Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
- Thread starter
- #21
kwaniniHakikisha baada kuoa unaandika wosia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwaniniHakikisha baada kuoa unaandika wosia!
Hawana antena tatizo.Kachukue Mkurya utakuja kunishukuru
Mwenyewe mwakani namchukua mrombo naweka ndani wasitutishe mkuu hawa.Mzuka?
Ndiyo haiwahusu ila ndo hivyo nataka mbeleni niweke ndani mtoto wa kichaga mmachame, maana maneno yamekuwa mengi kuhusu hawa ndugu zangu.
Usajili unaanza sasa.
Warombo wako vizuri hasahasa kwenye biasharaMwenyewe mwakani namchukua mrombo naweka ndani wasitutishe mkuu hawa.
Tunatishana sanaNi sawa na kusema "miaka minne ijayo nitaingi rasmi kwenye ulimwengu wa stress na depression na mwishoni kifo kabisa "
Ruka ruka tumkifika kwa wabena mnisanue basi😌
unaniandama sasa nawew 😂🖐🏾Ruka ruka tu