Miaka miwili bila Hayati Magufuli; Nimekutana na Magufuli mwingine

Miaka miwili bila Hayati Magufuli; Nimekutana na Magufuli mwingine

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Ninajua machache juu ya Hayati Rais Magufuli ni imani yake kwa Mungu lakini kwa uchache huo yatosha kusema Hayati Rais Magufuli alikuwa ni mwamini, sasa kiundani zaidi basi ni Mwenyezi Mungu pekee anayeweza kuhukumu na kujivunia kiumbe chake kama alivyofanya kwa mtumishi wake Ayubu,ninapokumbuka miaka miwili tangu kuondoka kwa Rais Magufuli, ni mengi nimejifunza na mengi nimeyaona kabla na baada ya kuondoka kwake,itoshe kusema Hayati Rais Magufuli alikuwa mtu kamilifu Watanzania waliolilia kumpata so as to get the job done,Afrika ilikua in vicious circle kwa miaka mingi na marais sampuli za Hayati Rais John Magufuli ndio walihitajika kuturudisha kwenye ramani ya dunia, kwa Afrika tuliona wengi vibaraka tu walio wavivu na wenye udhaifu wa fikra.

Leo kwenye pita pita yangu kupata supu ya utumbo na chapati nimemsikia bwana mmoja anasema siku akipata bahati ya kuwa Rais atakuwa kama Rais Magufuli,akasema haki bin haki,mafisadi atawaita atawaambia umepataje hii mali nyingi ilihali wewe ni mtumishi wa umma!? wafanyabiashara atakagua biashara zao kwa haki na mwenye utajiri usiomithirika atamuhoji amepataje utajiri huo na ikionekana alifanya ufisadi basi atampigia mahesabu na atampa chake cha haki na visivyo haki atavirudisha Serikalini,anasema ataruhusu mtu amkaribie hasa mafisadi atakuwa na ofisi kama ya Rais Museveni,utakaa mita mia moja atakuhoji maswali yake na ujibu kwenye mic,anasema "I will take no nonesense" atahakikisha wanyonge wanapata huduma zote za jamii bure kwa sababu ya utajiri wa rasilimali zetu,anasema kama alivyofanya Hayati Muammar Ghadafi nae atawapa hela ya kuanza maisha kila anayefunga ndoa,na kama anavyofanya Rais Paul Kagame nae ataijenga Tanzania iwe kama Ulaya,na kama alivyokuwa Hayati Rais Magufuli,nae hatogusa Ulaya maana atakuwa ameifanya Tanzania kuwa Ulaya.

Nimejiuliza sana,kweli hii inawezekana kwa watu wabinafsi wenye tamaa kwa 100% kizazi kinachotaka mafanikio ya kula leo na kizazi kijacho kijitafutie kwa wakati wao, inawezekana vipi!? Enzi zile za unanijua mimi nani kabla ya JPM kuna mtu mmoja alimgonga mzee mmoja maeneo ya barabara ya Samora,akashuka akaanza kumtisha yule mzee "unanijua mimi nani",Looh yule mzee alijikaza akainuka akamwambia yule jamaa kwa sauti kama analia "kwani wewe nani bwana,mimi nimejenga reli ya tazara kwa ujira wa thumni halafu unaniuliza nakujua wewe nani alaah" nikakumbuka kuna watu waliumia na kufa ndipo reli kutoka Dar,Moro to Mwanza and Kigoma ikajengwa, leo watu wanakodi mabehewa kupakia mizigo na kusafirisha ila wanajifanya hawajui kuna damu ilimwagika,sasa hizi fikra za vijana wabichi wasiyo na maono ya siku zijazo isiyopenda reformation wataweza kweli,lakini kwa jinsi nilivyomsikia yule Magufuli mwingine kweli anaweza akipewa nafasi maana hata Hayati Magufuli kabla hajapata urais alisema hivi hivi,siku nikipata Urais basi wezi na mafisadi watalimia meno,Mungu si Athumani kwa hakika aliupata Urais na wezi na mafisadi wakalimia meno.

Ni wazi Hayati Rais Magufuli amewapa hamasa vijana wengi waliohamasika wakati wa utawala wake,nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko, penye ukweli tutasema,viongozi wakikosea tutawaambia warudi katika mstari, yote hayo ni kutafuta Ufanisi na kuwasemea wasio na sauti,tunamshukuru Mungu Kwa marais tuliowahi kuwapata tangu Uhuru, bila kusahau hakuna rais aliyeteua na kuwaamini wasomi,Hayati Rais John Pombe Magufuli,alipunguza mshahara wako upate kuwasaidia watu wanyonge,ni wazi viatu vya Hayati Rais Magufuli vinapwaya kwetu maana alikuwa kiongozi shupavu,Rais wa Botswana.

Mh. Mokgweetsi Masisi alisema siku ya mazishi ya Hayati Rais Magufuli, we have a big shoes to wear na kwa hakika tumeona,Umoja wa Mataifa (UN) nao wakatusaidia kwa kumuenzi kwa Mambo aliyolitendea taifa lake. Tulimeona na kujiridhisha ujenzi uliofanywa katika mito, maziwa na baharini, barabara zetu chini ya tanroads katika baadhi ya majiji, lami inayowekwa ni thick,kiwango cha juu tofauti na ukarabati wa brush na mifagio kusambaza lami,tuliona kuhamishwa kwa Makao Makuu ya nchi kutoka Dar hadi Dodoma, tuliona Tanzania ikifika uchumi wa kati enzi za Hayati Rais John Pombe Magufuli, hili ndilo lililompa credit hata Umoja wa Mataifa wakaweka siku ya kumuenzi Hayati Rais John Magufuli, Pumzika kwa amani Rais John Pombe Joseph Magufuli,Ulituacha salama,Tanzania salama, Good night John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publications;-
-Assessment on the effect of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Ninajua machache juu ya Hayati Rais Magufuli ni imani yake kwa Mungu lakini kwa uchache huo yatosha kusema Hayati Rais Magufuli alikuwa ni mwamini, sasa kiundani zaidi basi ni Mwenyezi Mungu pekee anayeweza kuhukumu na kujivunia kiumbe chake kama alivyofanya kwa mtumishi wake Ayubu,ninapokumbuka miaka miwili tangu kuondoka kwa Rais Magufuli, ni mengi nimejifunza na mengi nimeyaona kabla na baada ya kuondoka kwake,itoshe kusema Hayati Rais Magufuli alikuwa mtu kamilifu Watanzania waliolilia kumpata so as to get the job done,Afrika ilikua in vicious circle kwa miaka mingi na marais sampuli za Hayati Rais John Magufuli ndio walihitajika kuturudisha kwenye ramani ya dunia, kwa Afrika tuliona wengi vibaraka tu walio wavivu na wenye udhaifu wa fikra.
Wewe bado ka-degree kako hakakusaidii kitu. Hebu soma hapa chini japo kwa uchache uelewe watu wanajua nini kuhusu huyo shujaa wako.

Miaka 6 ya utawala wa Mwendazake ilikua ya Machozi, Jasho na Damu kwa Watanzania. Haya ni baadhi ya matukio niliyoyakumbuka kwa haraka, baadhi yalitokea nikiwa huko nyumbani na mengine yametokea nikiwa nimeshaondoka.
1. Alizika uhuru wa vyombo vya habari na kutia saini sheria kandamizi kwa vyombo vya habari. Vyomno vyote vililazimishwa kumuandika kwa kumsifu na kumpamba, kilichothubutu kumkosoa kilifungiwa.
2. Alitumia nguvu nyingi kupambana na upinzani na kutesa wanasiasa wa upinzani kwa kuwafungulia kesi za uongo mpaka leo bado wengi wapo jela kwa kesi za kisiasa za kubambikiziwa.
3. Aligawanya nchi kwa misingi ya ukabila, ukanda, uchama na udini na ubaguzi wa kijinsia. Serikali yake ilijaa watu wa kanda ya ziwa na 75% ya serikali yake ilijaa wasukuma watupu
4. Alikua na ubaguzi wa kijinsia na aliendekeza mfumo dume. Wanawake walikua 17% tu ya mawaziri katika serikali yake.
5. Alihakikisha wakuu wa vyombo vya ulinzi wanatoka kanda ya ziwa ili kumlinda likitokea lolote, CDF - Mara, IGP - Mara na CGP - Geita na CGF - Mwanza. Madikteta wote hufanya hivi maana wanajua watu wa kwao hawawezi kuwageuka.
6. Hakupandisha mishahara kwa wafanyakazi wa umma kwa miaka yote 6 ya utawala wake.
7. Hakutangaza ajira mpya katika kipindi chote cha utawala wake. Waalimu waliomaliza vyuo mwaka 2015 hadi leo wapo mtaaji jobless.
8. Aliua sekta binafsi kwa kutoza kodi kubwa, na kuharibu mazingira ya biashara. Hoteli nyingi za kitalii zimekufa kama vile Ngurdoto, Impala, Naura Spring na nyingine zimegeuka hostel za wanafunzi kama Landmark ya Ubungo.
9. Alipunguza mzunguko wa pesa mtaani na kuhakikisha matajiri wanaishi kama mashetani.
10. Katika utawala wake waliibuka watu wasiojulikana ambao waliteka, kujeruhi na kuua watu wasio na hatia. Watu hao walimpiga risasi Tundu Lissu mchana kweupe na mpaka leo hawajakamatwa.
11. Aliwapa nguvu baadhi ya viongozi kama vile Makonda na Sabaya kutesa na kuumiza wananchi kadri walivyojisikia. Makonda alishambulia kituo cha CMG kwa mitutu ya bunduki lakini hakuchukuliwa hatua yoyote. DC Sabaya majuzi kampiga diwani wa Sombetini nusura kifo.
12. Alifuta fao la kujitoa na kusababisha watumishi wengi wenye mikataba ya muda mfupi kuishi maisha magumu baada ya ajira zao kukoma.
13. Katika serikali yake Wapinzani walionekana maadui na sio watu wenye mawazo mbadala. Waliteswa na kufunguliwa kesi za uchochezi. Wengine walipotezwa na hata kuuawa. Alitamani upinzani ufe.
15. Katika utawala wake maiti 17 ziliokotwa ufukwe wa Coco na nyingine 6 ziliokotwa mto Ruvu kwa pamoja zikiwa zimefungwa kwenye sandarusi, na baadhi zikivuja damu.
16. Aliharibu mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mengi ukimwenguni. Serikali yake ilichoma vifaranga vya kuku kutoka Kenya na kutaifisha ng'ombe waliovuka mpaka kuja Tanzania.
17. Alisababisha wanasiasa wa Tanzania wakimbie nchi na kuishi uhamisho kama wakimbizi wa kisiasa wakiwemo Ansbert Ngurumo, Tundu Lissu na Godbless Lema.
18. Alitumia mabavu kulazimisha ushindi kwenye uchaguzi wa 2020 na kuhakikisha CCM inashinda majimbo yote. Alipora ushindi wa upinzani kwenye majimbo mengi kwa mtutu wa bunduki.
19. Alitumia sheria ya uhujumu uchumi kutesa wapinzani wake kisiasa na wafanyabiashara aliokua na kisasi kwa mfano Rugemala na Lema wa Elerai Construction.
20. Alipenda kuabudiwa, kutukuzwa na kuogopwa. Wote waliomnyenyekea aliwapa vyeo.
21. Aliamini mawazo yake ndio sahihi na hakutaka kushauriwa kwenye jambo lolote. Aliwahi kusema yeye hapangiwi cha kufanya.
22. Alipenda kuonekana mcha Mungu japo kiuhalisia ni dikteta katili aliyetisha. Alimpoteza Ben Saanane baada ya kuhoji kuhusu PHD yake.
23. Alitangaza kuwa Tanzania haina corona na akataka watu wasivae barakoa wala wasikubali chanjo kutoka nje ya nchi.
24. Alipeleka miradi mingi ya maendeleo kijijini kwake Chato kama uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, benkiz barabara za lami na mbuga ya wanyama ambayo haikua na wanyama ikabidi kuhamisha kutoka mbuza zingine.
25. Aliingilia mihimili yote ya dola ikiwemo mahakama na bunge. Aliwazawadia vyeo vya ujaji mahakimu waliowafunga wapinzani jela.
26. Aliigeuza Tanzania kama mali yake binafsi na katika kila mradi alipenda atajwe yeye. Aliamini akiondoka hakuna atakayeweza kuendeleza yale aliyofanya. Bunge liliwahi kupendekeza kumuongezea muda wa kutawala atakapomaliza mihula yake miwili, kumbe Mungu ana mipango yake hata hiyo miezi 4 hakumaliza ya kura alizoiba
1.Chato International Airport
2.Chato National Park
3.Trafic light Chato
4.3 star hotel Chato (TANAPA)
5.Bohari ya kanda madawa Chato
6.Hospital ya rufaa Chato
7.Stadium (proposa)
8.CRDB Chato
Jana usiku nilienda kumtembelea mzee mmoja ambaye ni mtu wangu wa karibu anae jihusisha na biashara ya madini,akinipa story fupi tu ya rafiki yake ambayo ilinihuzunisha sana.
Jamaa yake alikua na zaidi ya bilioni 7 kwenye account yake bank mwaka jana mwanzoni,alipigiwa simu na branch manager aende urgently na alipofika pale mida ya mchana akajulishwa kwamba account yake imepigwa spana na tra (task force). Ikabidi aende tra mkoa ili kufuatilia hiyo ishu.
Tra mkoani wakamwambia inabidi awasiliane na TRA makao makuu,ikapigwa sim akapewa appointment saa tatu asubuhi next day. Akapanda ndege jioni hiyo kuelekea huko, asubuhi kafika mapema kasechewa kweli kweli then akaingia ofisini kuzungumza na team roho mbaya.
Wewe ndio fulani? Ndio, inaonekana una pesa nyingi sana kwa account ila hulipi kodi. Jamaa akasema akasema kodi nalipa na ninapata tax clearance kila mwaka mbona sielewi? Wakamwambia ana option 2 TRA wachukue 5B wamuachie 2 au akalete vielelezo huku wakiendelea kuzuia hela zote. Vielelezo visipo jitosheleza watachukua hela zote pamoja na kesi ya uhujumu uchumi.
Pale ulikua huruhusiwi kwenda na mwanasheria wala accountant,jamaa akatoka nje kufikiria kwa muda akaona isiwe nongwa akawaachia 5B lakini pia akaambiwa arudi CCM kwa kujitangaza kwenye media kwa sababu alikua supporter mkubwa wa lowasa uchaguzi wa 2015.
Matajiri wengi wa mawe wameumizwa sana huko kanda ya kaskazini ila wamekaa kimya tu,bora huyu jamaa amekufa maana alikua anatupeleka shimoni/motoni kiuchumi na kijamii.
Akasema nyumba za kimara zibomolewe lakini za mwanza zisibomolewe maana ni wapiga kura wake....Maiti zilikua zinaokotwa baharini enz za mwendazake
Nitamkumbua Magufuli kwa ukatili wake wa kutisha
1. Kuvunja nyumba za wananchi wa Kimara - Mbezi bila chembe ya huruma ila wale wa mwanza aliwaachia
2.Kupora Korosho za wananchi wa mikoa ya kusini kwa mtutu wa bunduki, hii hali iiwatia wananchi umasikini
3. Bila kujali kuwa watu wameshahudumu serikalini kwa muda mrefu na wanategemea kustaafu, akapitisha hoja ya uhakiki na kuwafukuza maelfu ya watu hao Huku akiwaacha bila kuwagusa wanasiasa na wateule wake katika hilo zoezi
4. Kubabikizia watu kesi za uhujumu uchumi, kuwatesa kupitia mfumo wa mashitaka na kuzisababishia familia zao maumivu makubwa na hali ngumu
5. Kuendelea kuwashikilia mamia ya masheikh walioko jela huku akisamehe wabakaji akina Babu Seya
6. Kukataa kuwapa watumishi wa serikai stahiki zao kwa wakati, ikiwemo kupandishwa madaraja na nyongeza za ishahara
7. Kuharibu chaguzi zote zilizofanyika chini ya serikali yake, kuanzia zile za marudio, serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, Alidhuluu haki ya wananchi kuchagua viongozi wao
8. Magufuli alitunga sheria kandamizi, na kuvuruga misingi ya katiba. Kafanya kia jitihada kulifanya bunge liwe butu, kuiweka mahakama mfukoni etc
9. Magufuli alikuwa na kauli mbaya zisizo na staha mfano "sisomeshi wazazi, serikali siyo iliyoleta tetemeko, baki na mavi yako nyumbani, nitapiga mashangazi.. etc"
10. Alikuwa na miradi kadhaa au mpango wa miradi kadhaa ambayo ni white elephant mfano, uwanja wa ndege Chato, Midege,Mpango wa Uwanja wa mpira Chato
11..Magufuli alikuwa mkabila, huhitaji kuwa mwanasayansi wa elimu ya jamii kuona kuwa teuzi zake ziliaia sana watu wa kanda na kabila lake.
12. Magufuli alikuwa haheshimu katiba waa sheria pale zinapokinzana na anachokitaka yeye, mfano haki ya kufanya siasa kwa vyama vya siasa iliyokuwepo kikatiba hakuiheshimu
13. Magufulu hakuthubutu na wala hakujali kufanya uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye na waliompiga risasi Lissu
Kwa hiyo mimi nakichukulia kifo cha Magufuli kama nafasi muhimu ili Taifa letu lipone.
Na sisi kama Taifa, tumeona kwa macho yetu namna katiba ya sasa ilivyokuwa hatari kama tunampata mtu mmoja asiyejali, ambaye ana element za udikteta, basi tuitumie nafasi hii kuliponya Taifa
Tangulia Magufuli, uwongo mbaya sitokumiss na sijawahi kukupenda kwa style ya uongozi wako, ninatamani Taifa lisipate Kiongozi mwenye mapungufu ya aina yako, ni mapungufu hatari kabisa
UPDATE
emoji1313.png

