fundi msati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 216
- 91
HABARI!
Poleni wadau, leo naomba msaada wa mawazo haswa yenye mtazamo wa kiimani wenye elimu ya dini KWANZA niwajuze wale wataonishauri kupeleka hili kwenye jukwaa la dini na majukwaa mengine kuwa NILISHINDWA FANYA IVYO ndio maana nipo hapa.
Mimi ni kijana ambae nina elimu inayonisaidia kuchukua udhutu lakini kutokana na nilipo kukosa wasomi nami naonekana USTAADH mara kwa mara watu unifuata na kuomba niwe mshenga kwenye ndoa zao sasa kuna mmoja amekuja kutaka FATUA juu ya tatizo la mke wake.
Walifunga ndoa miaka 4 iliyopita wana mtoto mmoja sasa. Tatizo ni pale mkewe alipo umwa ghafla miezi michache baada ya kujifungua baada ya kwenda huku na huko mke imethibitishwa kuwa ana VVU.
Mume akajitaidi kunusuru maisha yake na sasa yupo vizuri tu,mume amepima mara kadhaa hana vvu.
Anadai kuwa hajiskii vizuri kuishi ktk hali hiyo lakini hajui kwa tamko la dini.
Poleni wadau, leo naomba msaada wa mawazo haswa yenye mtazamo wa kiimani wenye elimu ya dini KWANZA niwajuze wale wataonishauri kupeleka hili kwenye jukwaa la dini na majukwaa mengine kuwa NILISHINDWA FANYA IVYO ndio maana nipo hapa.
Mimi ni kijana ambae nina elimu inayonisaidia kuchukua udhutu lakini kutokana na nilipo kukosa wasomi nami naonekana USTAADH mara kwa mara watu unifuata na kuomba niwe mshenga kwenye ndoa zao sasa kuna mmoja amekuja kutaka FATUA juu ya tatizo la mke wake.
Walifunga ndoa miaka 4 iliyopita wana mtoto mmoja sasa. Tatizo ni pale mkewe alipo umwa ghafla miezi michache baada ya kujifungua baada ya kwenda huku na huko mke imethibitishwa kuwa ana VVU.
Mume akajitaidi kunusuru maisha yake na sasa yupo vizuri tu,mume amepima mara kadhaa hana vvu.
Anadai kuwa hajiskii vizuri kuishi ktk hali hiyo lakini hajui kwa tamko la dini.