaka elfu saba ijayo, atheism itakuwa ndio dini kuu duniani. sababu zipo hapa chini

Niliposoma na kuishia hizo habari za Alpha Century nikajua (labda ni yule Kijana wa Nyerere, ikabidi niangalie tena avatar yako) tu humu duniani maisha ni kuishi kama digidigi. Labda hao viumbe wakishuka tu, sisi binadamu ndio tutakuwa kitoweo chao...
Usiogope
 
Hiyo miaka ya dunia mnatumia reference gani? Maana sidhani kama mnaelewa zile law za physics hasa relativity na issue za light travel..

Hapo mkumbuke tunaongelea umbali kwa kulinganisha na mda ambao mwanga ungesafiri kutoka duniani.

Thats means kama kuna possibility ya kusafiri kwa speed ya mwanga ndio utatumia miaka hiyo 4.3 kusafiri na hiyo ni miaka ya dunia..

Issues zinakuja kwenye relativity theory kuwa kwanza there is no possibility (kwa currently technology) kuweza kusafiri kwa hiyo speed..na hicho ndio kinachopelekea kuonekana kuwa ni muda mrefu kufika huko sababu technology tuliyonayo kwa sasa duniani inatulimit hapo so tukitumia chombo chochote kwa hii technology tutatumia miaka mingi mno.

Mfano kwa sasa moja ya vyombo pekee vilivyoweza kutoka nje ya mfumo wetu wa jua ni voyagers probe.. Zipo 2 na zinatembea kwa wastan wa speed 56,000km/h (ambazo ni moja ya speed ya juu kwa vyombo vilivyotengenezwa hadi sasa) ila bado vitachukua si chini ya miaka 80,000 kuweza kufika kwenye mfumo huu wa centauri. Alpha Centauri: Nearest Star System to the Sun

Na pia hata ukitokea kuwezekana kusafiri kwa speed ya mwanga(kitu ambacho theory of relativity ndio inaelezea kuwa haiwezekani kwa vitu vyenye mass zaid ya proton kuweza kusafiri kwa speed hiyo) ndio inakuja swala la relativity theory. Hapo inakuja issue ya relative, yaani unasoma mda kwa aspect ipi.. Mfano ukiweza kusafiri kwa speed ya mwanga.. Anayesafiri (traveller) atachukua miaka hiyo 4 tu kufika huko na 4 kurudi jumla miaka 8. Ila wale watakaokuwa wamebaki duniani (observer) wataona huyo mtu (traveller) amechukua zaidi ya hiyo miaka 4 (hapa sasa kuna ma calculation ya time dilation ya kufa mtu) ila hapo ndio hiyo theory of relativity inapoingia kuwa mda utakaopita kwa traveler na observer utakuwa tofauti.. Kuna video nyingi sana YouTube zinazoelezea hii kwa undani
View: https://youtu.be/b_TkFhj9mgk?si=HM4sk4vTNQUIACYy

Kwaiyo ndio maana nikauliza nyie hiyo miaka ya dunia mna sema kwa base ipi?

Time will come when people on earth will acquire the technology to travel with the speed of light
 
Time will come when people on earth will acquire the technology to travel with the speed of light
According to the current science knowledge its impossible kuweza kusafiri kwa 100% speed of light.. But still you never know what's still ahead of science..

Ndio maana kwa sasa inapokuja issue ya long distance space travels wanascience wanaongelea sana mambo ya wormholes na gravity manipulation au kutumia hibernation methods..

But still hakuna ajuaye kesho so maybe tunaweza fikia hiyo speed..
 
Kusema kweli napata tabu sana kutofautisha hivyo viwili.
Iko hivi. Unaposema A belief—maana yake inaoffer vitu fulani. Nikirejea Uislam na Ukristo, I'm sure unanielewa what those two sets of beliefs offer.

Sasa ukisema kuwa Dunia nzima itakuwa inaamini kwenye Atheism; maana yake inarudi kwenye msingi wa DINI—CONVINCTIONS. Ilihali, Atheist yeye hajathibitishiwa na kukubaliana na Uwepo wa Mungu. So, Atheist just REJECTS THE IDEA OF GOD/SUPERNATURAL POWER EXISTENCE UNTILL HE IS PROVEN BEYOND DOUBT THAT HE EXISTS.