Ndugu yangu mmoja alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akituhumiwa kukwepa kodi kwenye biashara zake. Lakini yeye anadai ni kesi ya kisiasa. Mwaka 2015 aliombwa kusupport kampeni za CCM akakataa lakini alifadhili kampeni za UKAWA. Anaamini hiki ndicho kilichomponza.
Mwaka 2018 alikamatwa na baadhi ya biashara zake kufungwa, na nyingine zikashindwa kujiendesha kutokana na makadirio makubwa ya kodi.
Baada ya kukaa gerezani miaka miwili akaona bora akiri ili atoke (the lesser evil). Wakati wa majadiliano na DPP akatakiwa kulipa zaidi ya 200M. Akakubali kufilisi biashara zake chache zilizobakia ili "kununua" uhuru wake.
Mwaka jana tulimtembelea gerezani mimi na Dr.Cyrilo. Tukamuuliza kwanini umeamua kukiri? Huoni itakuwekea doa? Kuna nchi utazuiwa kwenda kwa sababu ya "criminal record" ya uhujumu uchumi. Kuna fursa za biashara utashindwa kupata. Kwanini usingepambana ushinde badala ya kukiri.
Huku akilengwalengwa na machozi akajibu, nachotaka kwa sasa ni kuwa huru tu. Nikishatoka hiyo "criminal record" anaweza kuja Rais mwingine akaifuta, huwezi jua. Tukaagana, akarudi zake nyuma ya nondo.
Licha ya kukiri na kuwa tayari kulipa (plea burgaining) lakini bado hakuachiwa. Aliambiwa jalada bado lipo kwa DPP.
Wiki iliyopita amefutiwa mashtaka yote na kuachiwa huru, bila kulipa chochote. Siku anaachiwa wala hakujua kama angeachiwa. Ilitumwa "remove order" gerezani, akaenda mahakani bila kubeba chochote maana haikua siku ya kesi. Hata wakili wake hakuwepo.
Miguuni alivaa kandambili. Alipofika mahakamani akaambiwa, Jamhuri imekufutia mashtka yote na haina nia ya kuendelea na kesi. Akadhani ni mtego ili wamkamate tena. Akajaribu kutoka nje ya mahakama, lakini hakuna mtu aliyehangaika nae.
Akaita taxi, ikampeleka nyumbani. Mkewe akapata suprise ambayo hakuitegemea. Akaanguka, alipoamka akaanza kulia. Watoto walipomuona baba yao nao wakalia. Majirani wakaja na kumkumbatia, wakilia. Nyumba ikatawala machozi.
Hii nchi imepitia kipindi kigumu sana. Kuna jinsi Mungu anamtumia mama Samia kuponya majeraha na kuokoa mioyo iliyopondeka. Biblia inasema Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wowote (Mithali 14:34).!
 
Wewe bado ka-degree kako hakakusaidii kitu. Hebu soma hapa chini japo kwa uchache uelewe watu wanajua nini kuhusu huyo shujaa wako.

Miaka 6 ya utawala wa Mwendazake ilikua ya Machozi, Jasho na Damu kwa Watanzania. Haya ni baadhi ya matukio niliyoyakumbuka kwa haraka, baadhi yalitokea nikiwa huko nyumbani na mengine yametokea nikiwa nimeshaondoka.
1. Alizika uhuru wa vyombo vya habari na kutia saini sheria kandamizi kwa vyombo vya habari. Vyomno vyote vililazimishwa kumuandika kwa kumsifu na kumpamba, kilichothubutu kumkosoa kilifungiwa.
2. Alitumia nguvu nyingi kupambana na upinzani na kutesa wanasiasa wa upinzani kwa kuwafungulia kesi za uongo mpaka leo bado wengi wapo jela kwa kesi za kisiasa za kubambikiziwa.
3. Aligawanya nchi kwa misingi ya ukabila, ukanda, uchama na udini na ubaguzi wa kijinsia. Serikali yake ilijaa watu wa kanda ya ziwa na 75% ya serikali yake ilijaa wasukuma watupu
4. Alikua na ubaguzi wa kijinsia na aliendekeza mfumo dume. Wanawake walikua 17% tu ya mawaziri katika serikali yake.
5. Alihakikisha wakuu wa vyombo vya ulinzi wanatoka kanda ya ziwa ili kumlinda likitokea lolote, CDF - Mara, IGP - Mara na CGP - Geita na CGF - Mwanza. Madikteta wote hufanya hivi maana wanajua watu wa kwao hawawezi kuwageuka.
6. Hakupandisha mishahara kwa wafanyakazi wa umma kwa miaka yote 6 ya utawala wake.
7. Hakutangaza ajira mpya katika kipindi chote cha utawala wake. Waalimu waliomaliza vyuo mwaka 2015 hadi leo wapo mtaaji jobless.
8. Aliua sekta binafsi kwa kutoza kodi kubwa, na kuharibu mazingira ya biashara. Hoteli nyingi za kitalii zimekufa kama vile Ngurdoto, Impala, Naura Spring na nyingine zimegeuka hostel za wanafunzi kama Landmark ya Ubungo.
9. Alipunguza mzunguko wa pesa mtaani na kuhakikisha matajiri wanaishi kama mashetani.
10. Katika utawala wake waliibuka watu wasiojulikana ambao waliteka, kujeruhi na kuua watu wasio na hatia. Watu hao walimpiga risasi Tundu Lissu mchana kweupe na mpaka leo hawajakamatwa.
11. Aliwapa nguvu baadhi ya viongozi kama vile Makonda na Sabaya kutesa na kuumiza wananchi kadri walivyojisikia. Makonda alishambulia kituo cha CMG kwa mitutu ya bunduki lakini hakuchukuliwa hatua yoyote. DC Sabaya majuzi kampiga diwani wa Sombetini nusura kifo.
12. Alifuta fao la kujitoa na kusababisha watumishi wengi wenye mikataba ya muda mfupi kuishi maisha magumu baada ya ajira zao kukoma.
13. Katika serikali yake Wapinzani walionekana maadui na sio watu wenye mawazo mbadala. Waliteswa na kufunguliwa kesi za uchochezi. Wengine walipotezwa na hata kuuawa. Alitamani upinzani ufe.
15. Katika utawala wake maiti 17 ziliokotwa ufukwe wa Coco na nyingine 6 ziliokotwa mto Ruvu kwa pamoja zikiwa zimefungwa kwenye sandarusi, na baadhi zikivuja damu.
16. Aliharibu mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mengi ukimwenguni. Serikali yake ilichoma vifaranga vya kuku kutoka Kenya na kutaifisha ng'ombe waliovuka mpaka kuja Tanzania.
17. Alisababisha wanasiasa wa Tanzania wakimbie nchi na kuishi uhamisho kama wakimbizi wa kisiasa wakiwemo Ansbert Ngurumo, Tundu Lissu na Godbless Lema.
18. Alitumia mabavu kulazimisha ushindi kwenye uchaguzi wa 2020 na kuhakikisha CCM inashinda majimbo yote. Alipora ushindi wa upinzani kwenye majimbo mengi kwa mtutu wa bunduki.
19. Alitumia sheria ya uhujumu uchumi kutesa wapinzani wake kisiasa na wafanyabiashara aliokua na kisasi kwa mfano Rugemala na Lema wa Elerai Construction.
20. Alipenda kuabudiwa, kutukuzwa na kuogopwa. Wote waliomnyenyekea aliwapa vyeo.
21. Aliamini mawazo yake ndio sahihi na hakutaka kushauriwa kwenye jambo lolote. Aliwahi kusema yeye hapangiwi cha kufanya.
22. Alipenda kuonekana mcha Mungu japo kiuhalisia ni dikteta katili aliyetisha. Alimpoteza Ben Saanane baada ya kuhoji kuhusu PHD yake.
23. Alitangaza kuwa Tanzania haina corona na akataka watu wasivae barakoa wala wasikubali chanjo kutoka nje ya nchi.
24. Alipeleka miradi mingi ya maendeleo kijijini kwake Chato kama uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, benkiz barabara za lami na mbuga ya wanyama ambayo haikua na wanyama ikabidi kuhamisha kutoka mbuza zingine.
25. Aliingilia mihimili yote ya dola ikiwemo mahakama na bunge. Aliwazawadia vyeo vya ujaji mahakimu waliowafunga wapinzani jela.
26. Aliigeuza Tanzania kama mali yake binafsi na katika kila mradi alipenda atajwe yeye. Aliamini akiondoka hakuna atakayeweza kuendeleza yale aliyofanya. Bunge liliwahi kupendekeza kumuongezea muda wa kutawala atakapomaliza mihula yake miwili, kumbe Mungu ana mipango yake hata hiyo miezi 4 hakumaliza ya kura alizoiba
1.Chato International Airport
2.Chato National Park
3.Trafic light Chato
4.3 star hotel Chato (TANAPA)
5.Bohari ya kanda madawa Chato
6.Hospital ya rufaa Chato
7.Stadium (proposa)
8.CRDB Chato
Jana usiku nilienda kumtembelea mzee mmoja ambaye ni mtu wangu wa karibu anae jihusisha na biashara ya madini,akinipa story fupi tu ya rafiki yake ambayo ilinihuzunisha sana.
Jamaa yake alikua na zaidi ya bilioni 7 kwenye account yake bank mwaka jana mwanzoni,alipigiwa simu na branch manager aende urgently na alipofika pale mida ya mchana akajulishwa kwamba account yake imepigwa spana na tra (task force). Ikabidi aende tra mkoa ili kufuatilia hiyo ishu.
Tra mkoani wakamwambia inabidi awasiliane na TRA makao makuu,ikapigwa sim akapewa appointment saa tatu asubuhi next day. Akapanda ndege jioni hiyo kuelekea huko, asubuhi kafika mapema kasechewa kweli kweli then akaingia ofisini kuzungumza na team roho mbaya.
Wewe ndio fulani? Ndio, inaonekana una pesa nyingi sana kwa account ila hulipi kodi. Jamaa akasema akasema kodi nalipa na ninapata tax clearance kila mwaka mbona sielewi? Wakamwambia ana option 2 TRA wachukue 5B wamuachie 2 au akalete vielelezo huku wakiendelea kuzuia hela zote. Vielelezo visipo jitosheleza watachukua hela zote pamoja na kesi ya uhujumu uchumi.
Pale ulikua huruhusiwi kwenda na mwanasheria wala accountant,jamaa akatoka nje kufikiria kwa muda akaona isiwe nongwa akawaachia 5B lakini pia akaambiwa arudi CCM kwa kujitangaza kwenye media kwa sababu alikua supporter mkubwa wa lowasa uchaguzi wa 2015.
Matajiri wengi wa mawe wameumizwa sana huko kanda ya kaskazini ila wamekaa kimya tu,bora huyu jamaa amekufa maana alikua anatupeleka shimoni/motoni kiuchumi na kijamii.
Akasema nyumba za kimara zibomolewe lakini za mwanza zisibomolewe maana ni wapiga kura wake....Maiti zilikua zinaokotwa baharini enz za mwendazake
Nitamkumbua Magufuli kwa ukatili wake wa kutisha
1. Kuvunja nyumba za wananchi wa Kimara - Mbezi bila chembe ya huruma ila wale wa mwanza aliwaachia
2.Kupora Korosho za wananchi wa mikoa ya kusini kwa mtutu wa bunduki, hii hali iiwatia wananchi umasikini
3. Bila kujali kuwa watu wameshahudumu serikalini kwa muda mrefu na wanategemea kustaafu, akapitisha hoja ya uhakiki na kuwafukuza maelfu ya watu hao Huku akiwaacha bila kuwagusa wanasiasa na wateule wake katika hilo zoezi
4. Kubabikizia watu kesi za uhujumu uchumi, kuwatesa kupitia mfumo wa mashitaka na kuzisababishia familia zao maumivu makubwa na hali ngumu
5. Kuendelea kuwashikilia mamia ya masheikh walioko jela huku akisamehe wabakaji akina Babu Seya
6. Kukataa kuwapa watumishi wa serikai stahiki zao kwa wakati, ikiwemo kupandishwa madaraja na nyongeza za ishahara
7. Kuharibu chaguzi zote zilizofanyika chini ya serikali yake, kuanzia zile za marudio, serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, Alidhuluu haki ya wananchi kuchagua viongozi wao
8. Magufuli alitunga sheria kandamizi, na kuvuruga misingi ya katiba. Kafanya kia jitihada kulifanya bunge liwe butu, kuiweka mahakama mfukoni etc
9. Magufuli alikuwa na kauli mbaya zisizo na staha mfano "sisomeshi wazazi, serikali siyo iliyoleta tetemeko, baki na mavi yako nyumbani, nitapiga mashangazi.. etc"
10. Alikuwa na miradi kadhaa au mpango wa miradi kadhaa ambayo ni white elephant mfano, uwanja wa ndege Chato, Midege,Mpango wa Uwanja wa mpira Chato
11..Magufuli alikuwa mkabila, huhitaji kuwa mwanasayansi wa elimu ya jamii kuona kuwa teuzi zake ziliaia sana watu wa kanda na kabila lake.
12. Magufuli alikuwa haheshimu katiba waa sheria pale zinapokinzana na anachokitaka yeye, mfano haki ya kufanya siasa kwa vyama vya siasa iliyokuwepo kikatiba hakuiheshimu
13. Magufulu hakuthubutu na wala hakujali kufanya uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye na waliompiga risasi Lissu
Kwa hiyo mimi nakichukulia kifo cha Magufuli kama nafasi muhimu ili Taifa letu lipone.
Na sisi kama Taifa, tumeona kwa macho yetu namna katiba ya sasa ilivyokuwa hatari kama tunampata mtu mmoja asiyejali, ambaye ana element za udikteta, basi tuitumie nafasi hii kuliponya Taifa
Tangulia Magufuli, uwongo mbaya sitokumiss na sijawahi kukupenda kwa style ya uongozi wako, ninatamani Taifa lisipate Kiongozi mwenye mapungufu ya aina yako, ni mapungufu hatari kabisa
UPDATE
emoji1313.png

