Miaka hio upo home, ni tukio gani mfanyakazi wenu wa ndani alifanya tukio mkabaki kucheka, kuhuzunika au kukusarika?

Yap, miaka 14 hadi 20 ni moto wa kuotea mbali. Sema anaweza kujifanya mpole na mjinga hivi ili kupoteza maboya.
 
Utakula ban nyingine ukale ndizi za kiyahudi.
Sawa waambie bwana zako wani ban

I enjoy thisπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

And mostly upumbavu wako huwa naumisa wakiniban
 
Mtoa maada unaonekana wewe nimboga Saba usidhani kila mji ilikuwa namfanyakazi wandani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…