Na Atheism haitoi wala haina Muongozo wowote wa maisha.
 
Sababu kuu ni moja tu, mfumo huu wa maisha ya sasa utakuwa umepinduliwa na kuwa replaced na mfumo mpya.

Mfumo huu mpya utajibu maswali yote ambayo dini kuu mbili zimeshindwa kuyajibu.

Maendeleo ya sayansi na teknolojia ndio yatakayo fanya mfumo wa maisha ya sasa hivi upinduliwe na kuwa replaced na mfumo mpya.

NAMAANISHA NINI KUSEMA MFUMO WA MAISHA?

Ngoja nikupe mfano kidogo. Nakurudisha hadi kwenye bustani ya Edeni kabla Adam na Hawa hawajamuhasi Mungu.

Kwenye bustani ya Edeni, Adam.na Hawa waliishi chini ya mfumo maisha ambao ulikuwa tofauti na mfumo wa maisha ambao waliuishi mara baada ya kafukuzwa kutoka Eden. Mfumo ambao ndio tunauishi mpaka.leo.


Kwenye bustani ya Edeni hakikuwa na [emoji116]

1. Kifo
2. Magonjwa.
3. Kula kwa jasho.

4. Kuzaa kwa uchungu.

5. Adam na Hawa wali exercise their full authority of each and everything that surrounded them.

5. Adam na Hawa walikuwa wanazungumza na Mungu physically. God the Almighty was physically visible from their point of observation.

6. Kifupi ilikuwa ni bata juu ya bata.

BAADA YA KUFUKUZWA EDEN:
ADAM na Hawa ,walianza kuishi maisha ambayo : [emoji116]

1. Walijua kuna kifo.

2. Kulikuwa na kuugua

3. Kuzaa kwa uchungu.

4. Kula kwa jasho.

5. No more physical contact with God.

6. Their authority over other creatures was a little bit shaken.

Tafsiri rahisi ni kwamba baada ya Adam na Hawa kuasi la Mungu, mfumo wao maisha ulibadilishwa juu chini. Walianza kuishi chini ya mfumo mpya ambao ilibidi wa u adopt.

MIAKA ELFU SABA IJAYO.

Kwenye Biblia imeandikwa kwamba siku atakayo kuja Yesu atashusha mbingu mpya na nchi mpya. Kwa tafsiri yangu Mimi hizo mbingu mpya na nchi mpya ni mfumo mpya wa maisha na sheria mpya za maisha zitakazo endana na mfumo huo mpya.

MAMBO MAWILI YATAFANYIKA

1. viumbe kutoka sayari na universes zilizo endelea kiteknolojia watashusha teknolojia yao kwa watu wanao ishi katika sayari hii. Teknolojia hii itafanya mambo yafuatayo:

1. Kufanya watu watakao kuwa wanaishi kutokufa Milele. .

Hii itakuwa ni aina ya miti/mimea kutoka mfumo wa nyota uitwao Alpha Centauri.. Ina aminika kwamba katika mfumo wa Alpha Centauri ndiko vitu vyote vilivyopo katika sayari ya dunia viliumbwa/vilitengenezwa( wanyama akiwemo binadamu na mimea) Raw materials zilichukuliwa kutoka katika sayari ya dunia unapelekwa Alpha Centauri then viumbe wa duniani hapa wakawa created then wakaja kuwa planted back kwenye sayari hii ya dunia.. sasa inasemwa kwamba huko Alpha Centauri kuna species za mimea ambazo mwanadamu au kiumbe yoyote yule aki consume anaishi Milele. ( Refer Mwanzo 3:22 " Basi Mungu akasema, tazama mtu huyu amesha kuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya, sasa asije akanyoosha mkono wake akatwaa tunda la uzima akala akaishi milele"