Ndugu yangu mmoja alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akituhumiwa kukwepa kodi kwenye biashara zake. Lakini yeye anadai ni kesi ya kisiasa. Mwaka 2015 aliombwa kusupport kampeni za CCM akakataa lakini alifadhili kampeni za UKAWA. Anaamini hiki ndicho kilichomponza.
Mwaka 2018 alikamatwa na baadhi ya biashara zake kufungwa, na nyingine zikashindwa kujiendesha kutokana na makadirio makubwa ya kodi.
Baada ya kukaa gerezani miaka miwili akaona bora akiri ili atoke (the lesser evil). Wakati wa majadiliano na DPP akatakiwa kulipa zaidi ya 200M. Akakubali kufilisi biashara zake chache zilizobakia ili "kununua" uhuru wake.
Mwaka jana tulimtembelea gerezani mimi na Dr.Cyrilo. Tukamuuliza kwanini umeamua kukiri? Huoni itakuwekea doa? Kuna nchi utazuiwa kwenda kwa sababu ya "criminal record" ya uhujumu uchumi. Kuna fursa za biashara utashindwa kupata. Kwanini usingepambana ushinde badala ya kukiri.
Huku akilengwalengwa na machozi akajibu, nachotaka kwa sasa ni kuwa huru tu. Nikishatoka hiyo "criminal record" anaweza kuja Rais mwingine akaifuta, huwezi jua. Tukaagana, akarudi zake nyuma ya nondo.
Licha ya kukiri na kuwa tayari kulipa (plea burgaining) lakini bado hakuachiwa. Aliambiwa jalada bado lipo kwa DPP.
Wiki iliyopita amefutiwa mashtaka yote na kuachiwa huru, bila kulipa chochote. Siku anaachiwa wala hakujua kama angeachiwa. Ilitumwa "remove order" gerezani, akaenda mahakani bila kubeba chochote maana haikua siku ya kesi. Hata wakili wake hakuwepo.
Miguuni alivaa kandambili. Alipofika mahakamani akaambiwa, Jamhuri imekufutia mashtka yote na haina nia ya kuendelea na kesi. Akadhani ni mtego ili wamkamate tena. Akajaribu kutoka nje ya mahakama, lakini hakuna mtu aliyehangaika nae.
Akaita taxi, ikampeleka nyumbani. Mkewe akapata suprise ambayo hakuitegemea. Akaanguka, alipoamka akaanza kulia. Watoto walipomuona baba yao nao wakalia. Majirani wakaja na kumkumbatia, wakilia. Nyumba ikatawala machozi.
Hii nchi imepitia kipindi kigumu sana. Kuna jinsi Mungu anamtumia mama Samia kuponya majeraha na kuokoa mioyo iliyopondeka. Biblia inasema Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wowote (Mithali 14:34).!
Jaribu la Hayati Rais John Pombe Magufuli linakuja kwenye kutajwa kwake mara kwa mara,penye hoja na pasipokuwa na hoja,lakini jaribu hili linakuja akiwa hayupo,pengine angetamani awe hai ili aweze kujibu hoja zake,aliondoka akiacha uhakika kuwa yeye ni mmoja wa viongozi wachache sana wazalendo wa kweli kwa wananchi wanyonge Nchi nzima ya Tanzania,kwa namna hii hata mimi ningependa kumtaja lakini zaidi viongozi wengi wangependa kumtaja ili kujipima mbele za Wananchi wa Tanzania,ukitaka kukanekti na wananchi basi lazima umtaje Rais Magufuli ili kujiweka sawa kwenye uongozi na Wananchi waweze kukuelewa,bila kutaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi hawawezi kukuelewa.

Ni dhahiri uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu,iwe alikuziba mdomo wakati wa kula au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,hivyo basi jaribu la Hayati Magufuli linakuja kwenye kutajwa tajwa kwake kwa kusifiwa na kwa kubagazwa ikiwa ametenda au hakutenda,hili ni jaribu ambalo Mungu ameliruhusu lije kwa Hayati Rais Magufuli akiwa amelala milele,jaribu hili lina utofauti na majaribu mengine kama jaribu lililoruhusiwa kwa Ayubu kwa maana ya uhai na umauti,jaribu la Ayubu lilimfanya ailaani siku aliyozaliwa na jaribu lile lilimfanya Ayubu atamani kufa lakini Mungu aliendelea kumuweka hai na baadae aliyashinda majaribu yale,lakini akiwa katikati ya jaribu alitamani atokee mtu wa kumtetea lakini hakutokea hadi baadae alishinda jaribu lile kwa sifa na utukufu wa Mungu,ebu tujikumbushe jaribu lililoruhusiwa kwa Ayubu akiwa angali bado yu hai na akalishinda.
 
Wewe bado ka-degree kako hakakusaidii kitu. Hebu soma hapa chini japo kwa uchache uelewe watu wanajua nini kuhusu huyo shujaa wako.

Miaka 6 ya utawala wa Mwendazake ilikua ya Machozi, Jasho na Damu kwa Watanzania. Haya ni baadhi ya matukio niliyoyakumbuka kwa haraka, baadhi yalitokea nikiwa huko nyumbani na mengine yametokea nikiwa nimeshaondoka.
1. Alizika uhuru wa vyombo vya habari na kutia saini sheria kandamizi kwa vyombo vya habari. Vyomno vyote vililazimishwa kumuandika kwa kumsifu na kumpamba, kilichothubutu kumkosoa kilifungiwa.
2. Alitumia nguvu nyingi kupambana na upinzani na kutesa wanasiasa wa upinzani kwa kuwafungulia kesi za uongo mpaka leo bado wengi wapo jela kwa kesi za kisiasa za kubambikiziwa.
3. Aligawanya nchi kwa misingi ya ukabila, ukanda, uchama na udini na ubaguzi wa kijinsia. Serikali yake ilijaa watu wa kanda ya ziwa na 75% ya serikali yake ilijaa wasukuma watupu
4. Alikua na ubaguzi wa kijinsia na aliendekeza mfumo dume. Wanawake walikua 17% tu ya mawaziri katika serikali yake.
5. Alihakikisha wakuu wa vyombo vya ulinzi wanatoka kanda ya ziwa ili kumlinda likitokea lolote, CDF - Mara, IGP - Mara na CGP - Geita na CGF - Mwanza. Madikteta wote hufanya hivi maana wanajua watu wa kwao hawawezi kuwageuka.
6. Hakupandisha mishahara kwa wafanyakazi wa umma kwa miaka yote 6 ya utawala wake.
7. Hakutangaza ajira mpya katika kipindi chote cha utawala wake. Waalimu waliomaliza vyuo mwaka 2015 hadi leo wapo mtaaji jobless.
8. Aliua sekta binafsi kwa kutoza kodi kubwa, na kuharibu mazingira ya biashara. Hoteli nyingi za kitalii zimekufa kama vile Ngurdoto, Impala, Naura Spring na nyingine zimegeuka hostel za wanafunzi kama Landmark ya Ubungo.
9. Alipunguza mzunguko wa pesa mtaani na kuhakikisha matajiri wanaishi kama mashetani.
10. Katika utawala wake waliibuka watu wasiojulikana ambao waliteka, kujeruhi na kuua watu wasio na hatia. Watu hao walimpiga risasi Tundu Lissu mchana kweupe na mpaka leo hawajakamatwa.
11. Aliwapa nguvu baadhi ya viongozi kama vile Makonda na Sabaya kutesa na kuumiza wananchi kadri walivyojisikia. Makonda alishambulia kituo cha CMG kwa mitutu ya bunduki lakini hakuchukuliwa hatua yoyote. DC Sabaya majuzi kampiga diwani wa Sombetini nusura kifo.
12. Alifuta fao la kujitoa na kusababisha watumishi wengi wenye mikataba ya muda mfupi kuishi maisha magumu baada ya ajira zao kukoma.
13. Katika serikali yake Wapinzani walionekana maadui na sio watu wenye mawazo mbadala. Waliteswa na kufunguliwa kesi za uchochezi. Wengine walipotezwa na hata kuuawa. Alitamani upinzani ufe.
15. Katika utawala wake maiti 17 ziliokotwa ufukwe wa Coco na nyingine 6 ziliokotwa mto Ruvu kwa pamoja zikiwa zimefungwa kwenye sandarusi, na baadhi zikivuja damu.
16. Aliharibu mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mengi ukimwenguni. Serikali yake ilichoma vifaranga vya kuku kutoka Kenya na kutaifisha ng'ombe waliovuka mpaka kuja Tanzania.
17. Alisababisha wanasiasa wa Tanzania wakimbie nchi na kuishi uhamisho kama wakimbizi wa kisiasa wakiwemo Ansbert Ngurumo, Tundu Lissu na Godbless Lema.
18. Alitumia mabavu kulazimisha ushindi kwenye uchaguzi wa 2020 na kuhakikisha CCM inashinda majimbo yote. Alipora ushindi wa upinzani kwenye majimbo mengi kwa mtutu wa bunduki.
19. Alitumia sheria ya uhujumu uchumi kutesa wapinzani wake kisiasa na wafanyabiashara aliokua na kisasi kwa mfano Rugemala na Lema wa Elerai Construction.
20. Alipenda kuabudiwa, kutukuzwa na kuogopwa. Wote waliomnyenyekea aliwapa vyeo.
21. Aliamini mawazo yake ndio sahihi na hakutaka kushauriwa kwenye jambo lolote. Aliwahi kusema yeye hapangiwi cha kufanya.
22. Alipenda kuonekana mcha Mungu japo kiuhalisia ni dikteta katili aliyetisha. Alimpoteza Ben Saanane baada ya kuhoji kuhusu PHD yake.
23. Alitangaza kuwa Tanzania haina corona na akataka watu wasivae barakoa wala wasikubali chanjo kutoka nje ya nchi.
24. Alipeleka miradi mingi ya maendeleo kijijini kwake Chato kama uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, benkiz barabara za lami na mbuga ya wanyama ambayo haikua na wanyama ikabidi kuhamisha kutoka mbuza zingine.
25. Aliingilia mihimili yote ya dola ikiwemo mahakama na bunge. Aliwazawadia vyeo vya ujaji mahakimu waliowafunga wapinzani jela.
26. Aliigeuza Tanzania kama mali yake binafsi na katika kila mradi alipenda atajwe yeye. Aliamini akiondoka hakuna atakayeweza kuendeleza yale aliyofanya. Bunge liliwahi kupendekeza kumuongezea muda wa kutawala atakapomaliza mihula yake miwili, kumbe Mungu ana mipango yake hata hiyo miezi 4 hakumaliza ya kura alizoiba
1.Chato International Airport
2.Chato National Park
3.Trafic light Chato
4.3 star hotel Chato (TANAPA)
5.Bohari ya kanda madawa Chato
6.Hospital ya rufaa Chato
7.Stadium (proposa)
8.CRDB Chato
Jana usiku nilienda kumtembelea mzee mmoja ambaye ni mtu wangu wa karibu anae jihusisha na biashara ya madini,akinipa story fupi tu ya rafiki yake ambayo ilinihuzunisha sana.
Jamaa yake alikua na zaidi ya bilioni 7 kwenye account yake bank mwaka jana mwanzoni,alipigiwa simu na branch manager aende urgently na alipofika pale mida ya mchana akajulishwa kwamba account yake imepigwa spana na tra (task force). Ikabidi aende tra mkoa ili kufuatilia hiyo ishu.
Tra mkoani wakamwambia inabidi awasiliane na TRA makao makuu,ikapigwa sim akapewa appointment saa tatu asubuhi next day. Akapanda ndege jioni hiyo kuelekea huko, asubuhi kafika mapema kasechewa kweli kweli then akaingia ofisini kuzungumza na team roho mbaya.
Wewe ndio fulani? Ndio, inaonekana una pesa nyingi sana kwa account ila hulipi kodi. Jamaa akasema akasema kodi nalipa na ninapata tax clearance kila mwaka mbona sielewi? Wakamwambia ana option 2 TRA wachukue 5B wamuachie 2 au akalete vielelezo huku wakiendelea kuzuia hela zote. Vielelezo visipo jitosheleza watachukua hela zote pamoja na kesi ya uhujumu uchumi.
Pale ulikua huruhusiwi kwenda na mwanasheria wala accountant,jamaa akatoka nje kufikiria kwa muda akaona isiwe nongwa akawaachia 5B lakini pia akaambiwa arudi CCM kwa kujitangaza kwenye media kwa sababu alikua supporter mkubwa wa lowasa uchaguzi wa 2015.
Matajiri wengi wa mawe wameumizwa sana huko kanda ya kaskazini ila wamekaa kimya tu,bora huyu jamaa amekufa maana alikua anatupeleka shimoni/motoni kiuchumi na kijamii.
Akasema nyumba za kimara zibomolewe lakini za mwanza zisibomolewe maana ni wapiga kura wake....Maiti zilikua zinaokotwa baharini enz za mwendazake
Nitamkumbua Magufuli kwa ukatili wake wa kutisha
1. Kuvunja nyumba za wananchi wa Kimara - Mbezi bila chembe ya huruma ila wale wa mwanza aliwaachia
2.Kupora Korosho za wananchi wa mikoa ya kusini kwa mtutu wa bunduki, hii hali iiwatia wananchi umasikini
3. Bila kujali kuwa watu wameshahudumu serikalini kwa muda mrefu na wanategemea kustaafu, akapitisha hoja ya uhakiki na kuwafukuza maelfu ya watu hao Huku akiwaacha bila kuwagusa wanasiasa na wateule wake katika hilo zoezi
4. Kubabikizia watu kesi za uhujumu uchumi, kuwatesa kupitia mfumo wa mashitaka na kuzisababishia familia zao maumivu makubwa na hali ngumu
5. Kuendelea kuwashikilia mamia ya masheikh walioko jela huku akisamehe wabakaji akina Babu Seya
6. Kukataa kuwapa watumishi wa serikai stahiki zao kwa wakati, ikiwemo kupandishwa madaraja na nyongeza za ishahara
7. Kuharibu chaguzi zote zilizofanyika chini ya serikali yake, kuanzia zile za marudio, serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, Alidhuluu haki ya wananchi kuchagua viongozi wao
8. Magufuli alitunga sheria kandamizi, na kuvuruga misingi ya katiba. Kafanya kia jitihada kulifanya bunge liwe butu, kuiweka mahakama mfukoni etc
9. Magufuli alikuwa na kauli mbaya zisizo na staha mfano "sisomeshi wazazi, serikali siyo iliyoleta tetemeko, baki na mavi yako nyumbani, nitapiga mashangazi.. etc"
10. Alikuwa na miradi kadhaa au mpango wa miradi kadhaa ambayo ni white elephant mfano, uwanja wa ndege Chato, Midege,Mpango wa Uwanja wa mpira Chato
11..Magufuli alikuwa mkabila, huhitaji kuwa mwanasayansi wa elimu ya jamii kuona kuwa teuzi zake ziliaia sana watu wa kanda na kabila lake.
12. Magufuli alikuwa haheshimu katiba waa sheria pale zinapokinzana na anachokitaka yeye, mfano haki ya kufanya siasa kwa vyama vya siasa iliyokuwepo kikatiba hakuiheshimu
13. Magufulu hakuthubutu na wala hakujali kufanya uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye na waliompiga risasi Lissu
Kwa hiyo mimi nakichukulia kifo cha Magufuli kama nafasi muhimu ili Taifa letu lipone.
Na sisi kama Taifa, tumeona kwa macho yetu namna katiba ya sasa ilivyokuwa hatari kama tunampata mtu mmoja asiyejali, ambaye ana element za udikteta, basi tuitumie nafasi hii kuliponya Taifa
Tangulia Magufuli, uwongo mbaya sitokumiss na sijawahi kukupenda kwa style ya uongozi wako, ninatamani Taifa lisipate Kiongozi mwenye mapungufu ya aina yako, ni mapungufu hatari kabisa
UPDATE
emoji1313.png

