Miaka mitano ya kifo cha Kanumba na maendeleo ya bongo muvi

Miaka mitano ya kifo cha Kanumba na maendeleo ya bongo muvi

Apumzike panapistahili.kiukweli huwa nashangaa sana nkiona watu wanavyompa legendary status huyu jamaa.the guy was avarage at best,au ni macho yangu yanaona tafauti.kanumba alikuwa wakawaida sana
Wakawaida ukimlinganisha na nani kibongo bongo hapa?
 
Nawaza Gabo angeact na Kanumba!
Ika ndo bas tena!
 
Enzi za Kanumba Bongo fleva walifunikwa kabisa na Bongo movie,RIP Kanumba ulinisababisha niwe mpenzi wa movie.
 
Naona hizi tarehe zinahusiana kabisa maana hata kiongozi wao amefariki tarehe 6/4. Kanumba alifariki tarehe 7/4.
Hapa kiongozi wao ni Sir Chande.
Kanumba 6/4=6+4=10
Sir. Andy Chande 7/4=7+4=11
Computer [emoji335] Inatambua 0,1
Devil worshipers they believe on 0,1,6
September eleven (11/09=
 
Afu ilikua siku kama ya leo tofauti ni kwamba ile ilikua ijumaa kuu
 
Macho yako ndo ya kawaida, acha kutupandisha hasira fall.. Wewe. Wewe una nini kisicho cha kawaida zaidi ya hivi vipost uchwara? Umejua kuandika mstari mmoja wa kiingereza nawe unajiona gwiji? Acha kudharau watu waliozitendea haki karama zao. Wewe karama yako ya umbea tu imekushinda wakati huitaji mtaji wowote zaidi ya maneno.
Huo ni mtazamo wake.Ni jambo gumu watu wote tukatazama sawa(mtazamo mmoja)
 
Apumzike panapistahili.kiukweli huwa nashangaa sana nkiona watu wanavyompa legendary status huyu jamaa.the guy was avarage at best,au ni macho yangu yanaona tafauti.kanumba alikuwa wakawaida sana
Ni vile kila mtu ana mtazamo wake tu, ila jamaa alikua anajua kweli.
 
Back
Top Bottom