Wana nzuoni wanao amini katika nadharia ya Alpha Centauri wanasema kwamba;
Hapa Mungu alikuwa anasema kwamba huyu mwanadamu tayari amesha jitambua, sasa asije akajiongeza kimaarifa akaweza. Kufika hadi Alpha Centauri akatwaa mti huo wa uzima na hatimaye kuishi milele. ( kwa teknolojia iliyopo umbali kutoka Duniani hadi Alpha Centauri kwa spidi ya Msanga ni miaka 4367 light years . Jambo ambalo ni timu kwa wanadamu wa sasa kwenda Alpha Centauri na kurudi duniani wakiwa hai lakini miaka inayo kuja wanawadamu wata gungua/ wata pata access ya teknolojia ambayo itawawezesha kwenda Alpha Centauri ndani ya muda mfupi probably hours or days or weeks or few months or few years like2 or 3 jambo linalo maanisha kwamba wanadamu wataweza kuishi Milele kwa sababu wataweza kuchukua hiyo mimea na kuileta duniani )


2. Kufanya watu walio zikwa makaburini wafufuke bila kujali wamezikwa kwa miaka mingapi.

Hii itakuwa ni aina ya mawe stones au madini ambayo yatashushwa duniani kutoka anga za mbali. Mawe haya yatakuwa na nguvu ya kufufua vitu vilivyo kufa na kuvirejesha kwenye uhai. Uwepo wa mawe haya juu ya uso wa dunia utafanya watu wote walio kufa wafufuke na kurudi katika miili yao..

3. Kufanya watu wasio na magonjwa wasiumwe kabisa na wenye magonjwa wapone magonjwa yao yote.

Itakuwa wadudu mfano wa nyuki hawa wadudu wata elekezwa kunyonya utomvu wa miti eidha kutoka Alpha Centauri au hapa hapa duniani na kisha kuwadunga watu wote wanao ishi katika dunia hii wao pamoja na mifugo. Hiyo itakuwa ni chanjo ambayo itafanya watu ambao hawana magonjwa wasiumwe tena na wale wenye magonjwa wapone magonjwa yao yote au hitilafu zao zote zikae sawa.

2. WANADAMU WATAGUNDUA TEKNOLOJIA HII KUPITIA MIMEA NA MADINI YALIYOPO HAPA HAPA KWENYW SAYARI YA DUNIA...

Yatavumbuliwa madini na mime.ambavyo vitakuwa na immortal powers plus powers to resurrect the dead. Mshana Jr anajua porini kuna mti unaitwa Mcomoro, mzizi wa huu mti huwa unatumiwa na waganga na wachafu kufufua watu makaburini usiku. Mganga huenda kaburini saa tisa na dakika arobaini usiku hufanya kafara lake juu ya kaburi hilo na kuchoma madawa ya kichawi sambamba na kutamka maneno ya kichawi kisha atapiga hiyo fimbo ya Mcomoro kwenye sehemu ya moyo wa kaburi na kumuamuru Marehemu afufuke. Kaburi litapasuka Marehemu atafufuka kisha mganga/mchawi atamtuma huyo Marehemu afanye kazi aliyo muitia.. Ndio maana mnaambiwa muwe mnazindika makaburini yenu. Pia porini kuna mmea, huu mmea waganga wanautumia kufufua nyota za watu zilizo kufa ambazo zimezikwa kichawi na wachawi pia wanatumia kwenye mambo yao .

Nyoka wakiwa wanapigana halafu mmoja akafa basi nyoka alie hai atakwenda kuchuma majani ya mti huu na kumlisha mwenzake alie kufa ambapo mara baada ya kulishwa Marehemu nyoka atafufuka papo hapo. Huu not waganga huwa wanaenda kuuchuma wakiwa wanatambaa kama nyoka na huuchuma kwa mdomo. Nyoka akigundua ulimuona wakati anachuma mti huu basi atakugonga na utakufa hapo hapo unless otherwise uwe na kinga nyoka. Porini pia kuna mti mmoja maarufu sana miongoni mwa waganga na wachawi, unajulikana kwq majina mengi lakini ni maarufu kwa jina la wasukuma. Wasukuma wanauita " Lufakale" . Huu mti huwa wanauchanjia waganga wazito n na wachawi. Ukikosea masharti kidogo tu wakati wa kuchuma mti huu unakwenda na maji. Ukichanjiwa mti huu hufi mpaka waondoe paa la nyumba uliyo lala upigwe na jua ndio unakufa. Utaoza utakufa lakini hutokuga( miti hii linamaanisha kumbe hata hapa hapa duniani zipo malighafi zinazo weza kutumika.katika kufufua watu walio kufa, waliozikwa kufanya wafu wasife n.k)

MFUMO MPYA UTASIMIKWAJE?

