Miaka mitatu ya mateso ya Simba utadhani ni muongo mmoja umepita

Miaka mitatu ya mateso ya Simba utadhani ni muongo mmoja umepita

Rule L

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2020
Posts
1,846
Reaction score
2,754
Kuna mtu aliwahi kunipa stori za maisha yake akiwa na pesa na akiwa hana.

Alinambia kua wakati yeye yuko fiti kiuchumi alikua anawashangaa wanaolalamika kwamba maisha magumu hawana chochote.

Baada ya miaka kadhaa nayeye akafulia, Sasa kwake ilikua ni hatari akawa anajiuliza kwamba hivi hata watu wengine wanaosema maisha magumu, ni kama yangu kweli? Mbona wao wanaishi tu na siku zinaenda ili hali yeye hata hata mia.

Ndicho kilichopo kwa nguruwe FC kwasasa, kipindi sisi tunahaha wao ilikua furaha tele.

Hawakujua kama balaa litawageukia, kwasasa wapowapo tu mbele hapafai nyuma hapafai.

Walikariri mwendo wakasahau kwamba mambo yanabadilikaga.

Mateso yao ya miaka mitatu utadhani muongo mmoja umepita, kumbukeni tu bado msimu ujao tabu ipo palepale ili ngoma iwe droo.

Mnashindwa kushinda kwenye peach kali kama ile ya majaliwa stadium, je kama mngepelekwa kwenye uvuvi wa isamuhyo stadium ingekuaje.

Msimsahau mna kibarua na Azam, au kwasababu mlimfunga kwenye kile kipeyu Zanzibar mnaona ni mwepesi.

#Nabado balaa lipo palepale.
 
Mashabiki wa Simba Sasa hiv tunaishabikia CCM tu
Hatuna Cha kupoteza hata kidogo
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.
JamiiForums1683832807.jpg
Screenshot_2023-11-23-13-56-10-25_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Na watatendea haki kudadeki zao. Haya maumivu wataendelea nayo mpaka 2030!
 
Back
Top Bottom