Ndugu yangu mmoja alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akituhumiwa kukwepa kodi kwenye biashara zake. Lakini yeye anadai ni kesi ya kisiasa. Mwaka 2015 aliombwa kusupport kampeni za CCM akakataa lakini alifadhili kampeni za UKAWA. Anaamini hiki ndicho kilichomponza.
Mwaka 2018 alikamatwa na baadhi ya biashara zake kufungwa, na nyingine zikashindwa kujiendesha kutokana na makadirio makubwa ya kodi.
Baada ya kukaa gerezani miaka miwili akaona bora akiri ili atoke (the lesser evil). Wakati wa majadiliano na DPP akatakiwa kulipa zaidi ya 200M. Akakubali kufilisi biashara zake chache zilizobakia ili "kununua" uhuru wake.
Mwaka jana tulimtembelea gerezani mimi na Dr.Cyrilo. Tukamuuliza kwanini umeamua kukiri? Huoni itakuwekea doa? Kuna nchi utazuiwa kwenda kwa sababu ya "criminal record" ya uhujumu uchumi. Kuna fursa za biashara utashindwa kupata. Kwanini usingepambana ushinde badala ya kukiri.
Huku akilengwalengwa na machozi akajibu, nachotaka kwa sasa ni kuwa huru tu. Nikishatoka hiyo "criminal record" anaweza kuja Rais mwingine akaifuta, huwezi jua. Tukaagana, akarudi zake nyuma ya nondo.
Licha ya kukiri na kuwa tayari kulipa (plea burgaining) lakini bado hakuachiwa. Aliambiwa jalada bado lipo kwa DPP.
Wiki iliyopita amefutiwa mashtaka yote na kuachiwa huru, bila kulipa chochote. Siku anaachiwa wala hakujua kama angeachiwa. Ilitumwa "remove order" gerezani, akaenda mahakani bila kubeba chochote maana haikua siku ya kesi. Hata wakili wake hakuwepo.
Miguuni alivaa kandambili. Alipofika mahakamani akaambiwa, Jamhuri imekufutia mashtka yote na haina nia ya kuendelea na kesi. Akadhani ni mtego ili wamkamate tena. Akajaribu kutoka nje ya mahakama, lakini hakuna mtu aliyehangaika nae.
Akaita taxi, ikampeleka nyumbani. Mkewe akapata suprise ambayo hakuitegemea. Akaanguka, alipoamka akaanza kulia. Watoto walipomuona baba yao nao wakalia. Majirani wakaja na kumkumbatia, wakilia. Nyumba ikatawala machozi.
Hii nchi imepitia kipindi kigumu sana. Kuna jinsi Mungu anamtumia mama Samia kuponya majeraha na kuokoa mioyo iliyopondeka. Biblia inasema Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wowote (Mithali 14:34).!
Shida mnaomponda R.I.P Regend magufuli sion point zenye mashiko,maana wote mnaletewa na wasio na ushahidi walafi wa madaraka na machawa.hiyo serikali yenyewe haijwahi thibitisha hayo mnayoyasema zaidi ya kumchafua tu mtu.

Ukumbuke hakuna njia ya maFanikio ilio nyepesi..
Hapa kazi tu iendeleee.
 
Shida mnaomponda R.I.P Regend magufuli sion point zenye mashiko,maana wote mnaletewa na wasio na ushahidi walafi wa madaraka na machawa.hiyo serikali yenyewe haijwahi thibitisha hayo mnayoyasema zaidi ya kumchafua tu mtu.

Ukumbuke hakuna njia ya maFanikio ilio nyepesi..
Hapa kazi tu iendeleee.
Zaburi 6:5
Maana mautini hapana kumbukumbu lako; Katika kuzimu ni nani atakayekushukuru?
Mhubiri 9:5
kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.

Mhubiri 9:6
Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.
Kusifu mfu ni upagani mkubwa sana. Yapo mazuri aliyoyafanya lakini mabaya ni mengi pia. Kwa ujumla kwa ambao walikuwa hawamfahamu Hayati wanaweza kumsifia lakini tuliomfahamu alikuwa mnafiki, propagandist mzuri sana. Kama angekuwa mwema asingezuia uhuru wa habari, asingebana demokrasia, asingepoteza watu. Mama Samia kaleta nuru kwa watanzania, sasa nchi imeunganishwa, upendo na uhuru wa kuongea, amani na upendo vimetamalaki. Mungu ambariki mama yetu. Nani kama mama!
 
Wewe bado ka-degree kako hakakusaidii kitu. Hebu soma hapa chini japo kwa uchache uelewe watu wanajua nini kuhusu huyo shujaa wako.

