Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,681
- Thread starter
-
- #21
hongera.
Uache 'wanaopandia manzese na kushuka magomeni'
Dah!very interesting stn ry,hongera sn mkuu,at least leo umetupatia kitu kimpya maana humu matatizo ya mahusiano/ndoa ndio vilio kila siku,tunashukuru kwa kututia moyo ambao hatujajiunga humo,kumbe yanavumilika na kusonga mbele,mungu awabariki sn na kuwapa umri mrefu!
Nimebarikiwa sana na maelezo yako, ni kweli brought up yenu wote wawili ni nzuri. Laudetu Yesus Kristus.
Hongera sana, naamini hata watoto mnawalea ktk mazingira mazuri, je mmetenga muda wa kusali pamoja jioni, japo 25mns za Rozari?
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !
Yap ! Wadada wa disco safi sana.
Hongera sana ndugu...ila hiyo "kuanguka" sikuipenda sana ulivoiweka ktk hadithi nzuri namna hii... Mkeo akipita humu mtaelewana?...je naye akimwaga stori za 0 kuanguka" patatosha?
Thanx kwa hongera yako!kudondoka ni sehemu ya ubinadamu!hatuwez kuwa binadamu kamili bila mapungufu!uyu kwangu ni rafiki na mke...tunafahamiana tungali vijana wadogo!HANA SHIDA
so romantic mkuu, hongera sana, .................ila uache ubahili wa hiyo kitu bana................ piga fimbo za kutosha kisawasawa............... mtu mwenyewe mmetoka naye mbaaali, sasa unarembaremba nini??..................
na hiyo nyota ya kijani uliyomeza inakukosesha mengi................... mie 10 yrs nadhani kwa uchache ningekuwa na watoto kama 6 hivi!!.................... teh teh, hongera sana tena mkuu....................