Litakuwa ni suala la kidunia kama vile ilivyo kuwa Corona.

Wakati huo dunia itakuwa imeunganishwa kwa internet na kimiundo mbinu kama kijiji.

Mataifa yenye nguvu yatapitisha decree ya ku introduce him teknolojia kwa watu katika nchi zote duniani.

Kusimikwa kwa teknolojia hii duniani automatically kutafanya dini zote zife kifo cha asili.

Dini kubwa 2 as sayari ya dunia zimejengwa katika msingi wa hofu. Hofu haitokuwepo tena miongoni mwa watu.

Itazaliwa dini mpya. Nayo itakuwa ni upendo. Watu wataishi kwa upendo na furaha. Hakutakuwa tena na kubaguana kwa misingi ya dini kabila rangi etc.
Mambo yakufikirika.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Hiyo miaka ya dunia mnatumia reference gani? Maana sidhani kama mnaelewa zile law za physics hasa relativity na issue za light travel..

Hapo mkumbuke tunaongelea umbali kwa kulinganisha na mda ambao mwanga ungesafiri kutoka duniani.

Thats means kama kuna possibility ya kusafiri kwa speed ya mwanga ndio utatumia miaka hiyo 4.3 kusafiri na hiyo ni miaka ya dunia..

Issues zinakuja kwenye relativity theory kuwa kwanza there is no possibility (kwa currently technology) kuweza kusafiri kwa hiyo speed..na hicho ndio kinachopelekea kuonekana kuwa ni muda mrefu kufika huko sababu technology tuliyonayo kwa sasa duniani inatulimit hapo so tukitumia chombo chochote kwa hii technology tutatumia miaka mingi mno.

Mfano kwa sasa moja ya vyombo pekee vilivyoweza kutoka nje ya mfumo wetu wa jua ni voyagers probe.. Zipo 2 na zinatembea kwa wastan wa speed 56,000km/h (ambazo ni moja ya speed ya juu kwa vyombo vilivyotengenezwa hadi sasa) ila bado vitachukua si chini ya miaka 80,000 kuweza kufika kwenye mfumo huu wa centauri. Alpha Centauri: Nearest Star System to the Sun

Na pia hata ukitokea kuwezekana kusafiri kwa speed ya mwanga(kitu ambacho theory of relativity ndio inaelezea kuwa haiwezekani kwa vitu vyenye mass zaid ya proton kuweza kusafiri kwa speed hiyo) ndio inakuja swala la relativity theory. Hapo inakuja issue ya relative, yaani unasoma mda kwa aspect ipi.. Mfano ukiweza kusafiri kwa speed ya mwanga.. Anayesafiri (traveller) atachukua miaka hiyo 4 tu kufika huko na 4 kurudi jumla miaka 8. Ila wale watakaokuwa wamebaki duniani (observer) wataona huyo mtu (traveller) amechukua zaidi ya hiyo miaka 4 (hapa sasa kuna ma calculation ya time dilation ya kufa mtu) ila hapo ndio hiyo theory of relativity inapoingia kuwa mda utakaopita kwa traveler na observer utakuwa tofauti.. Kuna video nyingi sana YouTube zinazoelezea hii kwa undani
View: https://youtu.be/b_TkFhj9mgk?si=HM4sk4vTNQUIACYy

Kwaiyo ndio maana nikauliza nyie hiyo miaka ya dunia mna sema kwa base ipi?