Miaka 6 ya utawala wa Mwendazake ilikua ya Machozi, Jasho na Damu kwa Watanzania. Haya ni baadhi ya matukio niliyoyakumbuka kwa haraka, baadhi yalitokea nikiwa huko nyumbani na mengine yametokea nikiwa nimeshaondoka.
1. Alizika uhuru wa vyombo vya habari na kutia saini sheria kandamizi kwa vyombo vya habari. Vyomno vyote vililazimishwa kumuandika kwa kumsifu na kumpamba, kilichothubutu kumkosoa kilifungiwa.
2. Alitumia nguvu nyingi kupambana na upinzani na kutesa wanasiasa wa upinzani kwa kuwafungulia kesi za uongo mpaka leo bado wengi wapo jela kwa kesi za kisiasa za kubambikiziwa.
3. Aligawanya nchi kwa misingi ya ukabila, ukanda, uchama na udini na ubaguzi wa kijinsia. Serikali yake ilijaa watu wa kanda ya ziwa na 75% ya serikali yake ilijaa wasukuma watupu
4. Alikua na ubaguzi wa kijinsia na aliendekeza mfumo dume. Wanawake walikua 17% tu ya mawaziri katika serikali yake.
5. Alihakikisha wakuu wa vyombo vya ulinzi wanatoka kanda ya ziwa ili kumlinda likitokea lolote, CDF - Mara, IGP - Mara na CGP - Geita na CGF - Mwanza. Madikteta wote hufanya hivi maana wanajua watu wa kwao hawawezi kuwageuka.
6. Hakupandisha mishahara kwa wafanyakazi wa umma kwa miaka yote 6 ya utawala wake.
7. Hakutangaza ajira mpya katika kipindi chote cha utawala wake. Waalimu waliomaliza vyuo mwaka 2015 hadi leo wapo mtaaji jobless.
8. Aliua sekta binafsi kwa kutoza kodi kubwa, na kuharibu mazingira ya biashara. Hoteli nyingi za kitalii zimekufa kama vile Ngurdoto, Impala, Naura Spring na nyingine zimegeuka hostel za wanafunzi kama Landmark ya Ubungo.
9. Alipunguza mzunguko wa pesa mtaani na kuhakikisha matajiri wanaishi kama mashetani.
10. Katika utawala wake waliibuka watu wasiojulikana ambao waliteka, kujeruhi na kuua watu wasio na hatia. Watu hao walimpiga risasi Tundu Lissu mchana kweupe na mpaka leo hawajakamatwa.
11. Aliwapa nguvu baadhi ya viongozi kama vile Makonda na Sabaya kutesa na kuumiza wananchi kadri walivyojisikia. Makonda alishambulia kituo cha CMG kwa mitutu ya bunduki lakini hakuchukuliwa hatua yoyote. DC Sabaya majuzi kampiga diwani wa Sombetini nusura kifo.
12. Alifuta fao la kujitoa na kusababisha watumishi wengi wenye mikataba ya muda mfupi kuishi maisha magumu baada ya ajira zao kukoma.
13. Katika serikali yake Wapinzani walionekana maadui na sio watu wenye mawazo mbadala. Waliteswa na kufunguliwa kesi za uchochezi. Wengine walipotezwa na hata kuuawa. Alitamani upinzani ufe.
15. Katika utawala wake maiti 17 ziliokotwa ufukwe wa Coco na nyingine 6 ziliokotwa mto Ruvu kwa pamoja zikiwa zimefungwa kwenye sandarusi, na baadhi zikivuja damu.
16. Aliharibu mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mengi ukimwenguni. Serikali yake ilichoma vifaranga vya kuku kutoka Kenya na kutaifisha ng'ombe waliovuka mpaka kuja Tanzania.
17. Alisababisha wanasiasa wa Tanzania wakimbie nchi na kuishi uhamisho kama wakimbizi wa kisiasa wakiwemo Ansbert Ngurumo, Tundu Lissu na Godbless Lema.
18. Alitumia mabavu kulazimisha ushindi kwenye uchaguzi wa 2020 na kuhakikisha CCM inashinda majimbo yote. Alipora ushindi wa upinzani kwenye majimbo mengi kwa mtutu wa bunduki.
19. Alitumia sheria ya uhujumu uchumi kutesa wapinzani wake kisiasa na wafanyabiashara aliokua na kisasi kwa mfano Rugemala na Lema wa Elerai Construction.
20. Alipenda kuabudiwa, kutukuzwa na kuogopwa. Wote waliomnyenyekea aliwapa vyeo.
21. Aliamini mawazo yake ndio sahihi na hakutaka kushauriwa kwenye jambo lolote. Aliwahi kusema yeye hapangiwi cha kufanya.
22. Alipenda kuonekana mcha Mungu japo kiuhalisia ni dikteta katili aliyetisha. Alimpoteza Ben Saanane baada ya kuhoji kuhusu PHD yake.
23. Alitangaza kuwa Tanzania haina corona na akataka watu wasivae barakoa wala wasikubali chanjo kutoka nje ya nchi.
24. Alipeleka miradi mingi ya maendeleo kijijini kwake Chato kama uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, benkiz barabara za lami na mbuga ya wanyama ambayo haikua na wanyama ikabidi kuhamisha kutoka mbuza zingine.
25. Aliingilia mihimili yote ya dola ikiwemo mahakama na bunge. Aliwazawadia vyeo vya ujaji mahakimu waliowafunga wapinzani jela.
26. Aliigeuza Tanzania kama mali yake binafsi na katika kila mradi alipenda atajwe yeye. Aliamini akiondoka hakuna atakayeweza kuendeleza yale aliyofanya. Bunge liliwahi kupendekeza kumuongezea muda wa kutawala atakapomaliza mihula yake miwili, kumbe Mungu ana mipango yake hata hiyo miezi 4 hakumaliza ya kura alizoiba
1.Chato International Airport
2.Chato National Park
3.Trafic light Chato
4.3 star hotel Chato (TANAPA)
5.Bohari ya kanda madawa Chato
6.Hospital ya rufaa Chato
7.Stadium (proposa)
8.CRDB Chato
Jana usiku nilienda kumtembelea mzee mmoja ambaye ni mtu wangu wa karibu anae jihusisha na biashara ya madini,akinipa story fupi tu ya rafiki yake ambayo ilinihuzunisha sana.
Jamaa yake alikua na zaidi ya bilioni 7 kwenye account yake bank mwaka jana mwanzoni,alipigiwa simu na branch manager aende urgently na alipofika pale mida ya mchana akajulishwa kwamba account yake imepigwa spana na tra (task force). Ikabidi aende tra mkoa ili kufuatilia hiyo ishu.
Tra mkoani wakamwambia inabidi awasiliane na TRA makao makuu,ikapigwa sim akapewa appointment saa tatu asubuhi next day. Akapanda ndege jioni hiyo kuelekea huko, asubuhi kafika mapema kasechewa kweli kweli then akaingia ofisini kuzungumza na team roho mbaya.
Wewe ndio fulani? Ndio, inaonekana una pesa nyingi sana kwa account ila hulipi kodi. Jamaa akasema akasema kodi nalipa na ninapata tax clearance kila mwaka mbona sielewi? Wakamwambia ana option 2 TRA wachukue 5B wamuachie 2 au akalete vielelezo huku wakiendelea kuzuia hela zote. Vielelezo visipo jitosheleza watachukua hela zote pamoja na kesi ya uhujumu uchumi.
Pale ulikua huruhusiwi kwenda na mwanasheria wala accountant,jamaa akatoka nje kufikiria kwa muda akaona isiwe nongwa akawaachia 5B lakini pia akaambiwa arudi CCM kwa kujitangaza kwenye media kwa sababu alikua supporter mkubwa wa lowasa uchaguzi wa 2015.
Matajiri wengi wa mawe wameumizwa sana huko kanda ya kaskazini ila wamekaa kimya tu,bora huyu jamaa amekufa maana alikua anatupeleka shimoni/motoni kiuchumi na kijamii.
Akasema nyumba za kimara zibomolewe lakini za mwanza zisibomolewe maana ni wapiga kura wake....Maiti zilikua zinaokotwa baharini enz za mwendazake
Nitamkumbua Magufuli kwa ukatili wake wa kutisha
1. Kuvunja nyumba za wananchi wa Kimara - Mbezi bila chembe ya huruma ila wale wa mwanza aliwaachia
2.Kupora Korosho za wananchi wa mikoa ya kusini kwa mtutu wa bunduki, hii hali iiwatia wananchi umasikini
3. Bila kujali kuwa watu wameshahudumu serikalini kwa muda mrefu na wanategemea kustaafu, akapitisha hoja ya uhakiki na kuwafukuza maelfu ya watu hao Huku akiwaacha bila kuwagusa wanasiasa na wateule wake katika hilo zoezi
4. Kubabikizia watu kesi za uhujumu uchumi, kuwatesa kupitia mfumo wa mashitaka na kuzisababishia familia zao maumivu makubwa na hali ngumu
5. Kuendelea kuwashikilia mamia ya masheikh walioko jela huku akisamehe wabakaji akina Babu Seya
6. Kukataa kuwapa watumishi wa serikai stahiki zao kwa wakati, ikiwemo kupandishwa madaraja na nyongeza za ishahara
7. Kuharibu chaguzi zote zilizofanyika chini ya serikali yake, kuanzia zile za marudio, serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, Alidhuluu haki ya wananchi kuchagua viongozi wao
8. Magufuli alitunga sheria kandamizi, na kuvuruga misingi ya katiba. Kafanya kia jitihada kulifanya bunge liwe butu, kuiweka mahakama mfukoni etc
9. Magufuli alikuwa na kauli mbaya zisizo na staha mfano "sisomeshi wazazi, serikali siyo iliyoleta tetemeko, baki na mavi yako nyumbani, nitapiga mashangazi.. etc"
10. Alikuwa na miradi kadhaa au mpango wa miradi kadhaa ambayo ni white elephant mfano, uwanja wa ndege Chato, Midege,Mpango wa Uwanja wa mpira Chato
11..Magufuli alikuwa mkabila, huhitaji kuwa mwanasayansi wa elimu ya jamii kuona kuwa teuzi zake ziliaia sana watu wa kanda na kabila lake.
12. Magufuli alikuwa haheshimu katiba waa sheria pale zinapokinzana na anachokitaka yeye, mfano haki ya kufanya siasa kwa vyama vya siasa iliyokuwepo kikatiba hakuiheshimu
13. Magufulu hakuthubutu na wala hakujali kufanya uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye na waliompiga risasi Lissu
Kwa hiyo mimi nakichukulia kifo cha Magufuli kama nafasi muhimu ili Taifa letu lipone.
Na sisi kama Taifa, tumeona kwa macho yetu namna katiba ya sasa ilivyokuwa hatari kama tunampata mtu mmoja asiyejali, ambaye ana element za udikteta, basi tuitumie nafasi hii kuliponya Taifa
Tangulia Magufuli, uwongo mbaya sitokumiss na sijawahi kukupenda kwa style ya uongozi wako, ninatamani Taifa lisipate Kiongozi mwenye mapungufu ya aina yako, ni mapungufu hatari kabisa
UPDATE
emoji1313.png

Ndugu yangu mmoja alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akituhumiwa kukwepa kodi kwenye biashara zake. Lakini yeye anadai ni kesi ya kisiasa. Mwaka 2015 aliombwa kusupport kampeni za CCM akakataa lakini alifadhili kampeni za UKAWA. Anaamini hiki ndicho kilichomponza.
Mwaka 2018 alikamatwa na baadhi ya biashara zake kufungwa, na nyingine zikashindwa kujiendesha kutokana na makadirio makubwa ya kodi.
Baada ya kukaa gerezani miaka miwili akaona bora akiri ili atoke (the lesser evil). Wakati wa majadiliano na DPP akatakiwa kulipa zaidi ya 200M. Akakubali kufilisi biashara zake chache zilizobakia ili "kununua" uhuru wake.
Mwaka jana tulimtembelea gerezani mimi na Dr.Cyrilo. Tukamuuliza kwanini umeamua kukiri? Huoni itakuwekea doa? Kuna nchi utazuiwa kwenda kwa sababu ya "criminal record" ya uhujumu uchumi. Kuna fursa za biashara utashindwa kupata. Kwanini usingepambana ushinde badala ya kukiri.
Huku akilengwalengwa na machozi akajibu, nachotaka kwa sasa ni kuwa huru tu. Nikishatoka hiyo "criminal record" anaweza kuja Rais mwingine akaifuta, huwezi jua. Tukaagana, akarudi zake nyuma ya nondo.
Licha ya kukiri na kuwa tayari kulipa (plea burgaining) lakini bado hakuachiwa. Aliambiwa jalada bado lipo kwa DPP.
Wiki iliyopita amefutiwa mashtaka yote na kuachiwa huru, bila kulipa chochote. Siku anaachiwa wala hakujua kama angeachiwa. Ilitumwa "remove order" gerezani, akaenda mahakani bila kubeba chochote maana haikua siku ya kesi. Hata wakili wake hakuwepo.
Miguuni alivaa kandambili. Alipofika mahakamani akaambiwa, Jamhuri imekufutia mashtka yote na haina nia ya kuendelea na kesi. Akadhani ni mtego ili wamkamate tena. Akajaribu kutoka nje ya mahakama, lakini hakuna mtu aliyehangaika nae.
Akaita taxi, ikampeleka nyumbani. Mkewe akapata suprise ambayo hakuitegemea. Akaanguka, alipoamka akaanza kulia. Watoto walipomuona baba yao nao wakalia. Majirani wakaja na kumkumbatia, wakilia. Nyumba ikatawala machozi.
Hii nchi imepitia kipindi kigumu sana. Kuna jinsi Mungu anamtumia mama Samia kuponya majeraha na kuokoa mioyo iliyopondeka. Biblia inasema Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wowote (Mithali 14:34).!
Umeandika mengi sana na mtu smart hawez soma yote zaidi ya kupitia vitu muhimu. Mfano nimeona number 7 umesema hakutoa ajira toka 2015.Hivi huwa unafuatilia vyombo vya habari au upo upo tu kama msukule?Miaka yote ya Magufuli ajira za UALIMU zimekua zikitoka.Ingia Google andika ajira za UALIMU. Ajira za UDAKTARI pia ingia Google.Kuna vijana wengi nawafahamu wamepata ajira enzi za Magufuli, unaposema hajawahi ajiri sijui kama unaelewa ulichoandika. Umeandika mengi lakini naona yamejaa mihemko na huna taarifa yoyote muhimu juu ya uliyoandika. Nikisema niulize moja baada ya lingine kwa uliyoandika utajikuta kilaza sana.
 
Umeandika mengi sana na mtu smart hawez soma yote zaidi ya kupitia vitu muhimu. Mfano nimeona number 7 umesema hakutoa ajira toka 2015.Hivi huwa unafuatilia vyombo vya habari au upo upo tu kama msukule?Miaka yote ya Magufuli ajira za UALIMU zimekua zikitoka.Ingia Google andika ajira za UALIMU. Ajira za UDAKTARI pia ingia Google.Kuna vijana wengi nawafahamu wamepata ajira enzi za Magufuli, unaposema hajawahi ajiri sijui kama unaelewa ulichoandika. Umeandika mengi lakini naona yamejaa mihemko na huna taarifa yoyote muhimu juu ya uliyoandika. Nikisema niulize moja baada ya lingine kwa uliyoandika utajikuta kilaza sana.
Vichaa wa Magufuli endeleeni kusoma ushenzi aliofanya kiongozi wenu hapa chini.

"JPM ALICHELEWA KUWA RAIS WETU. NDIYO"

Tulitakiwa kuwa na JPM kabla ya miaka 20 iliyopita. Magufuli alichelewa kuwa Rais wetu kwa katiba ya kifalme/kisultan tuliyonayo. Miaka 5 na miezi 5 ilituonyesha rangi za udikteta. Ingawa rangi hiyo haikufika kwa mtu mmoja mmoja, wapo walioguswa

Bado tulihitaji kuwa na JPM kwa miaka mingi au tuseme kwa lugha rahisi kabisa, JPM alichelewa kuwa Rais wetu. Ndiyo. Kabla ya JPM, kuna masuala mengi ya hovyo hatukuwahi kuyaona au kupitia katika siasa za nchi yetu, lakini katika uwepo wake tumeona masuala mengi ya kuogofya.

JPM alikuwa daktari bingwa wa propaganda. Aliweza kuwaaminisha watu uchumi wetu ni imara na ukuaji wake ni wa kadi kubwa, watu waliamini ingawa bado walikuwa maskini wa kutupwa, hawana huduma za kijamii katika maeneo yao, hawana miradi ya maendeleo na kipato chao ni duni.

JPM aliweza kuwaaminisha watu ndiye mtetezi wao, mtetezi wa wanyonge. Akawapa jina hilo, umaskini ukatiwa nakshi-nakshi. Watu wakaamini, na kumuita Rais wa wanyonge, na kila alipokwenda hakusita kueleza kwa sauti kwamba haoni mwingine wa kumaliza kazi yake isipokuwa yeye.

Watu hawakujali, hata kuhamisha Serikali Dodoma bila bunge kuketi na kupitisha fedha hizo, ununuzi wa ndege bila bunge kurudhia, ujenzi wa uwanja wa ndege Chato bila bunge kuketi na kuridhia matumizi ya fedha za umma. Watu waliaminishwa kwamba Magufuli hakosei, wanyonge waliamini

Waliothubutu kuhoji walionekana ni wenye chuki na JPM, wakaitwa majina mabaya. Wakaambiwa ni vibaraka wa mabeberu. Walioendeleza ukosoaji walitafutwa na kuitwa wachochezi, wakashtakiwa kwa makosa ya uchochezi, madawa ya kulevya, uhujumu uchumi, utakatishaji fedha, ugaidi.

Ni wakati wa Magufuli, miili ya binadamu ilionekana katika mifuko ya sandarusi ikiwa imefungwa, ikielea katika Pwani ya bahari ya Hindi na hata katika michirizi ya mto Ruvu. Tulipouliza, tulipewa majibu kwamba hao ni wahamiaji haramu. Wahamiaji haramu ndiyo walistahili kuuwawa hivyo?

Upendeleo ulishamiri. Ubaguzi wa kisiasa ulikuwa ni dhahiri. Magufuli aliwahi kufika Vwawa, Mbozi na kuwaambia wananchi kwamba walichagua upinzani (CHADEMA) sasa wasitarajie kamwe atawapa maendeleo, wamuulize masuala ya maendeleo huyo mbunge waliyemchagua kutoka upinzani.

JPM alifanikiwa katika masuala yake mengi, yenye ubaguzi. Wakazi wa Kimara, Dar es Salaam walibomolewa makazi yao kupisha ujenzi wa barabara. Lakini wakazi wa Mwanza akaagiza kusitishwa kwa ubomoaji wa nyumba za wananchi zaidi ya 2,000 wanaodaiwa kuvamia eneo la Uwanja wa Ndege Mwanza, kituo cha polisi na (JWTZ)

JPM akiwa Kinyerezi anazindua mradi wa umeme alisema hawezi kupeleka chakula kwa mtoto wa kambo (upinzani) na wakati nyumbani kwake wanahitaji hicho chakula. Akiwa na maana kwamba walipochagua wapinzani ni watoto yatima hawezi kuhangaika nao kamwe. Huu ulikuwa ubinafsi.

