kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Miaka 5 ya Rais Felix Tshisekedi nchini Congo
Hakuna alichokifanya zaidi ya kusafiri tu nje huko
Hakuna mradi wowote ambao alifanya umekamilika zaidi ya kulalamika kuwa mafisadi wanaiba pesa za Serekali
Nakumbuka mwaka 2015 kipindi cha kampeni Canada aliyekuwa waziri mkuu wa Canada, Stephen Harper aliwahi kusema kuwa watu wengi wanafikiri uongozi ni kitu rahisi saana na utakuta mtu anatamka nikiwa hivi nitafanya hivi, Nikiwa hivi nitafanya hivi ila kujenga uchumi wa nchi inaomba akili nyingi sio kitu cha kukurupukia
Na ndicho kilichomkuta Rais Felix Tshisekedi wakati amepewa uongozi alidanganya wakongo kuwa atafanya Congo kuwa Geremani (German) ya Afrika, Akadanganya sijui elimu bure. Sijui mambo mengi na hakuna alichokifanya zaidi ya kulalamika tu
Sasa hivi baada ya kuona hakuna alichokifanya wameanza sasa kuandama Moise Katumbi kuwa sio mkongomani kwa hiyo watu wasimchague
Hakuna alichokifanya zaidi ya kusafiri tu nje huko
Hakuna mradi wowote ambao alifanya umekamilika zaidi ya kulalamika kuwa mafisadi wanaiba pesa za Serekali
Nakumbuka mwaka 2015 kipindi cha kampeni Canada aliyekuwa waziri mkuu wa Canada, Stephen Harper aliwahi kusema kuwa watu wengi wanafikiri uongozi ni kitu rahisi saana na utakuta mtu anatamka nikiwa hivi nitafanya hivi, Nikiwa hivi nitafanya hivi ila kujenga uchumi wa nchi inaomba akili nyingi sio kitu cha kukurupukia
Na ndicho kilichomkuta Rais Felix Tshisekedi wakati amepewa uongozi alidanganya wakongo kuwa atafanya Congo kuwa Geremani (German) ya Afrika, Akadanganya sijui elimu bure. Sijui mambo mengi na hakuna alichokifanya zaidi ya kulalamika tu
Sasa hivi baada ya kuona hakuna alichokifanya wameanza sasa kuandama Moise Katumbi kuwa sio mkongomani kwa hiyo watu wasimchague