IT’S 2061. EARTH’S SURFACE
IS FROZEN SOLID. TO ESCAPE AN expanding Sun, the planet has gone walkabout. It no longer rotates because thousands of fusion-powered engines on one side of Earth propel it across our solar system. The further from the Sun it travels, the colder it gets. Half the population is dead, and survivors live in vast underground cities. But Earth must reach Alpha Centauri, where there is a perfectly good, non-expanding Sun to allow us to get back to normal. ‘A journey of 4.5 light years begins with a single step’, as Confucius never said.


Wandering Earth film.(FoG Book)
 
IT’S 2061. EARTH’S SURFACE
IS FROZEN SOLID. TO ESCAPE AN expanding Sun, the planet has gone walkabout. It no longer rotates because thousands of fusion-powered engines on one side of Earth propel it across our solar system. The further from the Sun it travels, the colder it gets. Half the population is dead, and survivors live in vast underground cities. But Earth must reach Alpha Centauri, where there is a perfectly good, non-expanding Sun to allow us to get back to normal. ‘A journey of 4.5 light years begins with a single step’, as Confucius never said.


Wandering Earth film.(FoG Book)
Good movie.. Nimeziangalia movie zote mbili..ziko poa, kwa wanao fatilia mambo ya space travels
 
Kule uchagani kuna story za watu kuishi miaka mingi sana ,eti huwa kuna mbegu( mbeu) wanameza .

Et siku ya kufa ukimwahi anaitapika then wewe unaimeza chap , unaishi mpka utatamani kufa mwenyewe.


Pia kuna story za watu zamani walipotea kwa mda fulani then walirejea wakiwa na umri ule ule , wachaga wanaita ( isondokia), ivi vitu sina hakika kama ni kwel asee.
 
Kusema kweli napata tabu sana kutofautisha hivyo viwili.
Again sio mtindo wa maisha ( as it is not as set of belief). Ukishaamini au ukishakuwa na mtindo wa maisha, basi hiyo ni DINI. ATHEISM NI KUTOTAMBUA UWEPO WA MUNGU SABABU HAIJATHIBITIKA UWEPO WAKE. UKISHAAMINI KUTOKUWEPO KWA MUNGU, Hauna tofauti na ANAYEEMINI UWEPO WA MUNGU. SO atheist is not a non-believer, he is a REJECTOR.
Agnosticism is a belief that nothing can be known about God or life after death.

Agnostic is a person who believes that nothing can be known about God or life after death.

Atheism is a disbelief in the existence of God.

Atheist is a person who doesn't believe in the existence of God.

Essentially, both individuals are believers!
 
Sababu kuu ni moja tu, mfumo huu wa maisha ya sasa utakuwa umepinduliwa na kuwa replaced na mfumo mpya.

Mfumo huu mpya utajibu maswali yote ambayo dini kuu mbili zimeshindwa kuyajibu.

Maendeleo ya sayansi na teknolojia ndio yatakayo fanya mfumo wa maisha ya sasa hivi upinduliwe na kuwa replaced na mfumo mpya.

NAMAANISHA NINI KUSEMA MFUMO WA MAISHA?

Ngoja nikupe mfano kidogo. Nakurudisha hadi kwenye bustani ya Edeni kabla Adam na Hawa hawajamuhasi Mungu.

Kwenye bustani ya Edeni, Adam.na Hawa waliishi chini ya mfumo maisha ambao ulikuwa tofauti na mfumo wa maisha ambao waliuishi mara baada ya kafukuzwa kutoka Eden. Mfumo ambao ndio tunauishi mpaka.leo.


Kwenye bustani ya Edeni hakikuwa na [emoji116]

1. Kifo
2. Magonjwa.
3. Kula kwa jasho.

4. Kuzaa kwa uchungu.

5. Adam na Hawa wali exercise their full authority of each and everything that surrounded them.

5. Adam na Hawa walikuwa wanazungumza na Mungu physically. God the Almighty was physically visible from their point of observation.

6. Kifupi ilikuwa ni bata juu ya bata.

BAADA YA KUFUKUZWA EDEN:
ADAM na Hawa ,walianza kuishi maisha ambayo : [emoji116]

1. Walijua kuna kifo.

2. Kulikuwa na kuugua

3. Kuzaa kwa uchungu.

4. Kula kwa jasho.

5. No more physical contact with God.

6. Their authority over other creatures was a little bit shaken.

Tafsiri rahisi ni kwamba baada ya Adam na Hawa kuasi la Mungu, mfumo wao maisha ulibadilishwa juu chini. Walianza kuishi chini ya mfumo mpya ambao ilibidi wa u adopt.