Tundu Antiphas Mughwai Lissu, ameshambuliwa kwa risasi nyingi, Dodoma siku ya 07.09.2017 akitoka katika shughuli zake za bunge, tena akiwa Rais wa Chama cha Mawakili Tanzania (TLS). Waliomshambulia hadi sasa wanaitwa "wasiojulikana". Ni wakati wa JPM wauaji hao walipewa jina hilo, JPM hakuwahi hata kukemea kundi hilo. Hatari sana.

Picha za gari la Tundu Lissu aina ya Toyota Land Cruiser VX, zilizopigwa baada ya tukio hilo, zilionyesha likiwa na matundu zaidi ya 25 ya risasi; kwenye tairi la mbele upande wa abiria, na sehemu mbalimbali za upande huo ambao ndiyo aliokuwa amekaa mbunge huyo. Unyama.

Ben Saanane hajulikani hata alipo hadi leo. Ni marehemu au bado yupo hai? Sasa awepo hai tangu 2016 kwamba wanamtunza? Siyo Kweli. Ben Saanane alikuwa mkosoaji mkubwa wa Serikali ya Magufuli. Alikosoa vilivyo pia upatikanaji wa PhD ya Magufuli. Nyakati hizo ndizo alizopotezwa.

Wakati ndugu wa karibu na viongozi wa Chadema wakitumia kila mbinu kujua aliko Ben, Desemba 24, 2016 siku moja kabla ya sikukuu ya Krismas, mtu asiyejulikana aliingia katika akaunti yake ya Facebook na kufuta baadhi ya maandishi yake yaliyokosoa viongozi wa juu serikalini.

Akwilina Akwilini, mnakumbuka kisa cha binti huyu wa chuo cha NIT? Akiwa katika daladala akitoka chuoni, alilelengwa na risasi iliyotupwa na Askari Polisi waliokuwa wakizuia Maandamano ya wafuasi wa CHADEMA eneo la Mkwajuni, Kinondoni, Dar es Salaam wakiongozwa na Freeman Mbowe

Kilichofuata? Freeman Mbowe na viongozi wenzake wa CHADEMA walishtakiwa kwa makosa mengi ikiwepo la kusabsbisha mauaji ya Akwilina Akwilini. Walihukumiwa kwenda gerezani au kulipa faini. Watanzania walichangia faini hizo, Shilingi 350 milioni. Muuaji wa Akwilina akabaki mtaani.

Wanasiasa wa upinzani walifanya biashara ya kisiasa. Walisema wanaunga juhudi za JPM mkono. Wabunge waliacha ubunge na kuomba ubunge. Madiwani pia na hata mameya. Ilifanyika biashara haramu kuaminisha macho ya umma Kwamba JPM anakubalika na wanasiasa wa upinzani. UONGO.

Ni wakati wa JPM tumeshuhudia COVID-19, janga kubwa la Dunia, likiumiza watu na kuondoka na maisha ya watu, lakini ilikuwa ni jinai kwa mamlaka za afya kutoa takwimu za ugonjwa. Waliacha. Uchumi uliharibika kutokana na COVID-19 lakini ilikuwa jinai wahusika kusema vinginevyo.

Ni wakati wa JPM kulikuwa na jaribio la kufuta Tanganyika Law Society (TLS) ambayo imeanzishwa kwa Sheria. Kisa? Ni wakati ule Tundu Lissu aligombea u-Rais wa TLS, awali ilionekana ni taasisi ambayo watawala na dola waliitumia kwa matakwa yao. Ujio wa Tundu Lissu uliwakera.

Ni katika utawala wa JPM, Mbunge halali wa watu wa Singida Mashariki, Rais wa chama cha Mawakili, Tundu Antiphas Mughwai Lissu alishsmbuliwa kwa risasi nyingi Mji wa Serikali Dodoma akitoka bungeni na wahalifu hawajawahi kutafutwa kamwe kama alipigwa risasi mnyama.

AZORY Gwanda? Ni kati ya wengi waliotoweshwa na kupotezwa kabisa. AZORY alikuwa mwandishi wa habari, akiandaa makala kuhusu mauaji yaliyokuwa yakifanyika katika eneo la MKIRU (Mkuranga, Kibiti, Rufiji). Raia wengi waliuwawa na habari za kwanini wanauwawa hazikuwahi kujulikana

AZORY Gwanda akachukua jukumu la uandishi wa habari za uchunguzi, akaandaa makala. Vikosi vya usalama vikamkamata, vikaenda naye hadi shambani kwa mkewe, akawapa funguo za nyumbani, wakafanya upekuzi, wakabeba vifaa kazi na kuondoka na AZORY hadi leo tangu mwaka 2017

Mdude Mpaluka Said Nyagali, ni mfano mzuri wa madhila ya utawala wa kidikteta. Ametekwa mara mbili kwa sababu za kumkosoa JPM. Ameteswa na kushtakiwa kwa kesi ya madawa ya kulevya. Alishinda kesi Mahakamani na ikaonekana ni kesi ya uongo kumuumiza Mdude Nyagali.

Gavana wa benki kuu alijitokeza hadharani akadiriki kuita hazina ya taifa kwamba ni chungu cha Rais. Huu ulikuwa ni mwisho kabisa wa kuona wataalam wetu, wasomi na wabobezi wamefika mwisho wao wa kufikiri kwa kutumia kichwa sasa wanatetea nyadhifa zao kwa kumlamba miguu mtawala

Mawaziri walianza kumuita JPM kwa jina la "Mheshimiwa Mungu" hadharani. Mkuu wa Mkoa wa Tabora akasema "Mungu sasa amshukuru JPM kwa niaba ya watu wa Tabora". Wote hao ni wakristo. Walifikia kiwango cha mwisho kabisa cha upambe. Na JPM hakuwahi kuwakanya wapambe wake.

Paul Makonda akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akivamia Kituo cha luninga cha Clouds TV kwa mitutu ya bunduki na Askari, siku mbili baadae, JPM anasema hawezi kupangiwa mamlaka yake, hivyo Makonda achape kazi na asisikilize maneno ya wananchi. Kiburi cha hali ya juu

Lengai Ole Sabaya amekuwa mfungwa. Ametumikia kifungo katika gereza la Kisingo. Kifungo cha miaka 30 gerezani (kabla ya kukata rufaa), alihukumiwa kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha. Ana kesi nyingine ya uhujumu uchumi. Huyu alikuwa ni mteule wa JPM.

Unaweza kuona aina ya wateule wake. Makonda na Sabaya walikuwa na hulka, silka na tabia nyingi zenye kufanana. Kulikuwa na Mrisho Gambo, Simon Odunga akiwa DC wa Rorya, na Alexander Mnyeti pia na wateule wengine wengi. Hawa walisadifu sifa za aliyewateua. Aliwapenda na kuwasifu hadharani.

Mbaya zaidi, uchaguzi mkuu wa 2020, uliharibiwa na mamlaka za serikali tena chini ya utawala wa JPM, wagombea wa upinzani walienguliwa, maeneo mengi CCM wakajitangaza washindi, wagombea wa upinzani hadi sasa wanazo kesi za uhujumu uchumi, mauaji na wapo gerezani kutokana na uchaguzi huo.

Unakumbuka JPM aliwaita wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za mitaa (hawa ni watendaji wa vijiji na mitaa) Ikulu ya Dodoma? Baadae alikutana na wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo ya uchaguzi (Wakurugenzi watendaji wa halmashauri) na kilichofuata sote tunakumbuka. Uharibifu.

Ni uchaguzi huo umelifanya bunge kuwa la chama kimoja. Bunge halina hata kambi rasmi ya upinzani bungeni. Walipogundua kwamba hata kamati za PAC na LAAC lazima ziongozwe na wabunge wa upinzani, wakawaomba ACT wapokee ofa na wale wabunge 19 wakaingizwa bungeni. Haramu.

JPM akiwa madarakani, wabunge 19 wasiokuwa na uwakilishi wowote wa chama cha siasa au kutokana na takwa lolote la katiba, waliapishwa, wakaitwa wabunge halali kwa kuapishwa na hadi sasa wapo bungeni. Kuonyesha kwamba kuna mkono wa DOLA, Spika wa bunge, Job Ndugai alisema hakuna wa kuwagusa.

Ni matendo ya aibu kubwa sana yenye kuonyesha alama kubwa za udikteta. Mambo mengi sana yalitokea, mambo yasiyopendeza. Ni wakati wa JPM tunaelezwa fedha za Plea-Bargain zimepotea na kuna akaunti nyingine za fedha hizo zimefunguliwa China kwa siri. Huu ni uhujumu uchumi. Unabisha?

Ni wakati wa JPM, ukaguzi wa CAG, ndani ya (TANROADS) akabaini Shs. 129 bilioni zilitumika kununua mtambo wa sukari ambao hata hivyo mtambo wenyewe (ambao haujulikani kazi yake), haujafika nchini.. Unajiuliza, TANROADS na kununua mtambo wa sukari wapi na wapi. Mambo ya ovyo yalifanyika.

Pia CAG akabaini kuna manunuzi ya Shs. 68 bilioni nje ya mfumo hapo TANROADS. Pia CAG akasema kuna Shs. 54 bilioni ongezeko gharama ujenzi uwanja wa ndege CHATO (nje ya bajeti), ambao sasa ni mapango ya kujificha kunguru. Kwanini nisiseme mtu huyu alichelewa kuwa Rais wetu? Ndiyo!

Katika eneo hilo, CAG akaendelea kusema, kuna Sh69.6 hasara za kuchelewa kuwalipa wazabuni katika ujenzi wa miundombinu ya barabara, na hasara ya Sh72.2 bilioni Barabara za chini ya kiwango. Jumla ya Shs. 362 bilioni mwaka 2020/2021 pekee hapo TANROADS zilipotea kwa Ubadhirifu tu..

CAGReport ukurasa wa 400, Aya ya 12.3.4 inaeleza, CAG alipofanya ukaguzi maalum kiwanja cha ndege Mtwara alikuta vibali vya kazi vya muda mfupi kwa wageni (CTA) visivyo halali vilivyotolewa na Idara ya UHAMIAJI na kusababisha hasara ya $1.732 million (Sh. 4.041 billion).

CAG anaeleza kuna mtandao wa maafisa 32 wa uhamiaji wameghushi hati za kusafiria feki na wakapiga Shs. 2.42 bilioni. Taarifa inafafanua wageni wa kigeni 21,208 walipewa stika za kughushi, Mtandao wa maafisa hao wakafuta taarifa (ushahidi) katika mfumo wa utoaji stika hizo.

Ufisadi huu wa Shs. 2.42 bilioni umefanyika ndani ya siku 180) katika uwanja wa ndege wa KIA kuanzia 1/1/2019 hadi 30/6/2019 kwa mtandao wa maofisa hao wa uhamiaji kucheza na mfumo wa maombi ya viza (VAS). Huu ni wakati tulielezwa kwamba JPM amefanikiwa kumaliza ufisadi.

Taarifa ya stika 21,208 za viza za wageni waliowasili Tanzania kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) zilifutwa katika kanzidata za VAS ambazo zilihusu wageni waliowasili nchini Tanzania lakini maofisa hao 32 wakawapa stika za kughushi kujipatia Shs. 2.4bn

Taarifa ya CAG, 2020/2021 iliweka wazi kuwa kuna hasara ya Shs. Bilioni 3.9 ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hayo yalitokea wakati tukiwa na Rais John Magufuli, na tukielezwa nidhamu ya utumishi imekuwa kubwa na hakuna ufisadi. Ni katika nyakati hizi tulikuwa tukielezwa uadilifu na nidhamu kwa watumishi ni mkubwa sana.

Hasara hiyo iliyotokana na mchakato wa kubadili noti chakavu ambapo ni mtandao wa wafanyakazi sita wasio waadilifu ndani ya benki kuu ya Tanzania (BOT) ndiyo waliohusika na mchezo huo haramu uliofanyika kati ya Januari 2017 hadi Desemba 2019.

Noti chakavu ni noti halisi yenye kukosa sifa za kufanya malipo halali. BoT ilipokea noti za Tsh. bilioni 4.17 ili zitolewe noti mpya. Ni utaratibu wa kawaida wa benki kuu, kupokea fedha chakavu.

Katika ukaguzi huo wa (CAG) ilibainika, Noti 1,427 zenye thamani ya Shs. milioni 14.27 zilikuwa safi na zinafaa kwa matumizi, noti zenye thamani ya Sh. 161.87 milioni zilikuwa chakavu, noti 399,392 zenye thamani ya Shs. bilioni 3.99 hazikuwa na vigezo vya kupewa noti mpya na zilipewa noti mpya kwa njia ya udanganyifu.

Udanganyifu huo uliofanywa na maofisa wawili na watunza fedha wanne wa Benki kuu ya Tanzania (BoT), ikiwemo kukata vipande vya noti ya Shs 10,000 ili wapate noti mpya, na pia kutohifadhi daftari la wateja waliokuwa wanabadilisha fedha chakavu katika benki kuu ya Tanzania.

Yaani watumishi wa benki ya Tanzania wakapoteza ushahidi. Maharamia hao waliamua kupoteza nyaraka halali za serikali ili kuficha uhalifu wao. Watumishi hao walifanya kazi wakati wa JPM na Gavana wa BoT alikuwa mteule wa JPM, Glorious Luoga.

Na katika kitabu cha mahudhurio (Attendance Register) ya wateja kuna wateja 24 waliokuwa wakifika katika benki kuu ya Tanzania (BoT) mara kwa mara kwa ajili ya kufanya miamala ya noti chakavu, na wao wamehusishwa katika mtandao huo (genge la Uhalifu) katika kushirikiana na wafanyakazi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutekeleza mpango huo.

Siyo hoja yangu kusema JPM alihusika na ufisadi huo moja kwa moja. Hapana. Nataka kusema, alifanikiwa kwa kiwango kikubwa kuwafanya watumishi wa umma kuwa na nidhamu ua woga tu. Waliiba na kupora hadi benki kuu. JPM alikuwa na wapambe tu ambao walimfichia 'White'. Hawakumueleza ukweli.

Mambo hayo ya kukosoa ufisadi huo yangefanyika na wanasiasa katika mikutano yao ya hadhara au katika michango ya wabunge bungeni. Hilo halikuwezekana. JPM alifanikiwa kulifanya bunge kuwa chombo chake cha pongezi. Nje akazuia shughuli za kujadiliana majukwaani. Watu wakawa mateka.

