Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,641
- 4,457
Wakuu tarehe kama ya leo ilikuwa siku chungu kwa Tanzania na duniani. Ilikuwa ni siku tuliyompoteza ngwiji la kuigiza Steven kanumba
Binafsi hiki kifo kiliniumiza sana miaka imekwenda kwa kasi sana hatimaye leo ni miaka mitano ya kifo chake baada ya miaka hii mitano ya kifo chake ni rasmi kabisa na ni miaka mitano ya kifo cha bongo muvi toka aondoke kanumba hakuna tena kilichoendelea
Bongo muvi imebaki jina tu hakuna aliyevaa viatu vya kanumba Ray aliyekuwa tunamuona ni mpinzani wa kanumba kumbe sivyo alikuwa anabebwa na kanumba yani kwa ufupi tu leo tunaazimisha miaka mitano kifo cha kanumba na bongo muvi wakuu napenda kuuliza nn kifanyike ili bongo muvi irudi kama kipindi cha marehemu kanumba
Binafsi hiki kifo kiliniumiza sana miaka imekwenda kwa kasi sana hatimaye leo ni miaka mitano ya kifo chake baada ya miaka hii mitano ya kifo chake ni rasmi kabisa na ni miaka mitano ya kifo cha bongo muvi toka aondoke kanumba hakuna tena kilichoendelea
Bongo muvi imebaki jina tu hakuna aliyevaa viatu vya kanumba Ray aliyekuwa tunamuona ni mpinzani wa kanumba kumbe sivyo alikuwa anabebwa na kanumba yani kwa ufupi tu leo tunaazimisha miaka mitano kifo cha kanumba na bongo muvi wakuu napenda kuuliza nn kifanyike ili bongo muvi irudi kama kipindi cha marehemu kanumba