MIAKA ELFU SABA IJAYO.

Kwenye Biblia imeandikwa kwamba siku atakayo kuja Yesu atashusha mbingu mpya na nchi mpya. Kwa tafsiri yangu Mimi hizo mbingu mpya na nchi mpya ni mfumo mpya wa maisha na sheria mpya za maisha zitakazo endana na mfumo huo mpya.

MAMBO MAWILI YATAFANYIKA

1. viumbe kutoka sayari na universes zilizo endelea kiteknolojia watashusha teknolojia yao kwa watu wanao ishi katika sayari hii. Teknolojia hii itafanya mambo yafuatayo:

1. Kufanya watu watakao kuwa wanaishi kutokufa Milele. .

Hii itakuwa ni aina ya miti/mimea kutoka mfumo wa nyota uitwao Alpha Centauri.. Ina aminika kwamba katika mfumo wa Alpha Centauri ndiko vitu vyote vilivyopo katika sayari ya dunia viliumbwa/vilitengenezwa( wanyama akiwemo binadamu na mimea) Raw materials zilichukuliwa kutoka katika sayari ya dunia unapelekwa Alpha Centauri then viumbe wa duniani hapa wakawa created then wakaja kuwa planted back kwenye sayari hii ya dunia.. sasa inasemwa kwamba huko Alpha Centauri kuna species za mimea ambazo mwanadamu au kiumbe yoyote yule aki consume anaishi Milele. ( Refer Mwanzo 3:22 " Basi Mungu akasema, tazama mtu huyu amesha kuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya, sasa asije akanyoosha mkono wake akatwaa tunda la uzima akala akaishi milele"

Wana nzuoni wanao amini katika nadharia ya Alpha Centauri wanasema kwamba;
Hapa Mungu alikuwa anasema kwamba huyu mwanadamu tayari amesha jitambua, sasa asije akajiongeza kimaarifa akaweza. Kufika hadi Alpha Centauri akatwaa mti huo wa uzima na hatimaye kuishi milele. ( kwa teknolojia iliyopo umbali kutoka Duniani hadi Alpha Centauri kwa spidi ya Msanga ni miaka 4367 light years . Jambo ambalo ni timu kwa wanadamu wa sasa kwenda Alpha Centauri na kurudi duniani wakiwa hai lakini miaka inayo kuja wanawadamu wata gungua/ wata pata access ya teknolojia ambayo itawawezesha kwenda Alpha Centauri ndani ya muda mfupi probably hours or days or weeks or few months or few years like2 or 3 jambo linalo maanisha kwamba wanadamu wataweza kuishi Milele kwa sababu wataweza kuchukua hiyo mimea na kuileta duniani )


2. Kufanya watu walio zikwa makaburini wafufuke bila kujali wamezikwa kwa miaka mingapi.

Hii itakuwa ni aina ya mawe stones au madini ambayo yatashushwa duniani kutoka anga za mbali. Mawe haya yatakuwa na nguvu ya kufufua vitu vilivyo kufa na kuvirejesha kwenye uhai. Uwepo wa mawe haya juu ya uso wa dunia utafanya watu wote walio kufa wafufuke na kurudi katika miili yao..

3. Kufanya watu wasio na magonjwa wasiumwe kabisa na wenye magonjwa wapone magonjwa yao yote.

Itakuwa wadudu mfano wa nyuki hawa wadudu wata elekezwa kunyonya utomvu wa miti eidha kutoka Alpha Centauri au hapa hapa duniani na kisha kuwadunga watu wote wanao ishi katika dunia hii wao pamoja na mifugo. Hiyo itakuwa ni chanjo ambayo itafanya watu ambao hawana magonjwa wasiumwe tena na wale wenye magonjwa wapone magonjwa yao yote au hitilafu zao zote zikae sawa.