JPM akiwa Singida, July 2016 alizuia shughuli za mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa. JPM alikuwa Alpha na Omega. Kitu ambacho aliamua hakuna wa kupinga. Akitokea wa kupinga angelionyeshwa shimo la kaburi lake.

Wakati JPM anapiga marufuku mikutano ya hadhara alisema "mimi (Rais) pekee ndiye natakiwa kuzunguka nchi nzima kila jimbo kufikisha maendeleo niliyowahidi watanzania wote. Wengine kama umechaguliwa fanya mkutano jimboni kwako".

CHADEMA walikuwa wameandaa maandamano ya UKUTA 01.09.2016, siku hiyo Singida JPM akawaeleza wananchi "wanaotaka kuandamana au kufanya mikutano kiholela kwanini wanasubiri mwezi wa 9? Wafanye hata leo wajue mimi ni nani. Siwezi kugeuza nchi hii ya siasa, nataka nchi ya maendeleo tu. Siasa zikekwisha wakati wa kampeni, muda huu ni kazi tu"

Roho mbaya, chuki na wivu? Hii inaweza kuwa tafsiri halisi kwa the jinsi JPM alimfanya Freeman Mbowe. Club Billicanas ilivunjwa. Shamba la Green House Hai likaharibiwa. Akaunti zake za kifedha zikafungwa. Freeman akashtakiwa kwamba kasabaisha kifo cha Akwilina. kesi hii ilimuweka gerezani FAM miezi 4.

Akwilina ambaye alikuwa ndani ya daladala akitoka chuo cha usafirishaji (NIT) kwenda nyumbani, risasi ya Polisi ikamfuata, na kumuua, kesi akapewa Freeman Mbowe na wenzake, wakahukumiwa kwenda gerezani au kulipa faini ya Sh.350 milioni. Wananchi tulichanga fedha hizo za kulipa faini.

JPM alipofariki, Mahakama Kuu, ikabatilisha hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya kesi ya Jinai iliyokuwa ikimkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake 7 na kuamuru warejeshewe fedha walizolipa kama faini, kiasi cha Sh.350 milioni. Uamuzi huo ulitolewa 25.07.2021 na Jaji Irvin Mgeta.

Tumesahau haraka hivi? Ni JPM alimueleza Spika Job Ndugai kwamba huko bungeni awashughulikie wabunge wa upinzani, wasiseme au kukosoa serikali yake, na awatoe awatupe nje, na huku nje watamkuta, atawashughulikia. Kwanini sasa leo tusiseme JPM alistahili kuwepo miaka 20 iliyopita? CHUKI!

Ukurasa wa 34 katika ripoti ya CAG kwa ripoti kuu ya Serikali Kuu 2016/2017 unasomeka hivi: “Kati ya shilingi bilioni 25,307.48 zilizokusanywa, shilingi bilioni 23,792.30 zilitolewa kwa ajili ya mishahara ya watumishi, matumizi mengine, matumizi ya maendeleo na fedha kwa ajili ya kulipa madeni yatokanayo na amana za Serikali pamoja na riba.”

CAG anatuambia kuwa serikali ya Magufuli, inayojinasibu siku zote kuwa ni serikali ya wanyonge, ilikusanya bilioni 25,307.48 kutoka vyanzo vyote vya mapato, misaada, mikopo na kutumia bilioni 23,792.30 katika matumizi yake kwa bajeti ya mwaka 2016/2017.

Maana yake, na kwa hesabu rahisi, ni kuwa katika pesa zote zilizokusanywa na kutimiwa (25,307.48-23,792.30 = 1,515.18) zaidi ya shilingi za Kitanzania trilioni 1.5 haikutumika na haileweki sehemu ilipo mpaka ukaguzi unamalizika na ripoti kutolewa kwa umma.

JPM ametusaidia sana wanasiasa wa upinzani. Sasa tumefahamu umuhimu wa kuondokana na katiba hii mbovu inayompa mamlaka ya kikatili Rais. Ni lazima tupate katiba inayoendana na matakwa ya umma katika mfumo wa kisiasa wa vyama vingi na siyo Rais. Katiba mpya ni muhimu sasa.

Mwenyekiti wa UVCCM wakati fulani, Heri James alisema Jukwaani kwamba wao (CCM) ndiyo wanaamua wapi wapeleka maendeleo na wapi wasipeleke na wasipopeleka hakuna kitu watafanywa na yeyote. Hili lilipaswa kukemewa na JPM kama kweli siyo kweli. Lakini ndiyo ulikuwa mtazamo wa JPM.

JPM ametusaidia sasa tunafahamu kwamba kuna wanasiasa wanafiki, waongo na wazandiki katika siasa za nchi yetu, ambao wapo tayari kuuza UTU wao, kwa watawala ili watimize haja ya nafsi na matamanio yao. Wanapenda kuwa na vyeo bila kujali mahitaji ya wananchi. Wabinafsi.

JPM ametusaidia kuwafahamu 'political mercenaries' ambao Mwalimu Nyerere alisema tuwatambue kwa jina la "Malaya wa kisiasa". Wanayo bei. Wanajiuza. Hawana uvumilivu na hawa ndiyo wengi walihamia CCM wakisema wanaunga mkono juhudi za Rais. Hii ni shukrani kwa JPM .

Wafanyabiashara, ambao walikuwa ni tabaka kubwa linalounga na kufadhili shughuli za CCM, waliguswa, Walipewa mashtaka ya uhujumu uchumi, walifilisiwa. Hili ni moja kati ya makundi yaliyoguswa moja kwa moja. Hata wavuvi waliona moto. Nenda Chato, waulize wavuvi, JPM safi??

JPM ametuonyesha kwamba kwa katiba hii ukiwa na wapambe wengi bungeni, unaweza kuamua kujiongezea muda wa kubaki madarakani kisheria kabisa kwa Bunge kupitisha mabadiliko ys sheria na kuondoa ukomo wa muhula na Muda wa kuwa Rais. Tulianza kusikia minong'ono na vitendo.

JPM kwa muda wa miaka 5 na miezi 5 tu, alitufungua jicho, tulipaswa kuwa naye kwa miaka 20 kabla ili atusaidie kuwafungua watu akili, macho, masikio. Alituonyesha mkono wa chuma ukiwa madarakani, tusirudi huko, tuitengeneze katiba ya nchi yetu, asipatikane Magufuli mwingine.

Courtesy of: MMM, Martin Maranja Masese
 
Wewe bado ka-degree kako hakakusaidii kitu. Hebu soma hapa chini japo kwa uchache uelewe watu wanajua nini kuhusu huyo shujaa wako.

Miaka 6 ya utawala wa Mwendazake ilikua ya Machozi, Jasho na Damu kwa Watanzania. Haya ni baadhi ya matukio niliyoyakumbuka kwa haraka, baadhi yalitokea nikiwa huko nyumbani na mengine yametokea nikiwa nimeshaondoka.
1. Alizika uhuru wa vyombo vya habari na kutia saini sheria kandamizi kwa vyombo vya habari. Vyomno vyote vililazimishwa kumuandika kwa kumsifu na kumpamba, kilichothubutu kumkosoa kilifungiwa.
2. Alitumia nguvu nyingi kupambana na upinzani na kutesa wanasiasa wa upinzani kwa kuwafungulia kesi za uongo mpaka leo bado wengi wapo jela kwa kesi za kisiasa za kubambikiziwa.
3. Aligawanya nchi kwa misingi ya ukabila, ukanda, uchama na udini na ubaguzi wa kijinsia. Serikali yake ilijaa watu wa kanda ya ziwa na 75% ya serikali yake ilijaa wasukuma watupu
4. Alikua na ubaguzi wa kijinsia na aliendekeza mfumo dume. Wanawake walikua 17% tu ya mawaziri katika serikali yake.
5. Alihakikisha wakuu wa vyombo vya ulinzi wanatoka kanda ya ziwa ili kumlinda likitokea lolote, CDF - Mara, IGP - Mara na CGP - Geita na CGF - Mwanza. Madikteta wote hufanya hivi maana wanajua watu wa kwao hawawezi kuwageuka.
6. Hakupandisha mishahara kwa wafanyakazi wa umma kwa miaka yote 6 ya utawala wake.
7. Hakutangaza ajira mpya katika kipindi chote cha utawala wake. Waalimu waliomaliza vyuo mwaka 2015 hadi leo wapo mtaaji jobless.
8. Aliua sekta binafsi kwa kutoza kodi kubwa, na kuharibu mazingira ya biashara. Hoteli nyingi za kitalii zimekufa kama vile Ngurdoto, Impala, Naura Spring na nyingine zimegeuka hostel za wanafunzi kama Landmark ya Ubungo.
9. Alipunguza mzunguko wa pesa mtaani na kuhakikisha matajiri wanaishi kama mashetani.
10. Katika utawala wake waliibuka watu wasiojulikana ambao waliteka, kujeruhi na kuua watu wasio na hatia. Watu hao walimpiga risasi Tundu Lissu mchana kweupe na mpaka leo hawajakamatwa.
11. Aliwapa nguvu baadhi ya viongozi kama vile Makonda na Sabaya kutesa na kuumiza wananchi kadri walivyojisikia. Makonda alishambulia kituo cha CMG kwa mitutu ya bunduki lakini hakuchukuliwa hatua yoyote. DC Sabaya majuzi kampiga diwani wa Sombetini nusura kifo.
12. Alifuta fao la kujitoa na kusababisha watumishi wengi wenye mikataba ya muda mfupi kuishi maisha magumu baada ya ajira zao kukoma.
13. Katika serikali yake Wapinzani walionekana maadui na sio watu wenye mawazo mbadala. Waliteswa na kufunguliwa kesi za uchochezi. Wengine walipotezwa na hata kuuawa. Alitamani upinzani ufe.
15. Katika utawala wake maiti 17 ziliokotwa ufukwe wa Coco na nyingine 6 ziliokotwa mto Ruvu kwa pamoja zikiwa zimefungwa kwenye sandarusi, na baadhi zikivuja damu.
16. Aliharibu mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mengi ukimwenguni. Serikali yake ilichoma vifaranga vya kuku kutoka Kenya na kutaifisha ng'ombe waliovuka mpaka kuja Tanzania.
17. Alisababisha wanasiasa wa Tanzania wakimbie nchi na kuishi uhamisho kama wakimbizi wa kisiasa wakiwemo Ansbert Ngurumo, Tundu Lissu na Godbless Lema.
18. Alitumia mabavu kulazimisha ushindi kwenye uchaguzi wa 2020 na kuhakikisha CCM inashinda majimbo yote. Alipora ushindi wa upinzani kwenye majimbo mengi kwa mtutu wa bunduki.
19. Alitumia sheria ya uhujumu uchumi kutesa wapinzani wake kisiasa na wafanyabiashara aliokua na kisasi kwa mfano Rugemala na Lema wa Elerai Construction.
20. Alipenda kuabudiwa, kutukuzwa na kuogopwa. Wote waliomnyenyekea aliwapa vyeo.
21. Aliamini mawazo yake ndio sahihi na hakutaka kushauriwa kwenye jambo lolote. Aliwahi kusema yeye hapangiwi cha kufanya.
22. Alipenda kuonekana mcha Mungu japo kiuhalisia ni dikteta katili aliyetisha. Alimpoteza Ben Saanane baada ya kuhoji kuhusu PHD yake.
23. Alitangaza kuwa Tanzania haina corona na akataka watu wasivae barakoa wala wasikubali chanjo kutoka nje ya nchi.
24. Alipeleka miradi mingi ya maendeleo kijijini kwake Chato kama uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, benkiz barabara za lami na mbuga ya wanyama ambayo haikua na wanyama ikabidi kuhamisha kutoka mbuza zingine.
25. Aliingilia mihimili yote ya dola ikiwemo mahakama na bunge. Aliwazawadia vyeo vya ujaji mahakimu waliowafunga wapinzani jela.
26. Aliigeuza Tanzania kama mali yake binafsi na katika kila mradi alipenda atajwe yeye. Aliamini akiondoka hakuna atakayeweza kuendeleza yale aliyofanya. Bunge liliwahi kupendekeza kumuongezea muda wa kutawala atakapomaliza mihula yake miwili, kumbe Mungu ana mipango yake hata hiyo miezi 4 hakumaliza ya kura alizoiba
1.Chato International Airport
2.Chato National Park
3.Trafic light Chato
4.3 star hotel Chato (TANAPA)
5.Bohari ya kanda madawa Chato
6.Hospital ya rufaa Chato
7.Stadium (proposa)
8.CRDB Chato
Jana usiku nilienda kumtembelea mzee mmoja ambaye ni mtu wangu wa karibu anae jihusisha na biashara ya madini,akinipa story fupi tu ya rafiki yake ambayo ilinihuzunisha sana.
Jamaa yake alikua na zaidi ya bilioni 7 kwenye account yake bank mwaka jana mwanzoni,alipigiwa simu na branch manager aende urgently na alipofika pale mida ya mchana akajulishwa kwamba account yake imepigwa spana na tra (task force). Ikabidi aende tra mkoa ili kufuatilia hiyo ishu.
Tra mkoani wakamwambia inabidi awasiliane na TRA makao makuu,ikapigwa sim akapewa appointment saa tatu asubuhi next day. Akapanda ndege jioni hiyo kuelekea huko, asubuhi kafika mapema kasechewa kweli kweli then akaingia ofisini kuzungumza na team roho mbaya.
Wewe ndio fulani? Ndio, inaonekana una pesa nyingi sana kwa account ila hulipi kodi. Jamaa akasema akasema kodi nalipa na ninapata tax clearance kila mwaka mbona sielewi? Wakamwambia ana option 2 TRA wachukue 5B wamuachie 2 au akalete vielelezo huku wakiendelea kuzuia hela zote. Vielelezo visipo jitosheleza watachukua hela zote pamoja na kesi ya uhujumu uchumi.
Pale ulikua huruhusiwi kwenda na mwanasheria wala accountant,jamaa akatoka nje kufikiria kwa muda akaona isiwe nongwa akawaachia 5B lakini pia akaambiwa arudi CCM kwa kujitangaza kwenye media kwa sababu alikua supporter mkubwa wa lowasa uchaguzi wa 2015.
Matajiri wengi wa mawe wameumizwa sana huko kanda ya kaskazini ila wamekaa kimya tu,bora huyu jamaa amekufa maana alikua anatupeleka shimoni/motoni kiuchumi na kijamii.
Akasema nyumba za kimara zibomolewe lakini za mwanza zisibomolewe maana ni wapiga kura wake....Maiti zilikua zinaokotwa baharini enz za mwendazake
Nitamkumbua Magufuli kwa ukatili wake wa kutisha
1. Kuvunja nyumba za wananchi wa Kimara - Mbezi bila chembe ya huruma ila wale wa mwanza aliwaachia
2.Kupora Korosho za wananchi wa mikoa ya kusini kwa mtutu wa bunduki, hii hali iiwatia wananchi umasikini
3. Bila kujali kuwa watu wameshahudumu serikalini kwa muda mrefu na wanategemea kustaafu, akapitisha hoja ya uhakiki na kuwafukuza maelfu ya watu hao Huku akiwaacha bila kuwagusa wanasiasa na wateule wake katika hilo zoezi
4. Kubabikizia watu kesi za uhujumu uchumi, kuwatesa kupitia mfumo wa mashitaka na kuzisababishia familia zao maumivu makubwa na hali ngumu
5. Kuendelea kuwashikilia mamia ya masheikh walioko jela huku akisamehe wabakaji akina Babu Seya
6. Kukataa kuwapa watumishi wa serikai stahiki zao kwa wakati, ikiwemo kupandishwa madaraja na nyongeza za ishahara
7. Kuharibu chaguzi zote zilizofanyika chini ya serikali yake, kuanzia zile za marudio, serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, Alidhuluu haki ya wananchi kuchagua viongozi wao
8. Magufuli alitunga sheria kandamizi, na kuvuruga misingi ya katiba. Kafanya kia jitihada kulifanya bunge liwe butu, kuiweka mahakama mfukoni etc
9. Magufuli alikuwa na kauli mbaya zisizo na staha mfano "sisomeshi wazazi, serikali siyo iliyoleta tetemeko, baki na mavi yako nyumbani, nitapiga mashangazi.. etc"
10. Alikuwa na miradi kadhaa au mpango wa miradi kadhaa ambayo ni white elephant mfano, uwanja wa ndege Chato, Midege,Mpango wa Uwanja wa mpira Chato
11..Magufuli alikuwa mkabila, huhitaji kuwa mwanasayansi wa elimu ya jamii kuona kuwa teuzi zake ziliaia sana watu wa kanda na kabila lake.
12. Magufuli alikuwa haheshimu katiba waa sheria pale zinapokinzana na anachokitaka yeye, mfano haki ya kufanya siasa kwa vyama vya siasa iliyokuwepo kikatiba hakuiheshimu
13. Magufulu hakuthubutu na wala hakujali kufanya uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye na waliompiga risasi Lissu
Kwa hiyo mimi nakichukulia kifo cha Magufuli kama nafasi muhimu ili Taifa letu lipone.
Na sisi kama Taifa, tumeona kwa macho yetu namna katiba ya sasa ilivyokuwa hatari kama tunampata mtu mmoja asiyejali, ambaye ana element za udikteta, basi tuitumie nafasi hii kuliponya Taifa
Tangulia Magufuli, uwongo mbaya sitokumiss na sijawahi kukupenda kwa style ya uongozi wako, ninatamani Taifa lisipate Kiongozi mwenye mapungufu ya aina yako, ni mapungufu hatari kabisa
UPDATE
emoji1313.png

Ndugu yangu mmoja alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akituhumiwa kukwepa kodi kwenye biashara zake. Lakini yeye anadai ni kesi ya kisiasa. Mwaka 2015 aliombwa kusupport kampeni za CCM akakataa lakini alifadhili kampeni za UKAWA. Anaamini hiki ndicho kilichomponza.
Mwaka 2018 alikamatwa na baadhi ya biashara zake kufungwa, na nyingine zikashindwa kujiendesha kutokana na makadirio makubwa ya kodi.
Baada ya kukaa gerezani miaka miwili akaona bora akiri ili atoke (the lesser evil). Wakati wa majadiliano na DPP akatakiwa kulipa zaidi ya 200M. Akakubali kufilisi biashara zake chache zilizobakia ili "kununua" uhuru wake.
Mwaka jana tulimtembelea gerezani mimi na Dr.Cyrilo. Tukamuuliza kwanini umeamua kukiri? Huoni itakuwekea doa? Kuna nchi utazuiwa kwenda kwa sababu ya "criminal record" ya uhujumu uchumi. Kuna fursa za biashara utashindwa kupata. Kwanini usingepambana ushinde badala ya kukiri.
Huku akilengwalengwa na machozi akajibu, nachotaka kwa sasa ni kuwa huru tu. Nikishatoka hiyo "criminal record" anaweza kuja Rais mwingine akaifuta, huwezi jua. Tukaagana, akarudi zake nyuma ya nondo.
Licha ya kukiri na kuwa tayari kulipa (plea burgaining) lakini bado hakuachiwa. Aliambiwa jalada bado lipo kwa DPP.
Wiki iliyopita amefutiwa mashtaka yote na kuachiwa huru, bila kulipa chochote. Siku anaachiwa wala hakujua kama angeachiwa. Ilitumwa "remove order" gerezani, akaenda mahakani bila kubeba chochote maana haikua siku ya kesi. Hata wakili wake hakuwepo.
Miguuni alivaa kandambili. Alipofika mahakamani akaambiwa, Jamhuri imekufutia mashtka yote na haina nia ya kuendelea na kesi. Akadhani ni mtego ili wamkamate tena. Akajaribu kutoka nje ya mahakama, lakini hakuna mtu aliyehangaika nae.
Akaita taxi, ikampeleka nyumbani. Mkewe akapata suprise ambayo hakuitegemea. Akaanguka, alipoamka akaanza kulia. Watoto walipomuona baba yao nao wakalia. Majirani wakaja na kumkumbatia, wakilia. Nyumba ikatawala machozi.
Hii nchi imepitia kipindi kigumu sana. Kuna jinsi Mungu anamtumia mama Samia kuponya majeraha na kuokoa mioyo iliyopondeka. Biblia inasema Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wowote (Mithali 14:34).!
Nilichokiona mzee we ni mmoja wa wafanyabiashara ambao wananufaika na biashara za magendo lakin pia na hizi za michongo, huyu jamaa mbali na mabaya yake kadhaa ila aliwawekeeni kauzibe kwenye michongo yenu..

Kwakweli jamaa alionekana kuyaju mengi saana machafu ya nchi hi ila sema tu kabla hayawarais alishindwa namna yakuyashughulia, wanasema mungu si athumani akaukwaa urais unadhani nin kingetokea!?

Nia yake ilikuwa nikufanya Kila mtu ale kwa nguvu zake na sio kwa dhuluma na michongo kama yakwenu,,

Aliweza sema tu ilikuwa ni kwa mda mfupi
. Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha..
 
Zaburi 6:5
Maana mautini hapana kumbukumbu lako; Katika kuzimu ni nani atakayekushukuru?
Mhubiri 9:5
kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.

Mhubiri 9:6
Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.
Kusifu mfu ni upagani mkubwa sana. Yapo mazuri aliyoyafanya lakini mabaya ni mengi pia. Kwa ujumla kwa ambao walikuwa hawamfahamu Hayati wanaweza kumsifia lakini tuliomfahamu alikuwa mnafiki, propagandist mzuri sana. Kama angekuwa mwema asingezuia uhuru wa habari, asingebana demokrasia, asingepoteza watu. Mama Samia kaleta nuru kwa watanzania, sasa nchi imeunganishwa, upendo na uhuru wa kuongea, amani na upendo vimetamalaki. Mungu ambariki mama yetu. Nani kama mama!
Mmepewa Uhuru halafu wamewaongezea bei ya mchele kutoka 1,500 hadi 5,000 hii ndio nuru aliyoileta Mama,na majenereta mnanunua sasa hivi maana hamuelewi elewi,naona Escrow,Richmond na Epa zikijirudia,sisi tilambe asali in marope voice,kila mtu ale urefu wa kamba yake, Tanzania ni nchi masikini sana twende kwa wajomba zetu wazungu watupe hela sisi tutawapa madini Mwendazake hayupo na harudi tena,tuiuze Bandari yetu,halafu Dodoma vumbi turudi Darisalama tikalambe asali,Mama anatuita.
 
The sad part Marehemu na mashabiki wake wote hawajui sio kazi ya Rais kuwa hakimu na mwendesha mashitaka Kwa unaowaona eti wametajirika bila kujua chanzo ..

Kama Una ushahidi unawapeleka mahakamani na kuacha haki itendeke
 
Ninajua machache juu ya Hayati Rais Magufuli ni imani yake kwa Mungu lakini kwa uchache huo yatosha kusema Hayati Rais Magufuli alikuwa ni mwamini, sasa kiundani zaidi basi ni Mwenyezi Mungu pekee anayeweza kuhukumu na kujivunia kiumbe chake kama alivyofanya kwa mtumishi wake Ayubu,ninapokumbuka miaka miwili tangu kuondoka kwa Rais Magufuli, ni mengi nimejifunza na mengi nimeyaona kabla na baada ya kuondoka kwake,itoshe kusema Hayati Rais Magufuli alikuwa mtu kamilifu Watanzania waliolilia kumpata so as to get the job done,Afrika ilikua in vicious circle kwa miaka mingi na marais sampuli za Hayati Rais John Magufuli ndio walihitajika kuturudisha kwenye ramani ya dunia, kwa Afrika tuliona wengi vibaraka tu walio wavivu na wenye udhaifu wa fikra.

Leo kwenye pita pita yangu kupata supu ya utumbo na chapati nimemsikia bwana mmoja anasema siku akipata bahati ya kuwa Rais atakuwa kama Rais Magufuli,akasema haki bin haki,mafisadi atawaita atawaambia umepataje hii mali nyingi ilihali wewe ni mtumishi wa umma!? wafanyabiashara atakagua biashara zao kwa haki na mwenye utajiri usiomithirika atamuhoji amepataje utajiri huo na ikionekana alifanya ufisadi basi atampigia mahesabu na atampa chake cha haki na visivyo haki atavirudisha Serikalini,anasema ataruhusu mtu amkaribie hasa mafisadi atakuwa na ofisi kama ya Rais Museveni,utakaa mita mia moja atakuhoji maswali yake na ujibu kwenye mic,anasema "I will take no nonesense" atahakikisha wanyonge wanapata huduma zote za jamii bure kwa sababu ya utajiri wa rasilimali zetu,anasema kama alivyofanya Hayati Muammar Ghadafi nae atawapa hela ya kuanza maisha kila anayefunga ndoa,na kama anavyofanya Rais Paul Kagame nae ataijenga Tanzania iwe kama Ulaya,na kama alivyokuwa Hayati Rais Magufuli,nae hatogusa Ulaya maana atakuwa ameifanya Tanzania kuwa Ulaya.

Nimejiuliza sana,kweli hii inawezekana kwa watu wabinafsi wenye tamaa kwa 100% kizazi kinachotaka mafanikio ya kula leo na kizazi kijacho kijitafutie kwa wakati wao, inawezekana vipi!? Enzi zile za unanijua mimi nani kabla ya JPM kuna mtu mmoja alimgonga mzee mmoja maeneo ya barabara ya Samora,akashuka akaanza kumtisha yule mzee "unanijua mimi nani",Looh yule mzee alijikaza akainuka akamwambia yule jamaa kwa sauti kama analia "kwani wewe nani bwana,mimi nimejenga reli ya tazara kwa ujira wa thumni halafu unaniuliza nakujua wewe nani alaah" nikakumbuka kuna watu waliumia na kufa ndipo reli kutoka Dar,Moro to Mwanza and Kigoma ikajengwa, leo watu wanakodi mabehewa kupakia mizigo na kusafirisha ila wanajifanya hawajui kuna damu ilimwagika,sasa hizi fikra za vijana wabichi wasiyo na maono ya siku zijazo isiyopenda reformation wataweza kweli,lakini kwa jinsi nilivyomsikia yule Magufuli mwingine kweli anaweza akipewa nafasi maana hata Hayati Magufuli kabla hajapata urais alisema hivi hivi,siku nikipata Urais basi wezi na mafisadi watalimia meno,Mungu si Athumani kwa hakika aliupata Urais na wezi na mafisadi wakalimia meno.

Ni wazi Hayati Rais Magufuli amewapa hamasa vijana wengi waliohamasika wakati wa utawala wake,nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko, penye ukweli tutasema,viongozi wakikosea tutawaambia warudi katika mstari, yote hayo ni kutafuta Ufanisi na kuwasemea wasio na sauti,tunamshukuru Mungu Kwa marais tuliowahi kuwapata tangu Uhuru, bila kusahau hakuna rais aliyeteua na kuwaamini wasomi,Hayati Rais John Pombe Magufuli,alipunguza mshahara wako upate kuwasaidia watu wanyonge,ni wazi viatu vya Hayati Rais Magufuli vinapwaya kwetu maana alikuwa kiongozi shupavu,Rais wa Botswana.

Mh. Mokgweetsi Masisi alisema siku ya mazishi ya Hayati Rais Magufuli, we have a big shoes to wear na kwa hakika tumeona,Umoja wa Mataifa (UN) nao wakatusaidia kwa kumuenzi kwa Mambo aliyolitendea taifa lake. Tulimeona na kujiridhisha ujenzi uliofanywa katika mito, maziwa na baharini, barabara zetu chini ya tanroads katika baadhi ya majiji, lami inayowekwa ni thick,kiwango cha juu tofauti na ukarabati wa brush na mifagio kusambaza lami,tuliona kuhamishwa kwa Makao Makuu ya nchi kutoka Dar hadi Dodoma, tuliona Tanzania ikifika uchumi wa kati enzi za Hayati Rais John Pombe Magufuli, hili ndilo lililompa credit hata Umoja wa Mataifa wakaweka siku ya kumuenzi Hayati Rais John Magufuli, Pumzika kwa amani Rais John Pombe Joseph Magufuli,Ulituacha salama,Tanzania salama, Good night John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publications;-
-Assessment on the effect of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Huu uzi ni wa kifukunyuku. Nime save namba yako nitakutafuta tuyajenge.

Hakika umefanya kutufuta machozi wapenda maendeleo na wanamageuzi wa Africa.
Tangu JPM afe hadi leo sijui hata hao EAC, AU na hawa wa Kusini wanafanya nini tu. Hawana kabisa dila.
 
Back
Top Bottom