2. WANADAMU WATAGUNDUA TEKNOLOJIA HII KUPITIA MIMEA NA MADINI YALIYOPO HAPA HAPA KWENYW SAYARI YA DUNIA...

Yatavumbuliwa madini na mime.ambavyo vitakuwa na immortal powers plus powers to resurrect the dead. Mshana Jr anajua porini kuna mti unaitwa Mcomoro, mzizi wa huu mti huwa unatumiwa na waganga na wachafu kufufua watu makaburini usiku. Mganga huenda kaburini saa tisa na dakika arobaini usiku hufanya kafara lake juu ya kaburi hilo na kuchoma madawa ya kichawi sambamba na kutamka maneno ya kichawi kisha atapiga hiyo fimbo ya Mcomoro kwenye sehemu ya moyo wa kaburi na kumuamuru Marehemu afufuke. Kaburi litapasuka Marehemu atafufuka kisha mganga/mchawi atamtuma huyo Marehemu afanye kazi aliyo muitia.. Ndio maana mnaambiwa muwe mnazindika makaburini yenu. Pia porini kuna mmea, huu mmea waganga wanautumia kufufua nyota za watu zilizo kufa ambazo zimezikwa kichawi na wachawi pia wanatumia kwenye mambo yao .

Nyoka wakiwa wanapigana halafu mmoja akafa basi nyoka alie hai atakwenda kuchuma majani ya mti huu na kumlisha mwenzake alie kufa ambapo mara baada ya kulishwa Marehemu nyoka atafufuka papo hapo. Huu not waganga huwa wanaenda kuuchuma wakiwa wanatambaa kama nyoka na huuchuma kwa mdomo. Nyoka akigundua ulimuona wakati anachuma mti huu basi atakugonga na utakufa hapo hapo unless otherwise uwe na kinga nyoka. Porini pia kuna mti mmoja maarufu sana miongoni mwa waganga na wachawi, unajulikana kwq majina mengi lakini ni maarufu kwa jina la wasukuma. Wasukuma wanauita " Lufakale" . Huu mti huwa wanauchanjia waganga wazito n na wachawi. Ukikosea masharti kidogo tu wakati wa kuchuma mti huu unakwenda na maji. Ukichanjiwa mti huu hufi mpaka waondoe paa la nyumba uliyo lala upigwe na jua ndio unakufa. Utaoza utakufa lakini hutokuga( miti hii linamaanisha kumbe hata hapa hapa duniani zipo malighafi zinazo weza kutumika.katika kufufua watu walio kufa, waliozikwa kufanya wafu wasife n.k)

MFUMO MPYA UTASIMIKWAJE?

Litakuwa ni suala la kidunia kama vile ilivyo kuwa Corona.

Wakati huo dunia itakuwa imeunganishwa kwa internet na kimiundo mbinu kama kijiji.

Mataifa yenye nguvu yatapitisha decree ya ku introduce him teknolojia kwa watu katika nchi zote duniani.

Kusimikwa kwa teknolojia hii duniani automatically kutafanya dini zote zife kifo cha asili.

Dini kubwa 2 as sayari ya dunia zimejengwa katika msingi wa hofu. Hofu haitokuwepo tena miongoni mwa watu.

Itazaliwa dini mpya. Nayo itakuwa ni upendo. Watu wataishi kwa upendo na furaha. Hakutakuwa tena na kubaguana kwa misingi ya dini kabila rangi etc.
Itazaliwa dini mpya. Nayo itakuwa ni upendo. Watu wataishi kwa upendo na furaha. Hakutakuwa tena na kubaguana kwa misingi ya dini kabila rangi etc.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kule uchagani kuna story za watu kuishi miaka mingi sana ,eti huwa kuna mbegu( mbeu) wanameza .

Et siku ya kufa ukimwahi anaitapika then wewe unaimeza chap , unaishi mpka utatamani kufa mwenyewe.


Pia kuna story za watu zamani walipotea kwa mda fulani then walirejea wakiwa na umri ule ule , wachaga wanaita ( isondokia), ivi vitu sina hakika kama ni kwel asee.
Ni kweli kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom